CHADEMA UK yapata uongozi mpya

CHADEMA UK yapata uongozi mpya

Mkuu hawajapata chopa iliyopaki apige NAyo picha.
Halafu nyomi ya watu nane bar haifai kuweka picha. Si unajua watu wamewashitukia hawa jamaa siku hizi.
Wengi walifuata nyayo za Lukosi kurudi NYUMBANI ndio maana huoni picha

Kweli mkuu utakuwa umeiweka cdm UK katika hali ngumu sana. Maana nimeshangaa kuona tawi kubwa kama London wanareserve meza moja hotelini kufanya uchaguzi.
Picha za Mnyika hazionekani kabisa.

Nakumbuka enzi zake pale Thatched House Barking tuliona picha zote live kila kitu. Ila siku hizi ni cdm uvunguni. Wanaweka picha ya mwenyekiti wa bavicha mwenye miaka 45 hahahahahaha
 
Wapi Flora Lyimo ... usituambie, pamoja na mawembwe zote za jana umedondokea pua!Sio siri, picha yako na ulivyokua unaviandika, umekaa ki 'mamluki-mamluki', u seem like u've a price!Pole ...
 
Last edited by a moderator:
hivi hawa wabeba mabox wakiongozwa na huyo Chilsosi siku ya kupiga kura huwa wanashiriki au wanatoka tu mapuvu humu
 
Hongereni wakuu ila naomba mje kwanza Bongo muangalie barabara na miundombinu msije mkawa kama yule wa kwanza ambaye alikubali uongozi ila alipokuja bongo na kuona barabara za mbagala to kurasini ina mabonde akasema hakujua kama bongo ina barabara nzuri kama hii. akaachia uongozi na kurudi CCM
 
Hongereni wakuu ila naomba mje kwanza Bongo muangalie barabara na miundombinu msije mkawa kama yule wa kwanza ambaye alikubali uongozi ila alipokuja bongo na kuona barabara za mbagala to kurasini ina mabonde akasema hakujua kama bongo ina barabara nzuri kama hii. akaachia uongozi na kurudi CCM
Yuleilibidi apimwe akili baada ya kutoa ile statement. Kwake yeye maendeleo inamaana Barabara, yupo kama bosi wake ambaye amedifine maendeleo kuwa Traffic Jam! So tukiona Traffic Jam tu basi hapo tujue ndo tumeendelea.
 
Kweli mkuu utakuwa umeiweka cdm UK katika hali ngumu sana. Maana nimeshangaa kuona tawi kubwa kama London wanareserve meza moja hotelini kufanya uchaguzi.
Picha za Mnyika hazionekani kabisa.

Nakumbuka enzi zake pale Thatched House Barking tuliona picha zote live kila kitu. Ila siku hizi ni cdm uvunguni. Wanaweka picha ya mwenyekiti wa bavicha mwenye miaka 45 hahahahahaha

Ni kheri kuwa na makamanda 8 walio committed watakaofanikisha mipango ya chama kuliko kuwa na mamluki 45 watakaovuruga mipango ya chama na kukatisha tamaa wapiganaji wengine.

We know for sure freedom is not free.
 
Ni kheri kuwa na makamanda 8 walio committed watakaofanikisha mipango ya chama kuliko kuwa na mamluki 45 watakaovuruga mipango ya chama na kukatisha tamaa wapiganaji wengine.

We know for sure freedom is not free.

Mwita, mimi naamini kwa dhati kabisa kuwa wewe na baadhi ya watu mna malengo mema ya kuipeleka nchi kuzuri. Hata hivyo nina wasiwasi kuwa kuna watu wanawaangusha na wanaenda kinyume na malengo ya msingi.

Hapa JF siku hizi tumejenga utamaduni wa kuongea mambo kishabiki, kwahiyo tunajinyima fursa ya kujadili mada kwa undani. Tungemaintain ule utamaduni wa kujadili mada kwa hoja ungapata fursa ya kuona ninachokisema.

Hata hivyo for now labda tukubaliane tu kuwa problem moja inaweza kuwa na solutions nyingi, na lets hope kila mmoja wetu atafanikisha kutatua problem tunayoface kama taifa kwa kupitia njia aliyoamua...
 
Jamani chadema inawatesa hivi mna kazi sasa ikifika 2014 uchaguzi wa udiwani si mtapata vichaa?
 
Mkuu to be honest Huyo mwenyekiti ni jembe. When ur good ur good! Huyo Wa bavicha pia mtu safi Tatizo ni umri na kilaji, ukumbuke Kuwa hawa wote ni vijana wangu
Mzee na Mlevi kupewa ukatibu (au uongozi) wa vijana (BAVICHA) ni kuharibu dhana na maana nzima ya hiyo nafasi!
 
Yule binti mwenye bifu na Lema kachaguliwa nafasi gani?
 
Vijana hawana time na watu wa midomo midomo, wanataka vitendo.

Hawa wazee "wameshaoza" wanatafuta jinsi ya kurudi Bongo.

Mnyika vipi mbona hakuna picha zake au watu hakuna kwa nini wasiwatafute Wanageria wawapoze £20 kila mmoja wapige nao picha wasema wafuasi wa Chadema. Kumbe bila Chilisoooosi UK hakuna Chadema.
 
Back
Top Bottom