CHADEMA waigeni CUF

CHADEMA waigeni CUF

mkigoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
1,180
Reaction score
309
Juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi Dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi. Wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni Arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia.

Ndipo ninapowakumbuka CUF wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
 
Kwakuwa ni mpenzi na mwanachama wa CUF una kila sababu ya kuwapigia debe. Chadema ni chama tofauti na cuf na haiwezi kujifunza mbinu yoyote ya kisiasa toka cuf sana sana cuf ndio tunawataka wajifunze toka chadema kama wanataka kujinasua na ndoa ya mkeka waliyofunga na magamba.
 
Yani kiongozi kama huyo anajificha kama gadafi? Unajua huyu mzee bora akapumzike sasa, huu umri sio wa purukushani tena. Kila siku zinavyo kwenda anazidi kujishushia hadhi yake. Ni bora awaachie vichaa kama kina Lema.
 
CUF na Chadema ni tofauti sana. CUF ina mtandao wa matawi na wanachama wake wapo matawi wakati Chadema wanachama wake wapo makanisani hawawezi kufanikiwa mpaka wapate support ya maaskofu hili ndio tatizo la CDM.
 
tatizo la cdm wanakurupukia mambo wanaitisha maandamano lakini hawana mkakati wa kuyafanikisha,
 
cuf ni kweli mnaweza recodi zenu zinafahamika, tunawaomba cdm ambao ni ccm ( c ) wajifunze kutoka kwenu waache tamaa hawawezi kufanikiwa kama, wanashindwa hata kufanya kazi na vyama vingine,hivi wataweza kuiongoza TZ yenye watu wenye dini tofauti kabila tofauti, au ndio itakua serikali ya wachaga watupu na wakatoliki watupu. ushauri mafanikio ya watanzania yanahitaji umoja mctudanganye.
 
Onamwaga pumbu tu hapa. CuF kwa sasa ni kama mwanamke ajuza hawana mbele wala nyuma wamebaki kuwatumikia mabwana zao.!
 
Walipokuwa wanafanya kama wafanyavyo Chadema sasa, CUF walikuwa chama kikuu cha Upinzani hapa nchi, walipobadilika na kuwa kama walivyo sasa, CUF wamekuwa level moja na TLP. Je Unataka na CDM nao wawaige CUF ili waje kuwa level ya TLP!
 
HIVI CUF IPO???MIMI SIJUI KAMA BARA KUNA CHAMA KINAITWA CUF,HUNA LA MAANA WEWE MTOA HOJA CHADEMA NI CHAMA CHENYE AKILI,HAKINA WANA ZUONI WASIOJUA KUFIKIRI LAKINI CCMB IMEJAA WANAZUONI AKILIZAO SIKU ZOTE zimejaa mawazo mgando ya udini na hakuna watu wenye udini inchi hii kama ccmb na ccm,nenda halafu hawapendani kaangalie maendeleo ,lindi,mtwara.zanzibar ni njaa tupu na kulalama ooh tunaonewa,hata shule hamjengi someni uanazuoni muone njaa itakavyowaua hata shule amtaki,basi wanazuoni mnaoichafua cdm na magamba yenu,acheni udini chagueni mtu makini sio kwasababu ni mwanazuoni au uko nae mandrasa,chagueni watu makini kama dk slaa,zito kabwe kamanda mbowe,na shupavu lisu,ona hivyo vichwa sio kama mzee madevu sharrish kapata ulaji kaatulia na sasa anataka posho ya uzeeni iongezwe mwanazuoni wenu huyo namshangaa naye mtatiro kaamua kupotea huko,aaahi kalizika na ulajhi wa naibu katibu,ccmb na ccm a,, acheni gia za kipumbavu na udini wenu,na wewe gamba kama huna hoja usiingie humu.
 
Mleta mada umekosa la kuongea ww,unataka kulinganisha nyie CCM B na chama la wanaume wa ukweli CDM? Cuf mmendelea kufa kabisa huku Bara
 
Back
Top Bottom