juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi Dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi, wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni Arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia. ndipo ninapowakumbuka cuf wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi Dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi, wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni Arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia.
ndipo ninapowakumbuka cuf wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi Dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi, wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni Arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia. ndipo ninapowakumbuka cuf wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
hivi cuf ni chama nacho? Kipo nchi gani? Nyie ni ccm b hata mwanangu wa miaka 6 anajua kuwa cuf ni ccmb. Endeleeni kuwapikia urojo na samaki mabwana zenu ccm mliofunga ndoa nao mwaka jana. Anniversary ya ndoa si ilikuwa majuzi eeeeh.juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi, wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia. Ndipo ninapowakumbuka cuf wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
juzi nimecheka mpaka mbavu zimeniuma kusikia kiongozi Dkt slaa ajificha kwenye masanduku ya spika, kweli chadema mwacheni mzee wa watu ajipumzikie mikiki mikiki ya siasa haiwezi, wakaitisha maandamano nchi nzima utadhani chama chenyewe kipo nchi nzima kumbe ni Arusha, polisi wakatia mkwala ole wake atakaye andamana, wakafyata mkia. ndipo ninapowakumbuka cuf wao huwa wanasema wanapenda maandamano yanayozuiwa na polisi na wanapo waona polisi mzuka unapanda, cuf chukueni nafasi yenu mtukomboe.
Nasio kichaa kuliko wewe!Yani kiongozi kama huyo anajificha kama gadafi? Unajua huyu mzee bora akapumzike sasa, huu umri sio wa purukushani tena. Kila siku zinavyo kwenda anazidi kujishushia hadhi yake. Ni bora awaachie vichaa kama kina Lema.
Onamwaga pumbu tu hapa. CuF kwa sasa ni kama mwanamke ajuza hawana mbele wala nyuma wamebaki kuwatumikia mabwana zao.!
Inaashiria akili yako ina mtindio wa ubongo, unafikiri kwa makalio na tumbo la kuhara linakusumbua.tatizo si slaa, tatizo ni kuwa je walivyosema wanaenda NMC walijua serikali itawaachia? na kama walijua FFU watakuja walijitayarisha vipi?? hapa ndio huwa nakasirika mantiki nzima ya lile move
mwisho nampa pole Dr. wa ukweli kwa kukutwa kwenye spika mbili kubwa!! kama vile saddam aalivyokutwa kwenye pango au gadafi mtaroni...siji inaashiria nini???