CHADEMA wahurumieni watanzania

CHADEMA wahurumieni watanzania

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,571
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
 
Wa kuwahurumia watanzania ni CCM au CHADEMA?
 
Bila shaka unaongea usichokijua. Siku ukikua utaelewa! Maana mtoto akiambiwa 'hiki ni kiti' wakati ni meza ataendelea kuamini hivyo na kuita hivyo. Ila siku akikua atajua kumbe sio kiti ni meza! Mwakidondo kalishwa propaganda za ccm kuwa Chadema kutoa elimu ya uraia inawapotosha watanzania!
 
CCM na serikali yao dhaifu ndio ya kuwaonea wanamtwara huruma.
 
Kasome tamko la shura ya maimmam Mtwara leo ndo uridi hapa!
Unafikiri Mtwara wanataka wakulialia!
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
uliwasikia????
 
Kasome tamko la shura ya maimmam Mtwara leo ndo uridi hapa!
Unafikiri Mtwara wanataka wakulialia!

Awali ya yote Mtwara na Kusini yote kwa ujumla ina wasalimu sana.


Leo,baada ya swala ya ijumaa kama vile ilivokawa inatarajiwa na wengi mjini hapa,shura ya maimam kama wadau ambao walihusika kuwawakilisha wananchi katika kufikisha duku duku zao kwa mh. waziri mkuu ndugu Mizengo Pinda pale alipokafanya ziara ya kuzuru Mtwara,wametoa tamko lao fupi la mrejesho kwa wananchi kama ifuatavyo;


ndugu wanananchi,waislam na wasio waisalm,amani ya mwenyezi mungu iwe juu yenu..


Kama mlivyo tutuma kwenda kuwawakilisha kuongea na mh. waziri mkuu leo tumekuja kwenu kuleta mrejesho mfupi wa yale tuliyozungumza na mh wazir mkuu,,


Kwanza kabisa,msimamo wetu upo vile vile kama awali,suala la gesi liangaliwe kwa umakini wa hali ya juu na utekelezaji wake sharti uzingatie malalamiko ya wananchi,tamko letu sisi liko vile vile.


Kwa kuwa katika vile vipengele vyote tulivyoongea na mh. waziri mkuu ni kipengele kimoja tuu katika yale madai yetu kilichofanyiwa kazi,nacho ni kile cha mkuu wa mkoa kuomba radhi kwa wananchi,kwani mkuu wa mkoa kafanya hivyo.


Lakini katika vipengele vyote vilivyobakia serikali haijafanya chochote cha kuturidhisha,kwa hiyo sasa,tunatamka rasmi hatukufikia mwafaka na wazir mkuu..


Kwa mantiki hiyo sasa shura ya maimam inatoa angalizo kwenu wananchi waislam na wasio kua waislam kwa wakati huu tuwe watulivu,tusifanye fujo wakati shura ya maimam inaendelea na vikao na kutoa utaratibu wa kipi kitachofuata,vikao vinaendelea,,juma pili pia kutakuwa na kikao cha mwisho,na kikao cha juma pili kitatoa tamko la jumla ya nini kifanyike na kuangalia mwelekeko upi tuufate.


Tunawaomba sana wananchi tuwe watulivu,tusifanye fuzo za aina yoyote kwa mtu yeyote,tusiharibu mali ya mtu yeyote,tusiharibu mali za serikali na mtu yeyote,tuwe watulivu na tunawaomba tusirudi kule kwenye matukio ya wiki zile zilizopita.


Tungependa kupinga suala hili la gesi bila kufanya fujo na vurugu,,


"To protest without violence",,wasije wakapata sababu ya kusema ya kwamba tunachochea machafuko na uvunjifu wa amani,,


Tunawatakia ijumaa njema..,mwisho wa taarifa,.
 
Mwakidondo hili la Mtwara wala halina uhusiano kabisa na CHADEMA, watu wa Mtwara wanazunguka Tanzania na wanaona tofauti iliyopo kati yao na wanaoitwa watanzania wenzao wanaotumia raslimali kwa pamoja. Maoni ya ushabiki wa chama kama wako yanachochea tu chuki. Nusu saa iliyopita kuna magari ya yenye wanajeshi na poilsi yanaelekea Msimbaji kwa sababu tu waziri mkuu alipatana na watu wa Mtwara lakini alipofika Dom akasema tatizo ni mgawanyiko ndani ya CCM na sio suala la kiuchumi. Kuweni na huruma na watu Mtwara mtasababisha wauwawe bure kwa kauli zeni za kuwakejeli wakati ukweli ni kuwa mnaposema rasilimali kwa watanzania wote, tafsiri yenu ni watu wa Dar. Hivi watu wa Mtwara wanasikilizia nini wajeshi hao wanaenda kufanya Msimbati.
 
Kama kweli ni chadema ningeomba waongeze kidogo hiyo m4c,maana maccm waliwazoesha wananchi kuwaburuza kwenye haki zao! Kama ni uzushi mbona serikali imewakubalia wananchi wa mtwara?
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?

wewe ni mgonjwa siku ukipata dawa lazima utapona tu .Ungekuwa mwerevu ungeongea vya maana lakini kwa sabu unahitaji tiba utaongea visivyo na maana.Wewe UPO kimaslahi tu,hujijali kiafya wala huwajali wenzako (wtz).funguka acha kuwa ndani ya nyumba ya kobe.toka nje baba.
 
m4c ndiyo dawa ya magamba!! hatuwezi kuendelea kuvumilia rasilimali zote za nchi kumilikiwa na kikundi kimoja tu cha watu wanaojiita CCM...tutavunja ngome zote za majangili hawa
 
Chadema nikawaida yao kuzusha mambo ndo maana nasema chadema haitafika mbali wakendelea natabiya yao walio kuwanayo. Wanafanya ivyo ili wapate kura 2015 ila hawatapata kwa mambo wanayo yafanya.
 
kama siyo kilaza kabla hujawalaumu CHADEMA,tuambie CCM ndo imeshika dola kwa nini mikoa ya kusini imeachwa nyuma kimaendelea kama ni kweli kuna mgawanyo sawa wa rasilimali za taifa?
 
Chadema nikawaida yao kuzusha mambo ndo maana nasema chadema haitafika mbali wakendelea natabiya yao walio kuwanayo. Wanafanya ivyo ili wapate kura 2015 ila hawatapata kwa mambo wanayo yafanya.

Aisee.........na wewe umekwenda shule kweli?
 
Naipongeza serikali na hususani jitihada kubwa zilizofanywa na waziri mkuu Mhe. Pinda kuzima uasi mkoani Mtwara. Kilichotokea Mtwara ni matokeo ya kampeni kubwa ya uchochezi inayoendeshwa nchi nzima na CHADEMA kwa jina la M4C. CHADEMA kama walivyo wataalamu wa hali ya juu katika masuala ya uzushi, kwa makusudi kabisa waliamua kumgombanisha mheshimiwa Rais na wanamtwara.

Walichofanya CHADEMA ni kuamsha hasira za wanamtwara kwa kuwajaza porojo kuwa mhe. Rais kaamua kuihamisha gesi kutoka Mtwara na kuipeleka kwa bomba kwao Bagamoyo ambako pia kunajengwa bandari mpya kwa kutumia pesa ambayo awali "ilitengwa" kwaajili ya ukarabati na upanuzi wa bandari ya Mtwara. Hali ni maneno ambayo yalichochea hasira za wanamtwara na kuamua kufanya fujo hadi kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali.

Baada ya waziri mkuu kufanikiwa kuzima uasi huo ulioandaliwa kiufundi, CHADEMA wameazimia kuhakikisha hali ya usalama hairejei Mtwara kwa kuhamasisha tena vurugu kupitia kampeni yao ya M4C na safari hii itaongozwa mkoani humo na Mhe Godbless Lema. CHADEMA wahurumieni watanzania ambao siku zote mmekuwa mkijipambanua kuwa mnawapenda sana iweje mnawaingiza kwenye chokochoko ambazo zinasababisha maafa yao?
Wana Mtwara wakiisoma thread yako watakushangaa kwa UHARO uliopost.U MNYALUKWALE
 
Hawa Chadema kweli wachochezi,mana wamechochea kupeleka elimu ya uraia Mtwara,wamechochea kuficha mradi wa gesi,wamechochea mikataba mibovu ya madini,wamechochea Kinana kuwa Jangili na ameua tembo wengi kweli na Twiga kutoroshwa,wamechochea JK kuongeza safari za nje,amechochea jana jahazi kuzama, HAWA CHADEMA WACHOCHEZI KWELI MANA WAMECHOCHEA VITU VINGI KWELI
 
Back
Top Bottom