CHADEMA twazidi kujiimarisha

CHADEMA twazidi kujiimarisha

Yaani vipikipiki 200 kelele nyingii kama wameleta Ndege ya Airbus. Vipi yale mabus aliyopewa Tundu hayajafika tu au yamepotelea Kaskazini?
Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.
 
Mahindra zile sasa hivi 98% ni masklepa
Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.
 
Bora hawa wamepata hizi kihalali. Nyie ukiona ccm wana pikipiki au magari ujue kuna mhindi kesha minywa akawapa bure. Unakumbuka zike Mahindra? Kwa sababu ya dhuluma zote zimekufa. Ccm ni wadhulumati sana. Hata landcruzer nazo zitakufa. Acheni dhuluma.
Hizo akina Mbowe ameshapiga hapo ni zakufa baada ya miezi 6 tu mkuu.
 
Unajua mikakati hii ni poa sana Pikipiki ni rahisi kupenya Vijijini kuliko magari ambayo yanaweza kuwindwa na kuhujumiwa na Green guards.
 
Sasa hivi hao green guard wajiandae maana tumegundua kuwa hawahitaji uungwana
Unajua mikakati hii ni poa sana Pikipiki ni rahisi kupenya Vijijini kuliko magari ambayo yanaweza kuwindwa na kuhujumiwa na Green guards.
 
Kamwambieni CAG aje afanye ukaguzi.
Vipi kuhusu ile 1.5trillion zimekwenda wapi ?
halafu washapiga hela ndefu wanaongeza sifuri kmbele kwa kila bei ya pikipiki
 
Back
Top Bottom