Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.
Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
always i ask my self why many poor people and drunker give much sapport to chadema is that real chadema under leader like GODBLESS LEMA can bring hope to them??
Rudi kwenye darasa là English course, kiiengereza gani umeandika humu jamvini? si bora tu ungepost kwa kiswahili? Hivi ina maana kuishabikia CCM kunafanya n'a akili kichwani zipungue kidogo??!!always i ask my self why many poor people and drunker give much sapport to chadema is that real chadema under leader like GODBLESS LEMA can bring hope to them??
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.
Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
KISIMA said:well said
wanaendeleza mkakati wao wakuifanya nchi isitawalike ambapo kimsingi huu ni mkakati wa kizandiki unaotawaliwa na ufedhuli na hila nzito.haiwezekani wadanganye wana mtwara kwamba eti gesi inaenda bagamoyo ili wananchi wajue rais anapeleka kwake.huu ni uungwana kweli? Halafu wanachochea wananchi kupambana na polisi ni akili hiyo kweli? Eti wanawaambia hawa polisi ninyi wananchi ndo mmewaajiri wasiwaambieni kitu hawa! Hawa jamaa wanasahau kwamba hiki wanachokifanya watapandikiza chuki ambayo hata wao itawatafuna vibaya.well said mkuu! Hawa jamaa sijui vipi!
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.
Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
Mwakidondo, ebu soma taarifa hii iliyoletwa na mkuu THE BIG SHOW ili uone swala la gesi limekaaje huko Mtwara. Acha ulimbukeni, uongo wa Pinda utadhihiri muda si mrefu.Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.
Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
Habari za leo wana ukumbi huu,,
Awali ya yote Mtwara na Kusini yote kwa ujumla ina wasalimu sana.
Leo,baada ya swala ya ijumaa kama vile ilivokawa inatarajiwa na wengi mjini hapa,shura ya maimam kama wadau ambao walihusika kuwawakilisha wananchi katika kufikisha duku duku zao kwa mh. waziri mkuu ndugu Mizengo Pinda pale alipokafanya ziara ya kuzuru Mtwara,wametoa tamko lao fupi la mrejesho kwa wananchi kama ifuatavyo;
ndugu wanananchi,waislam na wasio waisalm,amani ya mwenyezi mungu iwe juu yenu..
Kama mlivyo tutuma kwenda kuwawakilisha kuongea na mh. waziri mkuu leo tumekuja kwenu kuleta mrejesho mfupi wa yale tuliyozungumza na mh wazir mkuu,,
Kwanza kabisa,msimamo wetu upo vile vile kama awali,suala la gesi liangaliwe kwa umakini wa hali ya juu na utekelezaji wake sharti uzingatie malalamiko ya wananchi,tamko letu sisi liko vile vile.
Kwa kuwa katika vile vipengele vyote tulivyoongea na mh. waziri mkuu ni kipengele kimoja tuu katika yale madai yetu kilichofanyiwa kazi,nacho ni kile cha mkuu wa mkoa kuomba radhi kwa wananchi,kwani mkuu wa mkoa kafanya hivyo.
Lakini katika vipengele vyote vilivyobakia serikali haijafanya chochote cha kuturidhisha,kwa hiyo sasa,tunatamka rasmi hatukufikia mwafaka na wazir mkuu..
Kwa mantiki hiyo sasa shura ya maimam inatoa angalizo kwenu wananchi waislam na wasio kua waislam kwa wakati huu tuwe watulivu,tusifanye fujo wakati shura ya maimam inaendelea na vikao na kutoa utaratibu wa kipi kitachofuata,vikao vinaendelea,,juma pili pia kutakuwa na kikao cha mwisho,na kikao cha juma pili kitatoa tamko la jumla ya nini kifanyike na kuangalia mwelekeko upi tuufate.
Tunawaomba sana wananchi tuwe watulivu,tusifanye fuzo za aina yoyote kwa mtu yeyote,tusiharibu mali ya mtu yeyote,tusiharibu mali za serikali na mtu yeyote,tuwe watulivu na tunawaomba tusirudi kule kwenye matukio ya wiki zile zilizopita.
Tungependa kupinga suala hili la gesi bila kufanya fujo na vurugu,,
"To protest without violence",,wasije wakapata sababu ya kusema ya kwamba tunachochea machafuko na uvunjifu wa amani,,
Tunawatakia ijumaa njema..,mwisho wa taarifa,.
PINDA TULISHAKUONYA KUHUSU HAYA ILA HUKUTAKA KUSKIA,BADALA YA KUSUBIRI MREJESHO UFIKISHWE KWA WAHUSIKA WEWE UMEKIMBILIA BUNGENI NA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUSEMA MGOGORO UMEKWISHA,,
PINDA NI MGOGORO GANI ULIOUMALIZA??
MAPAMBANO YANAENDELEAA.
Bila shaka unaongea usichokijua. Siku ukikua utaelewa! Maana mtoto akiambiwa 'hiki ni kiti' wakati ni meza ataendelea kuamini hivyo na kuita hivyo. Ila siku akikua atajua kumbe sio kiti ni meza! Mwakidondo kalishwa propaganda za ccm kuwa Chadema kutoa elimu ya uraia inawapotosha watanzania!