KBOSCO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 376
- 83
- Thread starter
- #41
Hapo hakuna Kipya! yote ni yale yale, tulishayasikia yote hayo.
Halafu sijui nia yenu ni nn?
CHADEMA ni imani kama huna imani bye bye.
Bora kuwa na team ndogo yenye nidhamu kuliko kuwa na team kubwa mzigo.
hamuwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.
Team ndogo yenye #nidhamu !! haaaaaaya bhaaanaaa!!
Tukiwa #bondeni (south) au #dubai ,nidhamu tunaiacha #BONGO .
Kazaneni vijana wenye nidhamu!!!!!!