CHADEMA/UKAWA, mtawapokea Chenge na Rostam pia?

CHADEMA/UKAWA, mtawapokea Chenge na Rostam pia?

LOWASA akiwa mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA hata pata KURA yangu na itakuwa mwisho wa kusapoti SIASA za bongo niliamini CHADEMA kwa kuwapa fursa vijana na viongozi wapya wenye fikra mpya na kupinga ufisadi
 
Nategemea wanachama wapya wa CDM kuwa wafuatao.

Chenge, Karamagi, Tibaijuka, Rugemalila,Rostam, na bandidu wote wa mjini waliokuwa wanaitwa mafisadi, maana sasa wameshapata jeuri na pa kujidaia bila kuulizwa maswali.

Hivi Mbowe alikunywa mbege ya wapi?maana sasa CDM wanaingia kwenye defence mode ambayo CCM imekuwepo kwa miaka 8 iliyopita.

Kwa kweli siku nyengine mchague wenyeviti wenye angalau akili ya kufanya SWOT analysis.

Ninaamini kabisa Dr.Slaa, Tundu Lissu na wengine wamekubali kwa shingo upande, kwani hawana pa kwenda,washaongelea mbovu kila chama kwa midomo yao mirefu, sasa inabidi kujikaza kiume na kukenua meno kama mataahira pale watakapoambiwa waanze kumnadi ajenda kuu ya mikutano yao just a year ago...,FISADI MKUU.

Yani CDM kuna kitu hawajui.., wamejiweka kwenye catch 22 ya hatari.., ama wakubali kwa miaka 8 walikuwa wanawadanganya wananchi willingly just kupata umaarufu, au wakubali kuwa wameanza kuwadanganya wananchi kuanzia sasa hivi just kuingia Ikulu.

kwani kama wanatuambia Lowassa si fisadi kwa kuwa hakuwahi fikishwa mahakamani kwa ufisadi, asilimia 99 ya mikutano yao ilikuwa uongo walioujua dhahiri, na kama wanasema wamejua leo hii kuwa hakuwahi kuwa fisadi, basi hawafai zaidi, kwani walikurupuka kuaminisha watu vitu wasivyo na uhakika navyo.
 
HATA kikwete atapokelewa.
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

hao tumewaachia msije mkafilisika
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Umemsahau na J.Kikwete manake nae ni marafiki na urafiki wao hawakukutana barabarani kuwa muwazi kaondoka ccm kwa utashi wake mwenyewe nataka nikupe kamfano kadogo wewe una wazazi na unawapenda kwa dhati siku Mungu akiamua kumchukuwa mmoja wapo utaenda kuzikwa nae kisa alikuwa ni mzazi wako na ulimpenda kwa dhati au utaacha maisha yaendelee? Tafakani kila ataubeba msalaba wake mwenyewe uwe mzito uwe mwepesi kila mtu na mzigo wake.
 
Mkuu,mimi sikuwahi kuwa team ya Lowassa. Ni mchafu mtu huyu

Mzee Tupatupa

Mzee tupatupa hili jukwaa huru embu kuwa muwazi uchafu wake ni upi? EPA, ESCROW, MGODI WA KIWIRA, UUZWAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI, UFUJAJI WA MALI ZA UMA, KUUZWA KWA BENKI YA WANANCHI,( RICHMOND) Hapo kwenye mabano tuache unafiki tuwe wakweli ile ripoti ya Mwakyembe haikusomwa yoote na Mwakyembe mwenyewe alisema kama angeliisoma yote nchi ingeyumba hembu tuambizane ukweli ni nini kipo nyuma ya pazia?

Na kama lowassa alihusika kwanini hakupelekwa mahakamani ? Na alirudi kugombea ubunge tena akashinda kwa kishindo ndani ya chama kilekile ,

Mzee tupatupa nakuheshimu sana lakini ukweli unabaki pale pale mfumo mbovu na kandamizi uliopo ndani ya ccm ni kama bomu la nyuklia linalosubiri kulipuka muda wowote amini hivyo ukiujua ukweli nayo kweli itakuweka huru .
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kama nyie mliishi nao shida hipo wapi? Kama watakidhi vigezo na masharti watapokelewa.
 
Mzee Tupatupa nadhani kwa hao sidhani kama hatawatathubutu maana kuna ile kesi ya ESCROW mh!!!!!!!!!!!!!!!Wakihamia tu Mkoa huu basi ujue wataozea JELA.

Na wakiwapeleka huko bora nihamie CCM maana atabaki mmoja na familia yake ambaye atakuwa rahisi kumtoa.

Ngoja tuwasubiri wenye CHAMA CHAO,siye wapangaji tumeambiwa kama hatutaki mafuriko tuhame MKOA.

Unajua nimewaza na kuwazua ila limeniumiza sana ,sasa kama mimi bintiyo ni mtu wa kawaida tu nimeumia hivyo Je,Mzee wangu Dr.Slaa,JJMnyika,Tundu Lissu hawa watakuwaje?Je Tundu Lissu atampigia kampeni Lowassa?Sielewi na sijui ila naogopa Uchafu umeingizwa rasmi mahali patakatifu.:crying::crying::crying:

Laiti kama ungalijua kilichomo ndani ya Richmond hakika ungemwomba radhi huyu Lowasa watu wakuwaona wasaliti ni Mwakyembe na timu yake kwa kutoisoma ripoti yoote waliiacha kwa manufaa ya nani na kwa nini hembu jaribu kujumlisha na kugawanya utajua kitu.
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Watabaki ccm ili kuendelea kuikita ccm chini kwa chini kwa maslahi ya ukawa
 
Lowassa akiihama CCM ni vyema aambatane na kupe wake.

Naishauri CCM kwamba wasipoondoka kwa hiari,iwakate maana ili kichaa asikusumbue,mswage na makopo yake.

Swali dogo tu nakuuliza andika hata jina moja la hao waliopo ndani ya huo mfumo mbovu wa ccm ambaye ni msafi wallah ukinitajia nahama nchi.
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao. Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

nilichoambiwa mimi ni kuwa Lowasa anakuja UKAWA kwa terms za UKAWA ni si vinginevyo...
 
Laiti kama ungalijua kilichomo ndani ya Richmond hakika ungemwomba radhi huyu Lowasa watu wakuwaona wasaliti ni Mwakyembe na timu yake kwa kutoisoma ripoti yoote waliiacha kwa manufaa ya nani na kwa nini hembu jaribu kujumlisha na kugawanya utajua kitu.

Ngoja tusubiri,kwani muda ni dawa.
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao.

Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Kwenye hotuba yake ya kumkaribisha Lowassa amesema anamkaribisha yeye na marafiki zake!
 
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao.

Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?

Jibuni ili umma ufahamu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Chadema inapingana na mfumo na sio watu.Hivyo Chenge na Rostam wanakaribishwa kwa dhati kabisa
 
Uchafu wake ni nini kwa mfano? Naamini utakuja hapa na kutuambia uchafu wake ni Richmond, nasi tutasema uchafu wa Magufuli ni kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa huku akijua kuna upungufu mkubwa wa nyumba za watumishi. Baada ya hapo tunatafuta unafuu, kulikuwa na ulazima wowote wa kuuza nyumba? Na kwa upande mwingine wa Lowassa kulikuwa na ulazima sana wa kuingia mkataba na Richmond? Wote tutakubaliana kwamba kwa Lowassa nchi ilikuwa kwenye crisis kubwa ya umeme, lakini pia tutakubaliana kwamba Magufuli aliuza nyumba kwa interest yake tu, hakukuwa na any pressure ya kumpelekea kuuza nyumba. Kwa kuwa wote ni wachafu, basi mwenye unafuu ndiye tutakayempa kura.

Wakati Dr Slaa na wenzake wanatuimbia ufisadi wa Lowassa walikuwa wanatudanganya? Kama ni kweli leo ni nini kimetokea? Na kama ni uwongo, bado tuendelee kuwaamini kwa kila wanachosema hata hii leo?
 
Nategemea wanachama wapya wa CDM kuwa wafuatao.

Chenge, Karamagi, Tibaijuka, Rugemalila,Rostam, na bandidu wote wa mjini waliokuwa wanaitwa mafisadi, maana sasa wameshapata jeuri na pa kujidaia bila kuulizwa maswali.

Hivi Mbowe alikunywa mbege ya wapi?maana sasa CDM wanaingia kwenye defence mode ambayo CCM imekuwepo kwa miaka 8 iliyopita.

Kwa kweli siku nyengine mchague wenyeviti wenye angalau akili ya kufanya SWOT analysis.

Ninaamini kabisa Dr.Slaa, Tundu Lissu na wengine wamekubali kwa shingo upande, kwani hawana pa kwenda,washaongelea mbovu kila chama kwa midomo yao mirefu, sasa inabidi kujikaza kiume na kukenua meno kama mataahira pale watakapoambiwa waanze kumnadi ajenda kuu ya mikutano yao just a year ago...,FISADI MKUU.

Yani CDM kuna kitu hawajui.., wamejiweka kwenye catch 22 ya hatari.., ama wakubali kwa miaka 8 walikuwa wanawadanganya wananchi willingly just kupata umaarufu, au wakubali kuwa wameanza kuwadanganya wananchi kuanzia sasa hivi just kuingia Ikulu.

kwani kama wanatuambia Lowassa si fisadi kwa kuwa hakuwahi fikishwa mahakamani kwa ufisadi, asilimia 99 ya mikutano yao ilikuwa uongo walioujua dhahiri, na kama wanasema wamejua leo hii kuwa hakuwahi kuwa fisadi, basi hawafai zaidi, kwani walikurupuka kuaminisha watu vitu wasivyo na uhakika navyo.

Mkuu umemsahau LEMA
 
Back
Top Bottom