Kama ilivyotabiriwa Tsunami kubwa ya wafuasi wa chadema wameanza kuhamia CCM,
Leo hii tayari
mwenyekiti wa vijana
Katibu wa vijana
Katibu mwenezi
wote hawa wamechukizwa na siasa za kihuni za chadema za kufukuzana kama kuku na kuamua kumfuata kiongozi wao CHRIS LUKOSI CCM
Inasemekana kuwa wanachama wengi wamechukizwa sana na kitendo alichofanyiwa m,uasisi wao wa tawi la UK
Kma mnavyojua hakuna mwanaume alieweza kusimama na kusema anafungua tawi UK mpaka Lukosi alipofanya hivyo
Habari nyingi zinafuata kwani kwa taarifa zilizothibitishwa ni kuwa Lukosi atafanya press release jumamosi akiwa na kundi lake kubwa la wanachama na viongozi walioamua kurudi CCM.
ASILIMIA 75 YA UWAONAO HAPO JUU WAMELETWA NA LUKOSI CHADEMA
Mods hata mkifuta huu uzi haisaidii kwani tayari blogs zote zimepewa na zitaurusha usiku wa leo kwa hiyo ni bora muache tuu watu wasome, kufuta thread sio suluhisho. mbona ccm huwa inaumbuliwa hapa hamfutii?
chama cha mabishoo wanasubiri miujiza wawe matajiri hakiwezi kudumu.kila kukicha wanatafuta wapi kuna mapochopocho ya wakubwa wakadowee wataondoka wengi maana matarajio yao yanafifia
Mkuu huyu Farida Ponda ni mtoto wa yule shehe Ponda Issa Ponda aliyopo segerea au ni jina tu?
Nimekuelewa vizuri mkuu!mkuu imesemwa humu jamvini kuwa chilsosi=farida ponda,..mambo ya multiple ID's
Wamefuata maslahi binafsi hakuna cha itikadi,maana ingekuwa hivyo wasingerudi ccm,bali wangebaki bila chama.Kama wanarudi ccm,waulize ni nini kimebadilika huko ccm ambacho kimewafanya waamuwe kurudi huko?Ndo akili za mbayu wayu hao.
Juzi juzi tu mlikua mnawaita makamanda na kuwamwagia sifa kibao leo wamekua hawafai. Siasa zitawashinda nyie.
Unawapangia maisha?Na ndio maana wakaitwa wabeba mabox ,unatoka cdm unaenda ccm kama kweli wana uchungu na inchi hii kwanini wasiende hata tlp au nccr ,mnakimbilia ccm hii inayoua tembo kwa ajili ya uchaguzi,ccm hii iliyoficha pesa uswiss kwa ajili ya uchaguzi,ccm hii ambayo imeshidwa kununua ct scan muhimbili,seketure hamna hata x ray.laana iwafuate mlipo wasaliti wakubwa nyie na njaa itawaua nyie!