CHADEMA Tunduma ni kama maji

CHADEMA Tunduma ni kama maji

Kwa kuwa mji unaoongoza kwa Ukimwi Sawa maana watu wengi wameathirika na matumizi ya dawa za kupunguza Makali. Ndio mji wenye maambukizo Mengi TANZANIA hongereni kwa hilo

pole sana wewe uvccm yawezekana ni kagonjwa wewe si bure
 
Tunduma hii ya Mbeya Wilaya mpya ya Momba? Au tunduma gani? Maana Nataka kujua kama Tunduma ya Mbeya unayoizungumzia!

Kama ya Mbeya basi nitaamini kuwa Vijana wa Bavicha wameshaanza kuwa vichaa maana hawaijuwi Tunduma. Sio ya Mbeya kwani pepo wanayoizungumzia ipi? Kwa watu aina gani? Class gani? Au makuli au wauza mchele? Au wauza mitumba? Au mama ntilie wanaouza chakula Usiku Na mchana kwasababu ya Malory? Au wenye guest house wanaolaza wenye Malory?

Chadema mpango Wa Mungu
 
Siwachagulii ila nawashauri kuwa Kuchagua kiongozi mwenye ufanisi kwenu ni haki yenu ya msingi, coz huyo mliyemchagua ambaye hata hana madhara zaidi ya kuwafundisha kuunda vikund vya kufanya fujo kwenye mikutano ya vyama vya siasa

Kwa mawazo yako ndio umeandika kitu gani hapo?
 
Pole sana mtenda dhuluma mwaka huu utajitia kitanzi maana cdm itakomba majimbo kibao
Silinde atashinda Momba bila shaka kwa sababu kwa kiasi kikubwa ameweza kuyaishi maisha ya mbunge wa Momba, lakini haiondoi ukweli namna alivyoingia madarakani!Ni kijana wangu na mbunge wangu na nadhani kafanya vema kwa miaka hii mitano
 
MTENDAHAKI;
Hii tabia yenu maccm kuwatukana watu mmeileta wapiiiii??? Mnajishushia hadhi hivi hivi tuu. Katibu wako mwenezi kawatukana watu ati walipewa viroba, weye unatukana watu wa Tunduma ati ni wauza unga na wavuta bangi. Ina maanaa unawatuma ma don kupeleka mzigo kuleeee??
Hawatapata nafasi kwani Tunduma wapo wenye akili zao timamu walio amua kumtoa huyu mkoloni wa rangi ya kijani. Hawata tawaliwa tena asilani. Funguka MTENDAHAKI; njoo huku kwenye wokovu kamili. Mh Silinde kakukosea nini hata umtaje huku
Nimesema kweli tupu,hata Mbunge wangu mpendwa "Dogo" Silinde anajua ukweli huo!Umekosekana ushahidi tu kama ambavyo ushahidi wa wauza unga ulivyo mgumu kuupata!Silinde hajanikosea jambo na naamini atashinda tena kwa kishindo kwa sababu hakwenda bungeni na kuwapigania wauza unga bali ameweza kuwasemea watu wa Momba!So good for first term, we give him extra 5 years!
 
Nimesema kweli tupu,hata Mbunge wangu mpendwa "Dogo" Silinde anajua ukweli huo!Umekosekana ushahidi tu kama ambavyo ushahidi wa wauza unga ulivyo mgumu kuupata!Silinde hajanikosea jambo na naamini atashinda tena kwa kishindo kwa sababu hakwenda bungeni na kuwapigania wauza unga bali ameweza kuwasemea watu wa Momba!So good for first term, we give him extra 5 years!

MTENDAHAKI;
Nakuomba utende tu kwa haki. Utawezaje kusema kwamba umesema kweli tupu wakati unamtaja Mh. Mbunge tena kwa jina na jimbo kuwa alipelekwa na wauza unga bungeni?? Jamani, hivi weye ungeandikwa humu, jina lako, kazi yako na makazi yako kuwa unauza unga, ungefurahi hata kama unauuza kweli??
Mambo mengine jamani, tuyaache yalivyo
 
MTENDAHAKI;
Nakuomba utende tu kwa haki. Utawezaje kusema kwamba umesema kweli tupu wakati unamtaja Mh. Mbunge tena kwa jina na jimbo kuwa alipelekwa na wauza unga bungeni?? Jamani, hivi weye ungeandikwa humu, jina lako, kazi yako na makazi yako kuwa unauza unga, ungefurahi hata kama unauuza kweli??
Mambo mengine jamani, tuyaache yalivyo
Kama tatizo ni kumsema hapa nakaa zangu kimya!
 
Wana Tunduma ni watz wanaojielewa sn pengine kuliko sehemu nyingine yoyote
 
Back
Top Bottom