Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Huyo ni mfanyakazi wa ndani anamsaidia boss wake. Wewe unadhani ajira ni rahisi kiivoo??
Halafu hao chini ni waimba kwaya/ngonjera wakitumbuiza mkutano.
Jibu hoja kwenye thread hapo juu. usilete #janjajanja kama kaka zako kina Mboweeh!!
Huyo mtoto anaacha kusoma anahangaika na matapeli ya ufipa.....
Hao anaowashabikia watoto zao wapo nje ya nchi kabaki yeye anabebeshwa mabango Kama choko