TangaNyika_TZ
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 239
- 52
Kumbe magu...li ni govi..nda
CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:
Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.
Zinduka kabla ya wakati: wenzako wanaoujua ukweli washaanza kugawana kila mtu chake katika ofisi za sisiem nchi nzima halafu wewe bado umo humu unashangaashangaa Chadema watakavyochukua inchi-shauri yako. Kachukue na wewe chochote utakachokuta maan hakuna namna ccm lazima ilie tuu safari hii-Usicheze na ukimya wa Lowassa hata kikwetu anafahamu kabisa Lowassa huwa hashindwi. Jiulize aliwateka wajumbe wote wa necccm huku mwenyeki akiaki kukodola jicho tuu- tayari 67% ya wapiga kura watampigia Lowassa amini usiamini ndo.
Igeni na push up pia, ila mpige karibu na zahanati msije kusumbua ambulance.
Waige na hiii
Ukawa hawana kitu saahizi sera za kuwavutia watu hazipotena lazima wafanye hvyo
Hahahahahahaha aiseee nimecheka sana.
kachukue buku saba fasta Kwa nape...
Kumbe magu...li ni govi..nda
chadema waibuka na style tofauti:
Hatimaye chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.
Wewe jamaa ---- kweli yaani hizo picha zote ulizoweka ni za siku ya uzinduzi pale Jangwani na gari ulizoweka picha zake ni zile zenye spika na ni za matangazo.CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:
Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.