CHADEMA wahurumieni watanzania

CHADEMA wahurumieni watanzania

Is a mistake and high risk, to congrats " Pretenders."
Mtwara resident's, are still not satisfied with the Govt
ideas. And there is nothing, something compromise,
the alleged was falsely. (Wrongdoing).
 
Kama watu wakaelimishwa Na kuanza kudai haki zao ni kuwapotosha basi waliofanya hivyo waendelee kutoa elimu.

Ila ni lini serikali itatambua kwamba wananchi wanaweza kudai haki zao bila ushawisi wa wana siasa!
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
ndugu mwakidondo, maneno yako sio kweli, rais kikwete,mwenyekiti wa ccm,serikali ya ccm,wanashindwa nini kuwachukulia hatua wachochezi? ndio maana tunasema serikali dhaifu,sasa unasema pinda katuliza maasi ina maana hao aliokutana nao ndio walioandamana? hayo ni maneno ya kimagamba na lazima tutakapopata serikali imara viongozi wa ccm na serikali yake kila mmoja atawajibika kwa wanayoyafanya
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.
Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.
Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
little thinker
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
ndugu mwakidondo, kama ni kweli pinda amefanikiwa kuwatuliza watu wa mtwara,aitishe maandamano hapo mtwara ya kuunga mkono kupeleka gesi dar es salaam
 
Tatizo la Maandamano ni hali ngumu ya kiuchumi, nani aruhusu pesa itoke wakati ananjaa? CHADEMA inahusikaje? M4C ni harakati za kimaendeleo... CCM Ndo iwahurumie wa TZ
 
"Chonde chonde Wanamtwara, Mkiendelea na misimamo yenu WAWEKEZAJI wataamua kutowekeza Tanzania na badala yake watakwenda sehemu Nyingine kwani si Tanzania pekee GESI inapatikana" By JMK...

Kudadadek ni warambe nisiwarambee?...Hawa Magamba Mafisadi na Hao wawekezaji wao Uchwara! Ondokeni leo na hata wasingoje kesho... ondokeni mtuachie Dhahabu zetu, Almasi zetu, Tanzanite Zetu, Uranium yetu...Ondokeni mtuachie Gesi yetu, Ondokeni mtuachie nickel, makaa ya mawe, rubby, bahari yetu, Ardhi yetu, maziwa yetu, mbuga zetu, visiwa vyetu...Ondokeni Tembo na Wanyama wetu wapate kuishi ebo! Ondokeni mtuachie milima na mabonde yetu yenye rutuba na hali nzuri ya hewa...Eti wawekezaji! Ninyi Majambazi ya CCM ndio mlo wekezwa huko USWIS...

Ndugu zangu wamakua, maraba, Wamakonde tutawasaidia kucheza hili sindimba mpaka kieleweke...njomba Vasco Da gama et al kaeni mkao wa kuendelea kumegwa na hao wanao WAWEKEZA siyo sisi Watanzania tunaojitambua kamwe...
 
Hiyo Kauli ungeongea Mtwara halafu watoto wa shule ya msingi wangekusikia unachoongea nadhan wangekugeuza 'samaki nchanga'....:nimekataa
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?


Juha mwingine wa magamba.
 
Hii CDM inapaswa kuwa na msemaji otherwise wengi tutakuwa disappointed na movements zake. Kama ni kweli waliofanya hivi ni CDM basi moyo wangu unakuwa mdogo.

Sioni unachokataa kuwa hawa watu hawajachochewa wakati hata hapa jamvini maneno yao unayasikia. Kuna mmoja kaniambia (ktk moja ya mada za GESI) kuwa CCM inawadhulumu nafasi yao ya kuiendeleza Mtwara iwe na MAENDELEO kama ilivyo Bagamoyo, Kigamboni na Katavi.

Raeding btn the lines, huyu ni mbumbumbu na mlevi wa uvumi. Kwa tunaoijua Katavi, hivi unaweza kusema imeendelea zaidi ya Mtwara? Jibu ni kwamba imetajwa kwa kuwa PM anatoka kipande hiyo.

Bagamoyo na Mikindani zina tofauti gani? Jibu ni kwamba imetajwa kisiasa kwa kuwa FastJet anatoka huko. Sasa ukitazama ni kwamba, huyo aliyewaambia hayo anatumia kukosa kwao ufahamu kuwatrigger kwa manufaa yake.

Nyie endeleeni kubisha kwa nguvu zenu zooote lkn taratibu mtaanza kuona ubaya wa kubase Morals kwenye Myth.

naomba nikujibu kifupi! unajua mpanda punda hawezi kufurahi pale punda anapoelimika na kutambua haki zake na kukataa kubeba mizigo mizito inayomuumiza! Vyama vya upinzani vinatoa elimu ili wananchi watambue haki zao katika kunufaika na raslimali zao. Kama kutoa elimu hiyo ni uchochezi mbona viongozi wa vyama hivyo hawajakamatwa na kufunguliwa kesi za makosa ya uhaini?
 
Back
Top Bottom