Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Hahahahahahahha mkuu chilisosi, hii kitu inakuwaje tena? Baviha 45??????????????????
Hii kweli ni magumashi mwanzo mwisho.
Ila kama wewe umesema nimtu safi basi hana tatizo...
Gay's comment
Hahahahahahahha mkuu chilisosi, hii kitu inakuwaje tena? Baviha 45??????????????????
Hii kweli ni magumashi mwanzo mwisho.
Ila kama wewe umesema nimtu safi basi hana tatizo...
Bro rudi umekataa Almasi umekubali vichupa/vioo!Dirisha la usajiri 2015 karibu linafungwa angalia usije jilaumu!!! Hiyo timu ya uongoz, imesheheni majembe, Harakat za Petronila toka Mwenge-Sokoni/UDSM nazikumbuka. CDM tuna hazina nzuri.Mkuu inanikumbusha nilipochaguliwa
no campaign
Hata mimi nina kubaliana na wewe kuhusu Mwenyekiti. Vipi Dada Jessica na Chagula. Uliondoka nao CHADEMA?.Mkuu to be honest Huyo mwenyekiti ni jembe. When ur good ur good! Huyo Wa bavicha pia mtu safi Tatizo ni umri na kilaji, ukumbuke Kuwa hawa wote ni vijana wangu
Mkuu kwa kweli kuhusu huyo chagula mrembua macho sijui, ila tu ninachokuhakikishia kuwa ni kwamba mwenyekiti aliyechaguliwaa ninamfahamu vyema (tulikuwa bega kwa bega) na ni yeye pamoja na Dr Alex ndio majembe pekee ambayo kwa sababu moja au nyingine bado wamebaki huko ila ni watu ambao ninawaheshimu sana bila kusahau katibu mwenezi wao ni watu ambao kwa sabau moja au nyingine ndio maana unawaona wako huko lakini ni watu ambao ninawaheshimu sana.Hata mimi nina kubaliana na wewe kuhusu Mwenyekiti. Vipi Dada Jessica na Chagula. Uliondoka nao CHADEMA?.
Kwani anafanana na yule Mzee-kijana wa UVCCM anaitwa Martin Shigella, hivi bado hajaachia ngazi tu?Huyo katibu wa BAVICHA mbona amekaa kitapeli tapeli sana...
mkuu mchonga mbona habari nusu nusu. Naomba utujuze, viongozi wapya walikuwa wanachuana na kina nani?.
Sasa hii inahusiana nini na swali langu nililomuuliza mchonga. Ninafikiri umeandika ukiwa unaota. Wake up!.ccm, richmond, epa, rada, maisha bora kwa watanzania na utawala wa sheria na uwajibikaji
Mkuu inanikumbusha nilipochaguliwa
no campaign
Mkuu hakuna lolote zaidi ya ndoto za mchana.
Asilimia kubwa wanategemea ndio pa kutokea ......
Bro rudi umekataa Almasi umekubali vichupa/vioo!Dirisha la usajiri 2015 karibu linafungwa angalia usije jilaumu!!! Hiyo timu ya uongoz, imesheheni majembe, Harakat za Petronila toka Mwenge-Sokoni/UDSM nazikumbuka. CDM tuna hazina nzuri.
Unaona raha mwenye kutaja taja kama hao jamaa ni vijana wako? Kwa hyo umewatuma waje wawe Pm7?Mkuu to be honest Huyo mwenyekiti ni jembe. When ur good ur good! Huyo Wa bavicha pia mtu safi Tatizo ni umri na kilaji, ukumbuke Kuwa hawa wote ni vijana wangu
Hata mimi nina kubaliana na wewe kuhusu Mwenyekiti. Vipi Dada Jessica na Chagula. Uliondoka nao CHADEMA?.
Mkuu hawajapata chopa iliyopaki apige NAyo picha.Picha za Mnyika ziko wapi?
Mkuu hawajapata chopa iliyopaki apige NAyo picha.
Halafu nyomi ya watu nane bar haifai kuweka picha. Si unajua watu wamewashitukia hawa jamaa siku hizi.
Wengi walifuata nyayo za Lukosi kurudi NYUMBANI ndio maana huoni picha
Kwani Mnyika hajui kusema mpaka aungurume?Sasa kama haituhusu mmetuambia hapa ya nini?
Si mlituwekea tangazo kuwa Mnyika "ataunguruma" huko London na kwamba vinjwaji na msosi utatolewa bure.
Mimi nilishangaa kuona mpaka London inatumika strategy ya ubwabwa kuwavuta watu!!!
Kwani Mnyika hajui kusema mpaka aungurume?