Soma contents ktk picha hizo.
hujasoma ukaona kwamba invisible naye alichangia?
kwahiyo The Invincible akichangia ndio sawa na Invisible ?
Hoja ishajibiwa wewe. jenga utaratibu wakupitia comments zanyuma.
Chadema ni chama imara na makini ni tasisi iliyo nchi nzima goooooooooooooo
Huyo ni mfanyakazi wa ndani anamsaidia boss wake. Wewe unadhani ajira ni rahisi kiivoo??
Halafu hao chini ni waimba kwaya/ngonjera wakitumbuiza mkutano.
Jibu hoja kwenye thread hapo juu. usilete #janjajanja kama kaka zako kina Mboweeh!!
Huu upuuzi tuliona kwa yule chokoraa aliyelipwa na Diallo!! hatuna shida nao!! siye tunaswaga mkoloni mbaya kuliko wote duniani aondoke CCM ni Chama Cha Majambazi!! We are focussed!!Soma contents ktk picha hizo.
i was not responding to you, coz i asked the same question twice na ulishindwa kujua kwanini nauliza the same question
Upeo bado ni shida
Basi kama wewe ni Mhasibu
Tutaiomba Bodi ya Taiwan ya Wakaguzi na Wahasibu ukufute huna sifa unatoa siri za muajiri bila idhibi ya wahusika ni sawa na mkeo ama mme anakovu sehemu za siri unamtangaza. Mimi binafsi ni mhasibu huyo jamaa kama angekuwa na sifa za kihasibu angepaswa akishauri chama kikaguliwa na independent auditor nasio kuropoka kama mlevi wa kiroba
Kweli mkuu amejitambua vilivyo kwa kuamua kujitoa ufahamu na kuwa miongoni mwa walamba viatu vya mafisadi View attachment 194297View attachment 194298