Harrison Justine
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,136
- 559
R.I.P Makaidi. Mtasubiri sana UKAWA kumeguka. Yaani nyie sawa na fisi akinyatia kusubiri mkono wa binadamu udondoke. Marehemu alikataliwa na wananchi kwahiyo nyie muendeleze tu propaganda
Kweli Lowassa kuwa Rais ni nadharia. Magufuli kuwa na Rais ni practical . Ushindi ni lazima kwa Dr. Magufuli.Dunia ya Nadharia ilishapita...
Hivi ninyi cdm nani aliyewaroga. Mgombea wenu karibu anajitoa kutokana na kugundua kuwa cdm hawamkubali bali wanamtumia tu kwa kula pesa yake huku wakijua kuwa hzi kuwa rais.Unapresha tayari imezidi ya makaidi ni swala la muda tu.
Buriani chadomo tuliwapenda lakini Lowassa amewapenda zaidi.Unapresha tayari imezidi ya makaidi ni swala la muda tu.
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeonekana kuigawa UKAWA kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama UKAWA. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo CUF au NCCR- Mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.
Na siku chache zilizopita NCCR imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya Chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya UKAWA. Sitashangaa huko Masasi Chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha Dr. Makaidi.
Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?
Kwenu wana jamvi.
Nawaambieni kuwa Lowasa ni bundi liloletwa kuiua chadema. Bado siku nane chadema kusahaulikaHakuna haki huko ni wizi wa pesa za walipa kodi kwa kwenda mbele. Viongozi wa ukawa Mbowe aliyehongwa peremende kama malaya wa Bilicanas amewaletea Jambazi Sugu kwenye gunia na ndio imetoka hiyo.
Jambazi Sugu haliwezi kupumua bila uhai wa pesa za walipa kodi.
Ndugu watanzania tunaskitika kutangaza kifo cha ukawa. Hili ni tangazo litakalotoka tarehe 25 Oktoba baada ya kura kupigwa. Kwa hiyo umri wa ukawa umeelekea ukingoni.acha ujinga na unafiki .ukawa mbele kwa mbele
Ndo hivyo, wajinga ndio waliwao. Chezea Mbowe wewe, mzee wa shilingi.ni kweli chadema waigawa ukawa, kwani huoni kuwa muungano wa vyama vinne lakini logo inautambulisha ni ya chadema tu? na kwa nn chadema ndo wapate viti vingi zaidi?
Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeonekana kuigawa UKAWA kutokana na kwamba wao ndio wanajitambulisha kama UKAWA. Kwenye baadhi ya majimbo ambayo CUF au NCCR- Mageuzi wamesimamisha mgombea, wao pia wamesimamisha mgombea wao.
Na siku chache zilizopita NCCR imejitokeza wazi kulalamikia vitendo vya Chadema. Hii ni wazi kwamba upo mgogoro mkubwa ndani ya UKAWA. Sitashangaa huko Masasi Chadema wakisimamisha mgombea wao baada ya kifo cha Dr. Makaidi.
Sasa watu wa jinsi hii wakipewa dola si ndo watachukua raslimali zetu zote?
Kwenu wana jamvi.
Sio bado ipo huu ndio ukweli. Mbowe amewagawa, wanaukawa wanajua na Dunia inajua.hivi propaganda za kugawanyika kwa ukawa bado ipo? du watu wanaroho ngumu
hajui kuandika lakini ujumbe wake unasomeka vema na kueleweka.Umeishia darasa la ngapi mkuu? Maana hata kuandika kwenyewe kumekushinda. Elimu, Elimu, Elimu.
Hata huku Ngarenalo na Ungalimited tumeona huyu babu ni michosho tu, kura zetu tunampa Magufuli ili aanze na huyu fisadi Nyangumi LowasaCHADEMA HAWANA NIA NZURI NA MUUNGANO WAO (UKAWA) nia yao ilikuwa kujipatia fedha kutoka kwa fisadi papa na sio nia nyingine, sasa wamesababisha mtafaruku mkubwa hata hapa Kaloleni ninapoishi vijana wengi wamekihama chama cha chadema baada ya kuona kuna usanii ndani yake.......