Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
Ww CCM tulia, ss wengine ambao hatujatajwa tunajijua.
Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la ukawa?
mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama
kila heri makamanda MUNGU awatangulieMkutano wa kesho ni wa Chadema na tayari umeanza kutangazwa, ila member wa UKAWA wataalikwa kwa ajili ya kuendeleza mashirikiano ambayo tayari yamekwisha kuanza. Watu wa CCM lazima muelewe kuwa uwepo wa UKAWA haujafuta uwepo wa vyama vya CUF,NCCR na CHADEMA wala shughuli zao za kujiimarisha kama vyama vya siasa, kimsingi UKAWA unahimiza kila chama kuendelea kuimarisha ngome zake ili kwa pamoja tuwe na nguvu ya kukabiliana na mafisadi CCM ifikapo uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Niko safarini naenda kuwasikiliza makamanda , wenye wivu wajinyonge.
Ama kweli Mnyamwezi ni Mnyamwezi habadiliki,hivi we Professa mzima unakua matakoni kwa Mbowe namna hiyo,chama chako kilikuwa maarufu hadi kutikisa nchi,umeshindwa kukiendeleza leo unakaa matakoni mwa hao wachaga,subiri wakufix
Ama kweli Mnyamwezi ni Mnyamwezi habadiliki,hivi we Professa mzima unakua matakoni kwa Mbowe namna hiyo,chama chako kilikuwa maarufu hadi kutikisa nchi,umeshindwa kukiendeleza leo unakaa matakoni mwa hao wachaga,subiri wakufix
Ilianza UKAWA sasa ni CHADEMA+UKAWA??????
Hahaha unafiki huu ni hatari. Mwaka huu tutaona kila rangi zenu za unafiki. Nasikia mmemsajiri na Warioba?
Nawewe siku hizi ni mwana ukawa? Mbona wawatetea hao wengine?Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
Nadhani Mbowe ndiye anatumia nyota ya Lipumba.
Niko safarini naenda kuwasikiliza makamanda , wenye wivu wajinyonge.
Ktk msafara wa Mamba na Kenge vipofu wanajiunga na wanajitia kimbelembele, wewe Gamba na UKAWA wapi na wapi, hata wakitaja Chama kimoja kilicho ktk UKAWA inaihusu wapi ccm kujinyea nyea kila UKAWA inapotajwa?
Mkutano wa kesho ni wa Chadema na tayari umeanza kutangazwa, ila member wa UKAWA wataalikwa kwa ajili ya kuendeleza mashirikiano ambayo tayari yamekwisha kuanza. Watu wa CCM lazima muelewe kuwa uwepo wa UKAWA haujafuta uwepo wa vyama vya CUF,NCCR na CHADEMA wala shughuli zao za kujiimarisha kama vyama vya siasa, kimsingi UKAWA unahimiza kila chama kuendelea kuimarisha ngome zake ili kwa pamoja tuwe na nguvu ya kukabiliana na mafisadi CCM ifikapo uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Mkutano wa kesho ni wa Chadema na tayari umeanza kutangazwa, ila member wa UKAWA wataalikwa kwa ajili ya kuendeleza mashirikiano ambayo tayari yamekwisha kuanza. Watu wa CCM lazima muelewe kuwa uwepo wa UKAWA haujafuta uwepo wa vyama vya CUF,NCCR na CHADEMA wala shughuli zao za kujiimarisha kama vyama vya siasa, kimsingi UKAWA unahimiza kila chama kuendelea kuimarisha ngome zake ili kwa pamoja tuwe na nguvu ya kukabiliana na mafisadi CCM ifikapo uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.