Mimi ningemwalika ubaya magamba wanaiba mpaka vijiko na uma. Hawafai.
there you are, . . . . .ukigeuka linakugusa, ukitembea linaingia.
Hahahahaha lol.....yaani kama namuona Mwiba anavyokula ubwabwa kwa mikono tehe tehe!......ila huyu hashindwa kuondoka na sinia afta ubwabwa kuisha!
...Nasikia akisikia kuna ubwabwa mahali hubeba kachumbari yake kwenye box (empty) la kibiriti na kuliweka ndani ya Suruali yake...akishakaa mbele ya sinia hutoa kachumbari yake na kuanza kujichana kwa raha zake huku udenda unamchuruzika ndani ya sinia la ubwabwa lol!
Hivi hili la mradi wa kujitajirisha kwa baadhi ya makobe kuzunguka Tz nzima wakitumia mwevuli wa sangara.hulioni kama ni jipya ,funguka !
Hahahahaha ......hii ngumu kumeza BAK lol..............ujue umeandika ukweli sana eeh!......afu kumbe ubwabwa huwa unaharibu akila namna hii! Ila umenichekesha sana daaah!
....hahahahah lol! halafu atokee mtu atake kupitisha mkono kwenye kachumbari yake weee utakoma ubishi jinsi atakavyokujia juu lol!
Huwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
huwa nawashangaa sana hawa cdm hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu jf ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde cdm msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
Hapo kwenye bluu; aliyesema ushindi kwa cdm ni mwiko ni nani zaidi ya watz wote? hakuna aliye zaliwa na hati miliki ya tz. Isije ikawa hujui kuwa mwezi umeandama ndio maana ukali wa swaum unakufanya uote hata ukiwa unatembeaHuwa nawashangaa sana hawa CDM hususan wapenzi wao na wale wapiga debe humu JF ,niwaonavyo wapo katika daydreams zinazowapotezea muda.
Kushinda uchaguzi wa Uraisi kwa 2015 ni ndoto ambayo haitatimia na hizi mishemishe za kutangatanga kuzunguka Tz nzima ni kujitafutia hasara ambayo itakuja kuwa chachu ya kusambaratika ,ukweli kuna wachache ambao wanafaidika na mzunguko huu na kujilimbikizia hela.
Chondechonde CDM msije kusema hamkuambiwa kuwa ushindi kwenu ni mwiko ,kwanza muelewe kuwa mizunguko hii ya sangara ni mipango ya wachache ambao watatumia mkwanja huo kujitajirisha.
Aulize vyama tawala kenya(kanu), zambia(unip),uganda(upc) vipo wapi! (Bado vya Mobutu,Kaburu wa SA n.k)