CHADEMA UK yapata uongozi mpya

CHADEMA UK yapata uongozi mpya

Boss chadema UK ndio walimnun ulia hiyo keki au huoni rangi za chadema kwenye hiyo 5?

Umeambiwa uweke picha inayomuonyesha akiikata hiyo keki si suala la rangi za Chadema kwani wanachama wengine hawafanyi sherehe za kuzaliwa?? Hata hivyo Mtu yeyote anaweza kutengeneza keki kwa staili yoyote kwakuwa rangi zinapatikana tu madukani.

Kama si umbea unakusumbua ungeshaweka picha inayomuonyesha akikata keki lakini hzi danadana unazopiga hapa ni dhahiri kuwa wewe ni apeche alolo.
 
Mwita, mimi naamini kwa dhati kabisa kuwa wewe na baadhi ya watu mna malengo mema ya kuipeleka nchi kuzuri. Hata hivyo nina wasiwasi kuwa kuna watu wanawaangusha na wanaenda kinyume na malengo ya msingi.

Hapa JF siku hizi tumejenga utamaduni wa kuongea mambo kishabiki, kwahiyo tunajinyima fursa ya kujadili mada kwa undani. Tungemaintain ule utamaduni wa kujadili mada kwa hoja ungapata fursa ya kuona ninachokisema.

Hata hivyo for now labda tukubaliane tu kuwa problem moja inaweza kuwa na solutions nyingi, na lets hope kila mmoja wetu atafanikisha kutatua problem tunayoface kama taifa kwa kupitia njia aliyoamua...

Nakubaliana na wewe,kujadili hoja imekuwa ngumu sana JF zaidi ni personal attack na ushabiki mwingi.Inatupasa tubadilike kwa manufaa yetu na jukwaa letu hapa JF
 
Hongereni makamanda fanyeni kazi kwa moyo mmoja tupo pamoja hapa Tz
cdm ndio tegemeo la Watanzania wote maskini na wanyonge
 
kufukuzwa kubaya saaana LUKOSI halali anakesha kwenye google kutafuta keki ya kupachika humu pole sana inaonesha usivyo makini.I feel sory 4 ur family mtu anayekuita dad au husband bonge la hasara Chadema imekutesa sana tender ya tbs vp uliyohaidiwa na ccm mmmh kazi unayo.
 
attachment.php
 
Hebu niambie.Katibu UK uongozi uliopita kabla ya uchaguzi alikuwa nani?
 
Pamoja na kwamba ni kitambo kirefu kidogo , polisi wa tanzania wanatamani waizingire nchi ya watu , ila uwezo hawana .
 
Back
Top Bottom