CHADEMA Tunduma ni kama maji

CHADEMA Tunduma ni kama maji

Hata Silinde anajua ni wauza unga na wavuta bangi waliomsaidia kampeni zake, watu wastaarabu walikuwa chini ya asilimia 2

MTENDAHAKI;
Hii tabia yenu maccm kuwatukana watu mmeileta wapiiiii??? Mnajishushia hadhi hivi hivi tuu. Katibu wako mwenezi kawatukana watu ati walipewa viroba, weye unatukana watu wa Tunduma ati ni wauza unga na wavuta bangi. Ina maanaa unawatuma ma don kupeleka mzigo kuleeee??
Hawatapata nafasi kwani Tunduma wapo wenye akili zao timamu walio amua kumtoa huyu mkoloni wa rangi ya kijani. Hawata tawaliwa tena asilani. Funguka MTENDAHAKI; njoo huku kwenye wokovu kamili. Mh Silinde kakukosea nini hata umtaje huku
 
Karibu Tunduma kama mwanachadema utajihisi upo peponi ila kama mwanaccm utajiona kama mkimbizi.
 
Umefanya jambo zuri kujifariji. Maana kwa siasa ya mitusi mliyochagua badala ya sera msitegemee kuna mtu atawafariji. Kwa style ya kukosa sera za kuwauzia wananchi katika uchaguzi huu amini usiamini mtaanguka vibaya sana na hamtoamini kilichotokea baadae sana mtagundua kuwa badala ya kutangaza sera za kukijenga chama chenu nyie mlitumia muda mwingi kuhamasishana kuzomea hali itakayopelekea wapiga kura kuwadharau na kuwapa x.

Badirikeni otherwise majimbo mengi yanayowapa kichwa kuwa mnangome yatachukuliwa kilaini
Unalialia sana Zitto kuzomewa Tunduma. Na bado.
 
Ndio maana ikatwa boda ya wajanja si mchezo, huwezi kuwafananisha na wale wa boda za tanga na boda za Lumumba

Kwani Mbunge anayeongoza tunduma kwa sasa anaitwa nani na ni wa Chama gani cha Siasa? naombeni jibu.
 
Hizo so habari za kweli CHADEMA Tunduma mbona wanapoteana

Utakuwa unazungumzia tunduru badala ya tunduma, ukishafika tunduma mkoa wa mbeya utaona muunganiko wao na chadema wala huhitaji kuambiwa, pale ni zaidi ya arusha
 
alexander paulo

Hii habari nimeiona asubuhi hii na imenifanya nijisikie raha kweli na kusahau baridi kali ya hapa umalila mbeya.Nawaombea kila la heri wana wa tunduma ili muifute ccm kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Hata Silinde anajua ni wauza unga na wavuta bangi waliomsaidia kampeni zake, watu wastaarabu walikuwa chini ya asilimia 2

Ina maana hao wauza unga walikuwa wanafanya hiyo kazi bila kujulikana na serikali? Au serikali ni dhaifu hadi wauza unga wawe wengi kuliko hao unao waita wastaarabu?
 
Hata Silinde anajua ni wauza unga na wavuta bangi waliomsaidia kampeni zake, watu wastaarabu walikuwa chini ya asilimia 2

Pole sana mtenda dhuluma mwaka huu utajitia kitanzi maana cdm itakomba majimbo kibao
 
Umefanya jambo zuri kujifariji. Maana kwa siasa ya mitusi mliyochagua badala ya sera msitegemee kuna mtu atawafariji. Kwa style ya kukosa sera za kuwauzia wananchi katika uchaguzi huu amini usiamini mtaanguka vibaya sana na hamtoamini kilichotokea baadae sana mtagundua kuwa badala ya kutangaza sera za kukijenga chama chenu nyie mlitumia muda mwingi kuhamasishana kuzomea hali itakayopelekea wapiga kura kuwadharau na kuwapa x.

Badirikeni otherwise majimbo mengi yanayowapa kichwa kuwa mnangome yatachukuliwa kilaini

Pole sana kwa kuendelea kuweweseka,cdm ni sawa na maji husipo yanywa bas utayaoga,
 
MTENDAHAKI;
Hii tabia yenu maccm kuwatukana watu mmeileta wapiiiii??? Mnajishushia hadhi hivi hivi tuu. Katibu wako mwenezi kawatukana watu ati walipewa viroba, weye unatukana watu wa Tunduma ati ni wauza unga na wavuta bangi. Ina maanaa unawatuma ma don kupeleka mzigo kuleeee??
Hawatapata nafasi kwani Tunduma wapo wenye akili zao timamu walio amua kumtoa huyu mkoloni wa rangi ya kijani. Hawata tawaliwa tena asilani. Funguka MTENDAHAKI; njoo huku kwenye wokovu kamili. Mh Silinde kakukosea nini hata umtaje huku

Mkuu macccm uamechanganyikiwa kwani sasa yana chukiwa kila kona ya nchi
 
Back
Top Bottom