Kinachosikitisha ni baadhi ya vyama kung'ang'ania majimbo ambayo hawajawekeza kabisa.wakati cdm wanafanya mikutano na kuhamasisha wananchi kujiandikisha wao wapo majumbani kwao tu wamekalisha mbunye.Hatuwezi kuota kwenda ikulu huku wenzetu wamekaa tu na hiyo nia dalili ya kugawa majimbo bure kabisa kwa ccm
Kinachosikitisha ni baadhi ya vyama kung'ang'ania majimbo ambayo hawajawekeza kabisa.wakati cdm wanafanya mikutano na kuhamasisha wananchi kujiandikisha wao wapo majumbani kwao tu wamekalisha mbunye.Hatuwezi kuota kwenda ikulu huku wenzetu wamekaa tu na hiyo nia dalili ya kugawa majimbo bure kabisa kwa ccm
Unaweza kuyataja hayo majimbo mkuu, ili na sisi tupate mwanga.
Segerea Mpendazoe alikosa kwasababu Wapinzani waligawana kura. i.e Jumla ya kura za Wapinzani zilikuwa zaidi ya CCM. Tarime CDM walikosa lakini kura za CDM + CUF zilikuwa zaidi ya CCM. The same scenerio kwa majimbo mengine. Je, nini kinachokufanya uamini kwamba 2015 hali kama hiyo haitatokea tena?
Lakini pia, lengo kuu la UKAWA ni kumuondoa mkoloni mweusi CCM madarakani, sio CDM kupata viti vingi vya ubunge. CDM ime sacrifice hayo kwa masilahi mapana ya Watanzania.
Kinachosikitisha ni baadhi ya vyama kung'ang'ania majimbo ambayo hawajawekeza kabisa. Wakati CHADEMA wanafanya mikutano na kuhamasisha wananchi kujiandikisha, wao wapo majumbani kwao tu.
Hatuwezi kuota kwenda ikulu huku wenzetu wamekaa tu na hiyo nia dalili ya kugawa majimbo bure kabisa kwa CCM.
Kwa kweli,mleta uzi ana pointi ya msingi sana lakini ngoja tu tuseme kuwa un apoungana unasacrifce baadhi ya tunu zako.Kwa mafano jimbo la Serengeti,katibu mkuu wa nccr mh.Mosena Nyambabe analing'ang'ania lakini ukiangalia,nccr haina hazina yoyote ktk hilo jimbo,haina hata ofisi moja ya tawi jimbo zima.
Na huyu mh.amekuwa akigombea ktk hili jimbo miaka nenda rudi lkn hajawahi kuwa tishio kwa ccm hata siku moja.Leo hii CDM imeimarika Serengeti,viongozi wa cdm vitongoji,vijiji na kata kila kona ya jimbo,vijana wa boda boda pale stendi ya Mugumu mjini kila wakilala wakiamka ni CDM leo unaenda kuwambia eti nccr ambayo hata hawajawahi kuujua huo msamiati hapo kabla.
hata mimi hii kitu inanipa shida sana, anyway kwa sisi wakristo tunaamini yesu alikufa msalabani kwa ajili yetu. Nadhani katika hili inabid cdm nao wafe msalabani kwa ajili ya taifa letu. Hizo nafasi wacha wapate na hivyo vyama vingine ili lengo la kuitoa ccm lifanikiwe. Huko mbele ya safari tutaweka mambo sawa.
wewe sheeenz zanzibar sio mkoa kua na adabu na baba zako