CHADEMA waibuka na style tofauti

CHADEMA waibuka na style tofauti

CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:

Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.

Pamoja na hiyo style watapigwa asubuhi sana.
 
Zinduka kabla ya wakati: wenzako wanaoujua ukweli washaanza kugawana kila mtu chake katika ofisi za sisiem nchi nzima halafu wewe bado umo humu unashangaashangaa Chadema watakavyochukua inchi-shauri yako. Kachukue na wewe chochote utakachokuta maan hakuna namna ccm lazima ilie tuu safari hii-Usicheze na ukimya wa Lowassa hata kikwetu anafahamu kabisa Lowassa huwa hashindwi. Jiulize aliwateka wajumbe wote wa necccm huku mwenyeki akiaki kukodola jicho tuu- tayari 67% ya wapiga kura watampigia Lowassa amini usiamini ndo.

Hahahahahahaaa...mwambie akimbilie hata kiti achukue maana trh 25 ccm inazikwa rasmi..googooogoooo ooo...yanga moja simba O....
 

Attachments

  • 1443275740248.jpg
    1443275740248.jpg
    39.1 KB · Views: 406
Baba yenu kikwete analia nyie mnacheka muulize baba yenu kinachomsumbua ni bwana el
 
We mpuuzi kweli,hayo ni magari ya mziki siku ile ya maandamano ya kutoka buguruni kwenda kumsindikiza lowasa tume kuchukua fomu.Hao ni vijana waliokuwa wanadandia,Chadema.si kama wazee wa kusomba mkuu
 
shame on your mum's womb!
Hilo Nigari La Matangazo,
magambaz mtatoa pofu mwaka huu,
Jiulize swali hivi kwa nini CCM Inachukiwa Kiasi Kikubwa hivyo!
 
Mbona hizi picha ni zile za siku ya Ufunguzi Wa Kampaini ktk Uwanja Wa Jangwani Tunazo muda sana wadanganye wengine siyo sisi
 
siku zote ukawa wamekuwa wakisema wana mafuriko nakati mafuriko yenyewe ni ya kutengeneza na mbaya zaid wanachukua mpaka vibaka alimradi lowassa akija aseme kweli pana mafuriko janja yao ishajulikana hivyo tusubirie tuwape somo wajue kuwa maigizo hayamfanyi mtu aende ikulu
 
chadema waibuka na style tofauti:

Hatimaye chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.



lowassa amewafundisha hawa jamaa tabia chafu ambayo alikua anaitumia wakati akiiba ng'ombe za jirani zake wa jamii za nga'ambo, wanadai mabadiliko kwa kuwasomba watu kama magunia ya mahindi, hii tabia ni mbovu sana na sio dalili njema kwao tukielekea uchaguzi mkuun 2015. Wacha waanze kupoteana maana hakuna namna, mbowe kashaachukua chake kawaacha malofa wavutane wenyewe.
 
Ccm mnatia huruma sana,hivi hakuna chama kingine kinachogombea urais,au mnajipendekeza kupigia kampeni ukawa?
 
CHADEMA WAIBUKA NA STYLE TOFAUTI:

Hatimaye Chadema wameamua kuna na mbinu mpya ya kupakia mashabiki wao kwenye malori kwa ajili ya kufanikisha mafuriko ya mikutano wanayoandaa,pia waliopakizwa wamethibitisha kulipwa posho ya kuanzia 10000 na kuendelea, japo kiwango kiwango huongezeka kutokana na uelewa wa shabiki husika.
Wewe jamaa ---- kweli yaani hizo picha zote ulizoweka ni za siku ya uzinduzi pale Jangwani na gari ulizoweka picha zake ni zile zenye spika na ni za matangazo.
 
Back
Top Bottom