Man in the Middle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2019
- 506
- 1,084
asitumie hvyohvyo neno walahi sio neno la kizembe na halipaswi kutumika kwa mambo ya hovyoISIS mbona umesahau walahi.
asitumie hvyohvyo neno walahi sio neno la kizembe na halipaswi kutumika kwa mambo ya hovyoISIS mbona umesahau walahi.
Nisamehe.asitumie hvyohvyo neno walahi sio neno la kizembe na halipaswi kutumika kwa mambo ya hovyo
Tukubali yaishe naona Boxer 200 zinatoa watu roho hahaha!!Huu ujumbe ungempatia yule ISIS
Nimemuombea ban tusubiri mods waone maombi yanguNashangaa sana jamaa anaporomosha matusi ya vijiweni kwenye jukwaa la watu walio staraabika
Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.Yaani vipikipiki 200 kelele nyingii kama wameleta Ndege ya Airbus. Vipi yale mabus aliyopewa Tundu hayajafika tu au yamepotelea Kaskazini?
halafu wewe ndiyo umeanzisha kunitukana sindiyoTafadhali ndugu punguza matusi kwenye mwezi huu mtukufu
Anamchukiza mungu na ModsTafadhali ndugu punguza matusi kwenye mwezi huu mtukufu
Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.
Hizo akina Mbowe ameshapiga hapo ni zakufa baada ya miezi 6 tu mkuu.Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.
halafu washapiga hela ndefu wanaongeza sifuri kmbele kwa kila bei ya pikipikiHizo akina Mbowe ameshapiga hapo ni zakufa baada ya miezi 6 tu mkuu.