tubadilike-sasa
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 681
- 167
thHujui ulisemalo humu JF tunafahamiana kupitia mabandiko yetu....hata kama una ubongo mdogo kama wa kuku jaribu kufikiria kabla ujaandika pumba.
I think you are just a misguided freak
thHujui ulisemalo humu JF tunafahamiana kupitia mabandiko yetu....hata kama una ubongo mdogo kama wa kuku jaribu kufikiria kabla ujaandika pumba.
Tumaini Makene, John Mnyika, watu wanalalamika sana mnawatenga Waislam, Chadema kama chama kikuu cha upinzani nchini mnashindwa hata kutoa salam za EID...Waislam wameanza mfungo wa mwezi wa Ramadhan mpaka wamemaliza mmeshindwa kutoa kauli ya kuwatakia mfungo mwema kama watanzania wenzenu, tunachoona humu ni kejeli tu kutoka kwa wafuasi wa Chadema dhidi ya waislam waliofunga na wanaojiandaa kusherekea EID...
Sio mchwa ni sangara ila hawa wawe 50 kwa mie mmoja tu ,watanichoka !
Ndugu mbona unalia kabla hujapigwa? Kwani hukuliona kaburi la CCM pale Dodoma? Unafikiri Tanzania bado ipo usingizini? Ngoja utapigwa kidogo then utalia kwa wakati muafaka. Usianze na kilio kabla ya msiba. Zika kwanza ndiyo ulie.Huwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
cdm wakianza kutuma salamu watakuwa na tofauti gani na magamba ambao badala kuchangia hoja bungeni wanaanza kutuma salamu kwa familia zao, hivi wewe hushangai pamoja na chadema kuwa chama cha kikristo hakijawahi kutuma salamu za xmas.
Sijawahi kuona thread ya Mwiba yenye mantiki au logic, nadhani futari inasababisha usingizi na kupoteza common sense kwenye fuvu lake!
Vp sheikh, wenzio tushafungua weye bado , au mwezi ulioonekana ni wa BAKWATA!
Tumaini Makene, John Mnyika, watu wanalalamika sana mnawatenga Waislam, Chadema kama chama kikuu cha upinzani nchini mnashindwa hata kutoa salam za EID...Waislam wameanza mfungo wa mwezi wa Ramadhan mpaka wamemaliza mmeshindwa kutoa kauli ya kuwatakia mfungo mwema kama watanzania wenzenu, tunachoona humu ni kejeli tu kutoka kwa wafuasi wa Chadema dhidi ya waislam waliofunga na wanaojiandaa kusherekea EID...
Mbona hujamalizia na "zidumu fikra za mwenyekiti" wenu!Hivi hujawai kusikia kidumu Chama Cha Mapinduzi ? Au kusikia CCM oyee ,sasa salamu hizo hazipo kwenye hivyo vyama ulivyovitaja.
CDM haidumu ,ipo ipo tu !
Mbona hujamalizia na "zidumu fikra za mwenyekiti" wenu!
anza kushauri kukutatua mijitatizo iliyolundikana chama chako(ccm) ndipo uangalie expected matatizo ya wenzakoHuwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
Huwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
mkuu Lukansola, naona unapoteza ushahidi kabisaaaa, unapiga ngumi za mbavu tu!!!!! Ataenda kandwa maji ya moto na Nnape pale Lumumba.
Huwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
Huwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
Mleta mada yuko wapi? namtaka aje hapa ili tuendelee kuhangaika nae!
Aje kufanya nini wakati anajua alichokipost hata yeye kinamsuta, kwahiyo kahit and run! Futari imekosekana watu walishazoea kudoe futari za watu!
Unamfahamu nape? Unamfahamu dhaifu? Unamfahamu rostam?