CHADEMA Tunduma ni kama maji

CHADEMA Tunduma ni kama maji

alexander paulo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
492
Reaction score
155
Nimefurahishwa na maisha ya watu Wa Tunduma Kwa jinsi wanavyokipenda chama chao,nimefika Tunduma kujionea mwenyewe huu mji!

Hakika ukombozi umewaingia watu Wa Tunduma! Wanaishi maisha ya raha Kwa sababu tu ya chama chao cha uhakika!

Enyi vijana wa Lumumba ambao wokovu hamjaupata karibuni Tunduma mjionee maisha yalivyo mazuri
 
alexander paulo

Umefanya jambo zuri kujifariji. Maana kwa siasa ya mitusi mliyochagua badala ya sera msitegemee kuna mtu atawafariji. Kwa style ya kukosa sera za kuwauzia wananchi katika uchaguzi huu amini usiamini mtaanguka vibaya sana na hamtoamini kilichotokea baadae sana mtagundua kuwa badala ya kutangaza sera za kukijenga chama chenu nyie mlitumia muda mwingi kuhamasishana kuzomea hali itakayopelekea wapiga kura kuwadharau na kuwapa x.

Badirikeni otherwise majimbo mengi yanayowapa kichwa kuwa mnangome yatachukuliwa kilaini
 
Last edited by a moderator:
alexander paulo

Hata Silinde anajua ni wauza unga na wavuta bangi waliomsaidia kampeni zake, watu wastaarabu walikuwa chini ya asilimia 2
 
Last edited by a moderator:
Umefanya jambo zuri kujifariji. Maana kwa siasa ya mitusi mliyochagua badala ya sera msitegemee kuna mtu atawafariji. Kwa style ya kukosa sera za kuwauzia wananchi katika uchaguzi huu amini usiamini mtaanguka vibaya sana na hamtoamini kilichotokea baadae sana mtagundua kuwa badala ya kutangaza sera za kukijenga chama chenu nyie mlitumia muda mwingi kuhamasishana kuzomea hali itakayopelekea wapiga kura kuwadharau na kuwapa x.

Badirikeni otherwise majimbo mengi yanayowapa kichwa kuwa mnangome yatachukuliwa kilaini

pole sana mkuu
 
Hizo so habari za kweli CHADEMA Tunduma mbona wanapoteana
 
Back
Top Bottom