lamalu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 612
- 776
Uchafu wake ni nini kwa mfano? Naamini utakuja hapa na kutuambia uchafu wake ni Richmond, nasi tutasema uchafu wa Magufuli ni kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa huku akijua kuna upungufu mkubwa wa nyumba za watumishi. Baada ya hapo tunatafuta unafuu, kulikuwa na ulazima wowote wa kuuza nyumba? Na kwa upande mwingine wa Lowassa kulikuwa na ulazima sana wa kuingia mkataba na Richmond? Wote tutakubaliana kwamba kwa Lowassa nchi ilikuwa kwenye crisis kubwa ya umeme, lakini pia tutakubaliana kwamba Magufuli aliuza nyumba kwa interest yake tu, hakukuwa na any pressure ya kumpelekea kuuza nyumba. Kwa kuwa wote ni wachafu, basi mwenye unafuu ndiye tutakayempa kura.
daaaaah kweli..Leo Richmond imekuwa sio tatizo!! soon mtakuja badili na kusema escrow pia sio tatizo kama mama T nae atajiunga ukawa