Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,026
- 32,475
Yaani wewe ndugu huelewi kazi ya chama cha siasa. Chama kiwe CDM, CCM Democratic (usa) au Labour (uk) HAKITOI PESA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO. Hapa CDM inapongezwa kwa kuwakumbuka wanaigunga even though hawakumchagua mgombea wake. Second CDM inapongezwa kwa kuonesha inavyoweza kutumia vema michango ya wanajamii na wapenda maendeleo. Ingekuwa Magamba kingechimbwa kisima kimoja tena msoga.
Wewe ndugu yangu unaonekana debe tupu ujui chochote.
CDM wamefanya nini? Eti wamewakumbuka watu wa Igunga.
Visima anajenga Sabodo hata uko Igunga alioamua kwenda kujenga visima ni Sabodo wala sio CDM kijana.
Kwa kukusaidia Sabodo anajenga visima 700 visima 200 atajenga kwenye majimbo ya ubunge walioshinda CDM.
Visima 500 atajenga sehemu tofauti tofauti hapa nchini.
Unaleta mifano ya UK. US. Kwenye mambo ya visima vya Sabodo