Kalenga-Iringa
JF-Expert Member
- Nov 4, 2012
- 263
- 41
Kama ilivyotabiriwa Tsunami kubwa ya wafuasi wa chadema wameanza kuhamia CCM,
Leo hii tayari
mwenyekiti wa vijana
Katibu wa vijana
Katibu mwenezi
wote hawa wamechukizwa na siasa za kihuni za chadema za kufukuzana kama kuku na kuamua kumfuata kiongozi wao CHRIS LUKOSI CCM
Inasemekana kuwa wanachama wengi wamechukizwa sana na kitendo alichofanyiwa m,uasisi wao wa tawi la UK
Kma mnavyojua hakuna mwanaume alieweza kusimama na kusema anafungua tawi UK mpaka Lukosi alipofanya hivyo
Habari nyingi zinafuata kwani kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Lukosi atafanya press release jumamosi akiwa na kundi lake kubwa la wanachama na viongozi walioamua kurudi CCM.
ASILIMIA 75 YA UWAONAO HAPO JUU WAMELETWA NA LUKOSI CHADEMA
Mods hata mkifuta huu uzi haisaidii kwani tayari blogs zote zimepewa na zitaurusha usiku wa leo kwa hiyo ni bora muache tuu watu wasome, kufuta thread sio suluhisho. mbona ccm huwa inaumbuliwa hapa hamfutii?
Leo hii tayari
mwenyekiti wa vijana
Katibu wa vijana
Katibu mwenezi
wote hawa wamechukizwa na siasa za kihuni za chadema za kufukuzana kama kuku na kuamua kumfuata kiongozi wao CHRIS LUKOSI CCM
Inasemekana kuwa wanachama wengi wamechukizwa sana na kitendo alichofanyiwa m,uasisi wao wa tawi la UK
Kma mnavyojua hakuna mwanaume alieweza kusimama na kusema anafungua tawi UK mpaka Lukosi alipofanya hivyo
Habari nyingi zinafuata kwani kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Lukosi atafanya press release jumamosi akiwa na kundi lake kubwa la wanachama na viongozi walioamua kurudi CCM.
ASILIMIA 75 YA UWAONAO HAPO JUU WAMELETWA NA LUKOSI CHADEMA
Mods hata mkifuta huu uzi haisaidii kwani tayari blogs zote zimepewa na zitaurusha usiku wa leo kwa hiyo ni bora muache tuu watu wasome, kufuta thread sio suluhisho. mbona ccm huwa inaumbuliwa hapa hamfutii?