Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Juzi juzi tu mlikua mnawaita makamanda na kuwamwagia sifa kibao leo wamekua hawafai. Siasa zitawashinda nyie.
Ha ha kwenye kikosi cha makamanda wengine wanawweza kuasi so ni kitu cha kawaida hasa katika siasa