CHADEMA: Usalama wa Taifa unatengeneza Ushahidi katika kesi ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Yote mnayopanga magamba yatajulikana masaa machache baada ya vikao vyenu vya siri. Maana hata hao mnaowaita usalama wamechoshwa na mapungufu yenu
 
Idadi kubwa ya wajinga ndio mahafidhina wa maendeleo ya nchi hii mnafikiria kuwa hii nchi mtatawala milele co na ndio maana mnapelekea elimu ya nchii hiii kuwaaa duni ili wajinga wawe wengi mpateee kuwadanganya kwa tape za uongo co hili waamini co woteeee wana kubaliana nanyiii.Tengenezeni shutuma zote lakini mwisho wa siku kila mmoja aliyeshiriki kwenye kutengeneza tuhuma kwa mwingine mtalopoka tu kwani hakuna masika yasioyo na ncha.:high5::frusty:
 
Katika masuala mbalimbali yanayotokea ndani ya chadema hapa nchini yanayoonekana kukichafua chama hicho, imekuwa ni kawaida kwa viongozi waandamizi wa chama hicho kuvituhumu vyombo vya dola kuwa ndio waratibu. Mambo hayo ni pamoja na kushindwa kwa dr slaa kwenye uchaguzi mkuu 2010 ambapo slaa na chadema waliibuka waziwazi na tuhuma kuwa usalama wa taifa wameiba kura za slaa. Pili ni operation mbalimbali zinazofanywa na chadema, zinapo fall haraka wanaituhumu dola iwe polisi au usalama au vyote.

Jambo lingine ambalo bado lipo hot na linaendelea kugonga vichwa vya watanzania ni hili la MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA WA CHADEMA WILFRED LWAKATARE ambapo CHADEMA kupitia kwa Tundu Lissu wanaendelea kuituhumu dola kuwa imemnunua LUDOVICK, personal secretary wa slaa ili atoe siri za mikakati na mipango ya chadema kwa wapinzani wao CCM kupitia kwa mwigulu Nchemba. Kmsingi Tundu Lissu anakubali kuwa ile video ni ya kweli lakini haikupaswa kutolewa hadharani.
Haya ya Lissu yamekuja baada ya Dr Slaa kuibuka siku chache baada ya kukamatwa kwa LWAKATARE na kuituhumu dola hususan usalama wa taifa.

Haya ni machache kati ya mengi yaliyopata kujiri hapa nchini. swali linakuja, je, kwa mtindo huu wa CHADEMA ambacho ni chama tegemewa kuitwaa ikulu mwaka 2015 kujenga uadui na vyombo vya usalama, watafanikiwa kuitwaa kweli hiyo ikulu na kisha kupata ushirikiano wa dhati kutoka kwa vyombo hivi vya dola hasa usalama wa taifa na polisi ambao ndio vyombo muhimu katika utawala wowote wa serikali yoyote hapa duniani???? kama chadema inategemea kuja kuunda intellijensia yake, ikumbukwe kuwa hii iliyopo sasa ipo kisheria na kikatiba hivyo ni ndoto kuongoza kwa mafanikio huku ukiwa katika uadui na chombo unachotegemea kikupe ushirikiano katika utawala wako.

Tujadili bila jazba kwa ujenzi wa demokrasia pana ndani ya Tanzania huru.
 
jinsi chadema isivyoamini usalama wa taifa ni bayana kuwa chadema washajua kuwa hawana uwezo wa kuongoza dola. Huwezi kutaka kuongoza dola wakati huamini vyombo vya usalama.
Hii ni sawa na mtu ambaye anasema madaktari wanataka kumuua halafu anaenda hospitali kwao kufanyiwa operation!!!

sio usalama taifa wa jakaya mrisho kikwete ambao hata viongozi wa serikali wenyewe hawauamini.mbona enzi za mkapa haukulalamikiwa kiasi hiki saizi hawa jamaa wamegeuka kuwa genge la wanasiasa!!!!!!!! Wafanye fitina lakini maamuzi yapo kwa wananchi kuna mtu alikuwa anaaskari na uslama wa taifa wengi kama hosni mubaraka wa misri??saizi yuko wapi na chama chake???
 
Hivyo ndivyo walivyopanga , lakini kila njama itabainika ! na baada ya siku chache wapanga njama wote watatajana ! Cdm ni kiboko !

mtindo huu uko cdm wa kupanga kuuwa watu na baadaye mnatajana haya mambo ya kuuwa watu mnayo cdm hayapo vyama vingine.
 
Rais George H. Bush wa marekani alikuwa Director wa CIA lakini kugombea kwake Urais hakujawafanya wamarekani wazalendo kupteza imani na CIA na wala hakujakifanya chama cha Democrats kutoa kauli za kuidhalilisha CIA na kuichonganisha na wananchi.

Swala ni uzalendo. Wanasiasa wetu wanapaswa kuchagua vitu vya kuvifanyia siasa na vitu sensitive vya kuvihandle with extra care.
Mkuu ZeMarcopolo kwani CIA imewauwa Wamarekani tena wazi wazi??????? CIA inachochea uongo na kutunga kesi eti kumaliza chama cha upinzani, kwani wapinzani sio walipa kodi wanayolipwa mishahara hao wauwaji na watesaji????

 
Kwani CHADEMA haijui kazi ya Usalama wa Taifa ni nini? Kwani hawajui nini maana ya kulinda dola isianguke? Kwani hawajui dola inaongozwa na chama gani? Kwani hicho chama kinataka kupoteza dola?
Katiba mpya 'makini' ndiyo suluhisho siyo kulalama kila leo..Wahamasisheni wanachama wenu waingie kwenye mabaraza ya kata ya katiba kwa wingi.
 
Me naamin kuna TISS wazalendo na wenye akili na labda ndo hao wanafunua madudu ya serikali na kuwapa siri na evidence CDM..
 
Utawala wa sheria marekani umetamalaki hakuna mahara CIA wanaweza kukingia maovu ya mwanasiasa yeyote, hakuna mahara wameachia mali na rasilimli za nchi zikateketezwa na vikundi vya wajanja kinyume chake wamezuia uovu ,ubaradhuri wa baadhi ya mabenk na wafanya biashara waliokiuka sheria,hata watu waliotaka kulitia aibu taifa lao,wanajua wajibu wao kama CIA,juzi tu mkuu wa CIA aliyepata kuongoza vita Afghanistan walimgundua kuwa alikuwa na mahusiana ya nje ya ndoa yake akasitishwa kazi kwa kujiuzulu , mfano gani wa hawa usalama wataifa utausema wakati wameachia nchi inaingia mikataba mibovu,ardhi inaporwa,wanyama wanaibwa,viongozi wanajilimkizia mali,udini unatamalaki, tunu za taifa zinavurugwa ndio maana idadi kubwa ya watanzania wameondoa heshima kwao kwa kiwango kikubwa sana
Mkuu kwa kiwango fulani nakubaliana na wewe lakini tukirudi nyuma katiba haiwapi uhuru wa kufanya kazi kwa maslahi ya taifa bali wanalinda serikali iliyoko madarakani!!! Wanapewa amri na Raisi hata kama ni mbovu za wizi na kudhulumu, nadhani si wote wanakubaliana bali wanalinda kitumbua chao kwa muda huu!!! Katiba mpya iweke nafasi na uwazi wa kazi za usalama wa taifa wawe na uhuru wa kufanya kazi za kitaifa sio kulinda chama tawala!!!

 
Jinsi chadema isivyoamini usalama wa taifa ni bayana kuwa chadema washajua kuwa hawana uwezo wa kuongoza dola. Huwezi kutaka kuongoza dola wakati huamini vyombo vya usalama.
Hii ni sawa na mtu ambaye anasema madaktari wanataka kumuua halafu anaenda hospitali kwao kufanyiwa operation!!!

.
Ni afadhali mtu kusema humwamini Daktari na kisha kumwendea kwa matibabu kuliko kumng'oa meno na kucha halafu ukamtegemea huyo huyo akutibu.
Kwa sasa hivi Tanzania hatuna usalama wa taifa ila chama cha siasa kisichosajiliwa kinachojiita usalama wa taifa.
.
 
Jimmy carter wa marekani alipochukua madaraka miaka ya 1970,alimtoa george bush aliekua director wa CIA,pia akawafuta kazi maajenti wa CIA kama 800.kilichotokea hao akina bush and COMPANY,walihakisha jimmy carter anakua one term presdent kwa hujuma walizomfanyia.

Nilikuwa mwalimu kipindi kile. Mengine nakumbuka mengine nimesahau. Lakini hoja yako inasadia ufafanuzi wa hatma ya TISS. Wao wajiandae tu kwa major shake-up pale. Na kama wanadhani watafaulu kukivuruga Chadema kwa mbinu zao chafu tuombe tu Mungu awafunulie kuwa wanachofanya ni kuichefua jamii zaidi, kuichefua jamii ni kuchochea vurugu katika taifa.

Washauriwe kuwa neutral kabisa--hata ikiwezekama wasaidie kuiondoa CCM madarakani KWA AMANI. Hapo watakuwa wanafanya kazi ya Usalama wa Taifa.

Hawa tuwaandalie tu shuhuli za kufanya uraiani muda si mrefu.
 
RIZI WANI, WEWE NI MUNGU?
SIO KWAVILE BABAYAKO NI RAIS NDO UROPOKE APA, CCM NDIO ITAPOTEA..
DUNIA INAJUA KINACHO ENDELEA.
Na sisi wananchi pia.subiri CDM ichukue nchi alafu muame nchi.
Vyote mlivyo tuibia vitarudi.
WATU TUMECHOKA NA CCM.
 
Ok upinzani ukifa then what next? Turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja? Democracy turned upside down!
 
Unajua role ya Usalama wa Taifa katika transition of Power?
Je wewe huijui?
Kama waijua basi iweke hadharani maana unaishia kuuliza uliza kama aliyepotea njia. Tambua jambo moja, hiyo IDARA mnayoilazimisha iwakumbatie ndo mshaiharibu na imegeuka kuwa ngazi ya ma-CCM kuingia madarakani.
Jiulize wewe sasa, TISS wanatafuta nini kwenye mikutano ya uchaguzi wa ndani CCM? Kama ni utaratibu wao, kwa nini hawahusiki kwenye vyama vingine?

Kukabidhiana madaraka ni tukio la kisheria na kiusalama, na usidhani hao walioapa (unajua nasema nini) kutumikia serikali ya JMT ambayo inaongozwa na CCM watawasaidia tena ifikapo 2015. Tutalinda kura zetu na kuikabidhi nchi yetu kwenye mikono salama na si majambazi nyie tena. Wapo watanzania wenye akili, weledi na uzalendo kwa taifa hili ambao wanaweza kuisuka taasisi upya na kupangua makapi yote kisha tukaanza upya.

Ndugu elewa kila kilichoanzishwa na mwanadamu kinaweza kuharibika na kubadilishwa ikibidi.
 
hao unaosema walikufa kwenye mazingira tete wewe na wenzako mtakuwa mmeshiriki kuwaua halafu umeongea habari ya walingozi ukadai amewahi kuwa kiongozi wa uwt hii mbona ni umoja wa wanawake tanzania na huyu ni mwanaume wapi na wapi.
Umekurupuka tena usingizi wewe ni wa juzi huwezi kujua mambo ya zamani fanya utafiti kwanza!!! Waingozi alikuwa mtuumaarufu saana kwenye usalama wa taifa, Gen Kombe alikuwa mkuu wa kitengo cha usalama wa taifa kabla ya kustaafu!! UWT ni kiswahili, maana yake ni Usalama wa Taifa!!!

 
Ok upinzani ukifa then what next? Turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja? Democracy turned upside down!

upinzani ni zaidi ya chadema. walikuwepo nccr mageuzi, tlp, cuf na sasa chadema. huo ni upepo tu unapita
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom