Mkuu umemsahau LEMA
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao.
Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?
Jibuni ili umma ufahamu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Inajulikana kuwa hawa ni marafiki walioshibana ndani ya CCM na hata katika maisha ya kawaida. Ikiwa swahiba wao Lowassa atahamia CHADEMA/UKAWA, wanaweza nao kumfuata rafiki yao.
Sasa ndugu zangu CHADEMA/UKAWA, mtakuwa radhi kuwapokea Andrew John Chenge na Rostam Aziz kuwa wanachama wenu?
Jibuni ili umma ufahamu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwa taarifa yako hata mgombea wenu wa uraisi magufuli ni UKAWA kupitia CHADEMA
Thibitisha uchafu wake mbona kama chuki binafsi hivi na kama mlikuwa mnashindwa kumshughulikia kwa sababu ya kichaka alichokuwepo sasa ni muda sahihi mwizi katoka kichakani yuko in plain site nadhani ni rahisi sasa kwa vyombo vya dola kula kichwa vinginevyo ni uzushi tu kusema mchafu.