Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,203
- 7,054
Mmmmmmmhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nimekumbuka Rufiji ni kule wengi wao wanafuga Mabusha kama utajiri au Umwinyi?
VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!
mimi nadhani wamekumbatia zaidi udini. Wewe angalia hapa jf tu utajua
VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!
Poor place!,VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!
VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!
Unaposema Chadema imeangukia PUA, kwani kabla ya hapo Chadema walikua wanashikilia vitongoji na vijiji vingapi? Kama hawakua navyo na hakuna juhudi zilizofanywa huko na chadema, basi hawajaangukia PUA na endeleeni kuomba Operation Sangara (VAU GAMBA VAA GANDWA au M4C) isiende kule!!
Mimi nawaheshimu sana wachungaji. Lakini wachungaji wa siku hizi ni tabu tupu. Sijui ni Njaa imezidi au ni nini? Wako tayari hata kumpigia shetani magoti na kuweka maandiko matakatifu kwapani ili mradi tu kuna riziki. Ufisadi umekemewa mara ngapi kwenye Biblia?
Chadema wanakemea huo huo ufisadi wewe unasema ni genge la wahuni, kwa sababu tu wanagusa mahali ambapo wewe unategemea kutupiwa vijisenti vya bure kama mbwa koko anayetupiwa mifupa. leo umeacha kusema ukweli unaungana na Mafisadi halafu unajiita Mchungaji.
Kwa hiyo makanisa na misikiti inayokemea ufisadi nayo ni magenge ya Wahuni???
Umeweka pembeni neno la Mungu, umeweka pembeni haki unashabikia Mafisadi?
Hata huyo YESU unayekemea katika jina lake alijua njaa inaweza kumtoa katika mstari wa mapenzi ya MUNGU ndio maana akakataa kufanya mawe yawe mkate ili ale apate kuondonana na njaa.
Njaaa!!! Njaaa!! mbaya chunga hizo njaa Mchungaji, Kama sadaka hazikutoshi njoo vijiweni tupasue kokoto tutapata riziki kuliko kudhalilisha kazi ya BWANA
VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!
VIJIJI ; CCM - vijiji 11, CUF -vijiji 3, Chadema -0.
VITONGOJI; CCM- Vitongoji 27, CUF - 6 na CHADEMA- 0
RIP CHADEMA, MKAPUMZIKE KWA AMANI! Poor you!