alexander paulo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 492
- 155
- Thread starter
- #81
MTENDAHAKI;
Nakuomba utende tu kwa haki. Utawezaje kusema kwamba umesema kweli tupu wakati unamtaja Mh. Mbunge tena kwa jina na jimbo kuwa alipelekwa na wauza unga bungeni?? Jamani, hivi weye ungeandikwa humu, jina lako, kazi yako na makazi yako kuwa unauza unga, ungefurahi hata kama unauuza kweli??
Mambo mengine jamani, tuyaache yalivyo
hajui alitendalo