Wakuu zangu wenye akili kubwa na Great thinker msifanye kuyasoma yote haya kwa ushabiki kama mnavyojaribu kuchagua upande pasipo kupima maneno ya mtu na UKWELI ni upi?
Kwanza kabisa inakuwaje watu leo mnamwona Dr.Slaa mlomuamini hadi kumpa ridhaa zenu agombee Urais leo ndiye muongo kwa sababu gani, wakati alozungumza karibu nusu yake ni fact mnazozifahamu toka zamani mkiwa Chadema Asilia? Kipi kimewachukiza zaidi kusema ni UFISADI wa Lowassa ama makosa yalofanywa na Chadema kumteua Lowassa kuwa mgombea Urais!.
Labda mimi nikammue hili jipu alopasua Dr.Slaa ambaye sasa mtaitwa Msaliti kwa sababu tu kasema ukweli usokubalika! Maana katika mila zetu msema ukweli usotegemewa huitwa muongo!. Swala la Ujio wa Lowassa Chadema, mimi nimelijua toka nikiwa Tanzania mwezi December mwaka jana! kwa hiyo huyu Tundu Lissu anachoongea nini? na anafikcha nini ili iweje maana ya Mujini sisi wengine ndio huamka nayo!
Halafu ikiwa kweli Dr.Slaa ndiye alochaguliwa kuwa mgombea Urais wa Chadema sijui toka April ilikuwaje asitangazwe muda woteee hadi Lowassa katemwa CCM! Mlisubiri nini hiyo kamati kuu kumtangaza Dr.Slaa maana asingeweza jitangaza mwenyewe! Ikiwa kweli hatua zote zimeshapitiwa na kumchagua yeye kwa nini hakutangazwa kama CUF walivyofanya mwezi wa 6? halafu nasikia madai mapya ya kwamba Dr.Slaa ndiye alokuwa kiungo baina ya Lowassa na Chadema! jamani jamani toka lini Lowassa akawa na ukaribu na Dr.Slaa? yaani Dr.Slaa amtume Gwajima kwa Lowassa pasipo Mbowe kujua ana mzee Mtei? Dr. Slaa awe na mamlaka hayo basi ingekuwa rahisi kwake hata kumkataa Lowassa Chadema wote mungemuunga mkono maana yeye mshenga ndiye alomleta..Iweje leo mkatae maoni yake yeye alomleta kana kwamba nyie ndio wenye muafaka naye!
Na toka lini Katibu mkuu awe na mamlaka zaidi ya Mwenyekiti au hata mkamati kuu kufikiria na kuandaa ujio wa Mgombea Urais? Hata yale ya mwaka 2010 ya ujuio wa JK na mtandao hakuhusika wala ya mwaka 2005 ya kina Sitta hakuhusika, iweje leo yeye ndiye awe kiungo na mtu ambaye hawatazamani hata usoni? Hivi nyie watu mnamjua chuki ilokuwepo baina ya Lowassa vs Dr Slaa kweli au mnasimuliwa tu vibarazani?
Humu Humu JF tulielezwa mazungumzo baina ya Chadema na Lowassa yalianza toka mwaa 2011, iweje leo mshangae na kusikiliza uongo wa Tundu Lissu mfitini mkubwa alozoea vya kunyonga toka wakati wa Zitto akiwa Chadema. Kusambaratika kwa Chadema kote kunamhusu mimi najua hilo na kwa uhakika na kila wakati yeye amekuwa akipanda ngazi kutafuta nafasi ya juu ndani ya chama tena basi alitaka yeye achaguliwe kuwa mgombea!. Abishe hapa JF kama nasema uongo...
Na toka lini mtu yeyote uwe kiongozi wa Chama umepitishwa kuwa mgombea URAIS na baraza kuu au mkutano mkuu halafu wewe wende kumtafuta mtu mwingine toka chama kingine sijui awe badala yako hii inaingia akilini kweli? Yaani leo CCM wampitishe Magufuli halafu yeye aende kumtafua Dr.Slaa wa Chadema ambaye sii mwachama atawaambia nini wana CCM hadi waridhike! Dr. Slaa alijuaje kuwa Lowassa hatapitishwa CCM hadi atafute mbinu ya kumleta Chadema ilihali yeye ni katibu mkuu tu, Je, katiba inampa mamlaka hayo?
Halafu kumbukeni vizuri kuwa Mzee Mtei alifunga safari kutoka Moshi kuja Dar kumshawishi Dr.Slaa ikashindikana, halafu ikasemekana Slaa katumiwa watu wengine kina Hemed Seif na Profesa Safari nyumbani kwake kisha Mbowe akasema Dr.Slaa anajipumzika atakuwa nao atakapo kuwa tayari hii ni katika kutambulishwa Lowassa!. Leo hata kupumzika kwake walokutangaza wenyewe wanasema ni uongo angekuwa kaacha siasa asingekuwa anatumia mali za Chadema.
Sasa kama kweli Dr.S;laa alikuwa bado Katibu mkuu wa Chadema kwa nini mli hack twitter yake, ukiingia unamkuta Lowassa akjitangaza katika ukumbi wa Dr. Slaa! WHY? tena baada tu ya yeye kuandika juu ya kuhofia maisha yake na maelezo machache sana kuhusu kupingana nanyi?..
Kwa nini mlimnyima Jukwaa leo mtasema alitaka mwenyewe ilihali mlimkataza asizungumze na chombo chochote cha habari laa sivyo maisha yake yako hatarini? Mimi nilibahatika kuyasoma haya aliyaandika Twitter yake, kina nyie mkadai kuwa huyo sio yeye ni mkewe anayeandika haya! Ati Dr.Slaa yupo nanyi anapumzika tu atakuja kumkabidhi Lowassa fomu ya kugombea Urais mara atakuwepo ktk ufunguzi wa kampeni? sio nyie Chadema kina Yericko na Tumaini!. Sisi wengine hatusahau maneno tukisoma yanakaa kichwani..
Sasa ngoja nimsome vizuri Tundu Lissu mfitini mkubwa, halafu nitakuja na maelezo yangu kwa ufasaha zaidi maana UKWELI sisi wengine tunaujua japo kuna mambo mengine unayaminya hadi yanapokufika kooni inabidi utatapike..
Kwanza kabisa inakuwaje watu leo mnamwona Dr.Slaa mlomuamini hadi kumpa ridhaa zenu agombee Urais leo ndiye muongo kwa sababu gani, wakati alozungumza karibu nusu yake ni fact mnazozifahamu toka zamani mkiwa Chadema Asilia? Kipi kimewachukiza zaidi kusema ni UFISADI wa Lowassa ama makosa yalofanywa na Chadema kumteua Lowassa kuwa mgombea Urais!.
Labda mimi nikammue hili jipu alopasua Dr.Slaa ambaye sasa mtaitwa Msaliti kwa sababu tu kasema ukweli usokubalika! Maana katika mila zetu msema ukweli usotegemewa huitwa muongo!. Swala la Ujio wa Lowassa Chadema, mimi nimelijua toka nikiwa Tanzania mwezi December mwaka jana! kwa hiyo huyu Tundu Lissu anachoongea nini? na anafikcha nini ili iweje maana ya Mujini sisi wengine ndio huamka nayo!
Halafu ikiwa kweli Dr.Slaa ndiye alochaguliwa kuwa mgombea Urais wa Chadema sijui toka April ilikuwaje asitangazwe muda woteee hadi Lowassa katemwa CCM! Mlisubiri nini hiyo kamati kuu kumtangaza Dr.Slaa maana asingeweza jitangaza mwenyewe! Ikiwa kweli hatua zote zimeshapitiwa na kumchagua yeye kwa nini hakutangazwa kama CUF walivyofanya mwezi wa 6? halafu nasikia madai mapya ya kwamba Dr.Slaa ndiye alokuwa kiungo baina ya Lowassa na Chadema! jamani jamani toka lini Lowassa akawa na ukaribu na Dr.Slaa? yaani Dr.Slaa amtume Gwajima kwa Lowassa pasipo Mbowe kujua ana mzee Mtei? Dr. Slaa awe na mamlaka hayo basi ingekuwa rahisi kwake hata kumkataa Lowassa Chadema wote mungemuunga mkono maana yeye mshenga ndiye alomleta..Iweje leo mkatae maoni yake yeye alomleta kana kwamba nyie ndio wenye muafaka naye!
Na toka lini Katibu mkuu awe na mamlaka zaidi ya Mwenyekiti au hata mkamati kuu kufikiria na kuandaa ujio wa Mgombea Urais? Hata yale ya mwaka 2010 ya ujuio wa JK na mtandao hakuhusika wala ya mwaka 2005 ya kina Sitta hakuhusika, iweje leo yeye ndiye awe kiungo na mtu ambaye hawatazamani hata usoni? Hivi nyie watu mnamjua chuki ilokuwepo baina ya Lowassa vs Dr Slaa kweli au mnasimuliwa tu vibarazani?
Humu Humu JF tulielezwa mazungumzo baina ya Chadema na Lowassa yalianza toka mwaa 2011, iweje leo mshangae na kusikiliza uongo wa Tundu Lissu mfitini mkubwa alozoea vya kunyonga toka wakati wa Zitto akiwa Chadema. Kusambaratika kwa Chadema kote kunamhusu mimi najua hilo na kwa uhakika na kila wakati yeye amekuwa akipanda ngazi kutafuta nafasi ya juu ndani ya chama tena basi alitaka yeye achaguliwe kuwa mgombea!. Abishe hapa JF kama nasema uongo...
Na toka lini mtu yeyote uwe kiongozi wa Chama umepitishwa kuwa mgombea URAIS na baraza kuu au mkutano mkuu halafu wewe wende kumtafuta mtu mwingine toka chama kingine sijui awe badala yako hii inaingia akilini kweli? Yaani leo CCM wampitishe Magufuli halafu yeye aende kumtafua Dr.Slaa wa Chadema ambaye sii mwachama atawaambia nini wana CCM hadi waridhike! Dr. Slaa alijuaje kuwa Lowassa hatapitishwa CCM hadi atafute mbinu ya kumleta Chadema ilihali yeye ni katibu mkuu tu, Je, katiba inampa mamlaka hayo?
Halafu kumbukeni vizuri kuwa Mzee Mtei alifunga safari kutoka Moshi kuja Dar kumshawishi Dr.Slaa ikashindikana, halafu ikasemekana Slaa katumiwa watu wengine kina Hemed Seif na Profesa Safari nyumbani kwake kisha Mbowe akasema Dr.Slaa anajipumzika atakuwa nao atakapo kuwa tayari hii ni katika kutambulishwa Lowassa!. Leo hata kupumzika kwake walokutangaza wenyewe wanasema ni uongo angekuwa kaacha siasa asingekuwa anatumia mali za Chadema.
Sasa kama kweli Dr.S;laa alikuwa bado Katibu mkuu wa Chadema kwa nini mli hack twitter yake, ukiingia unamkuta Lowassa akjitangaza katika ukumbi wa Dr. Slaa! WHY? tena baada tu ya yeye kuandika juu ya kuhofia maisha yake na maelezo machache sana kuhusu kupingana nanyi?..
Kwa nini mlimnyima Jukwaa leo mtasema alitaka mwenyewe ilihali mlimkataza asizungumze na chombo chochote cha habari laa sivyo maisha yake yako hatarini? Mimi nilibahatika kuyasoma haya aliyaandika Twitter yake, kina nyie mkadai kuwa huyo sio yeye ni mkewe anayeandika haya! Ati Dr.Slaa yupo nanyi anapumzika tu atakuja kumkabidhi Lowassa fomu ya kugombea Urais mara atakuwepo ktk ufunguzi wa kampeni? sio nyie Chadema kina Yericko na Tumaini!. Sisi wengine hatusahau maneno tukisoma yanakaa kichwani..
Sasa ngoja nimsome vizuri Tundu Lissu mfitini mkubwa, halafu nitakuja na maelezo yangu kwa ufasaha zaidi maana UKWELI sisi wengine tunaujua japo kuna mambo mengine unayaminya hadi yanapokufika kooni inabidi utatapike..