Taratibu kitaeleweka tu. Tupo pamoja, mapambano yanaendelea.
Ova
mkuu wewe ni ps wa mbowe?
Mbona kilishaeleweka kitambo kuwa ukawa ni genge la wahuni...
Mkutano wa kesho ni wa Chadema na tayari umeanza kutangazwa, ila member wa UKAWA wataalikwa kwa ajili ya kuendeleza mashirikiano ambayo tayari yamekwisha kuanza. Watu wa CCM lazima muelewe kuwa uwepo wa UKAWA haujafuta uwepo wa vyama vya CUF,NCCR na CHADEMA wala shughuli zao za kujiimarisha kama vyama vya siasa, kimsingi UKAWA unahimiza kila chama kuendelea kuimarisha ngome zake ili kwa pamoja tuwe na nguvu ya kukabiliana na mafisadi CCM ifikapo uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Mnaofahamu hivyo mko watatu tu Tanganyika nzima. Ambao ni wewe, mumeo na baba yako.
Ova
Huna kazi ya kufanya?
Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
Mbona kilishaeleweka kitambo kuwa ukawa ni genge la wahuni...
Mkuu, Mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na BBC hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.
Unatafuta bwana?
Itakuwa ni hang over na uchovu kwa kweli, si unajua mtu akitoka na bi mdogo anavyotumika..... Ni shiiida.
Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
Chama Cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA & UKAWA watakuwa kwa medani za jiji la Mwanza kesho kati ya hawa watakuwepo MBOWE, PROF SAFARI, LISU na MNYIKA medani ni kati ya FURAHISHA & MIRONGO PRIMARY. "UKAWA TUMAINI LETU"
Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama
Ama kweli Mnyamwezi ni Mnyamwezi habadiliki,hivi we Professa mzima unakua matakoni kwa Mbowe namna hiyo,chama chako kilikuwa maarufu hadi kutikisa nchi,umeshindwa kukiendeleza leo unakaa matakoni mwa hao wachaga,subiri wakufix
Habari mjukuu wa kingunge?Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama
Hiyo kauli mbiu ya kanisa ya kusema "KRISTO, TUMAINI LETU" ambao mmeiita "UKAWA TUMAINI LETU" ndio inatutisha sisi tusio na imani hiyo.