Kubwa zima hovyoooooooo.
Mkuu mchonga mbona habari nusu nusu. Naomba utujuze, viongozi wapya walikuwa wanachuana na kina nani?.
ZeMarcopolo na Chilisosi Mnajitekenya na kucheka wenyewe kazi mnayo.Hahahahahahahha mkuu chilisosi, hii kitu inakuwaje tena? Baviha 45??????????????????Hii kweli ni magumashi mwanzo mwisho.Ila kama wewe umesema nimtu safi basi hana tatizo...
Tawi la CHADEMA UK halijaanza sasa, kulikuwa na viongozi toka kipindi Mh. Godbless Lema aende kulifungua mwaka jana.wewe msukuma acha mambo ya ajabu kwani viongozi wapya lazima washindaniwe kama tawi ndo limeanza na hao ndo walivuta fomu hawakupata wapinzani na wakapita bila kupingwa wewe vipi bana
viva Chadema!
Huyo katibu wa BAVICHA mbona amekaa kitapeli tapeli sana...
Kijana wangu Huyo
ana miaka 45 ni mtu safi Tatizo lager
Kwani Ni Siri ?
Au hujui kuwa mie Ndio Nyerere wao? I started this.......
Wewe ni muasisi wa harakati zozote zinazoweza kuendelea kwahiyo from time to time wape ushauri ili wajue right direction...
Boss mimi ndio namfahamu tom tom vizuri.Yan akili yako kama ya shonza mkuu badilika... kijana huyu kweli ana miaka 45 au unataka kujifurahisha tu... KWELI BADO UNAUMIA SANA KUTOKUEPO CDM Kwan madili yako yalikuwa bado yajatimia ukatimuliwa pole sanaaaaaaaa
Huyo anatokwa povu tu hajui alisemaloTawi la CHADEMA UK halijaanza sasa, kulikuwa na viongozi toka kipindi Mh. Godbless Lema aende kulifungua mwaka jana.
Boss mimi ndio namfahamu tom tom vizuri.
Jamaa birthday yake tumeisherhekea wiki tatu zilizopita pale thatched house
Huyo katibu wa BAVICHA mbona amekaa kitapeli tapeli sana...
Boss mimi ndio namfahamu tom tom vizuri.
Jamaa birthday yake tumeisherhekea wiki tatu zilizopita pale thatched house
Hii ndio keki aliyokata siku hiyo
![]()
Boss chadema UK ndio walimnun ulia hiyo keki au huoni rangi za chadema kwenye hiyo 5?Mkuu huku tanzania kuna dawa inaitwa DAWA TATU naisi unaitaji!!!!
Weka picha wakat anakata keki hiyo.... basi na wewe mkuu utakuwa na 75 miaka kwa style hii.