CHADEMA: Tutashinda tena Sombetini

CHADEMA: Tutashinda tena Sombetini

kesho tupo pamoja mkuu mwanzo mwisho hapo sombetini kuanzia kulinda mpaka kutangazwa ushindi wetu wa kishindo
 
chadema ushindi lazma huko moshi kiboroloni mgombea wa ccm amejitoa kwenye kugombea alishajua ushindi wa chadema
 
Arusha tunatabia ya kuishinda dhuluma bila uoga.

'Kuweni wapole ila msiwe wanyonge' by Godbless Lema.
 
M4C PAMOJA DAIMA! nawatakia ushindi makamanda wa Arusha. hakuna kulala mpaka ushindi upatikane. Chadema 4 life!
 
ushindi lazma arusha ccm wahuni hawatuwezi tena
 
nimeandika thread wameitoa ccm moshi kiboroloni mgombea wao amejitoa leo
 
CCM wasahau Arusha!!!pamoja na kugawa fedha na kuwrubuni vijana eti wajiunge kwenye vikundi ili wawezeshwe!!lakini hamna kitu wataambulia!!!Kula ccm kulala Chadema!!!CHADEMA DAIMA

Ushindi lazimaaa
 
Hongeeni makamanda kwa kazi kubwa. Ushindi ni wetu. Tuone hao mijusi wanaotumiwa wataishia wapi. Kile chama kikongwe kimeamua kuuwa watu waliokisapoti kwa miaka 50 kutumia majambazi. Ni aibu na fedheha kuu.Mjusi ajeu siku sii nyingi atajibu haya.
 
Back
Top Bottom