johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Mjumbe wa kamati kuu na Katibu wa BAWACHA mkoani Mwanza amesema wanamtarajia Tundu Lissu kurejea nchini hivi karibuni na kwamba pamoja na kuendesha kikao cha Baraza kuu pia atafanya mikutano nchi nzima.
Katibu huyo amewaomba wanachama wa CHADEMA kuchangia chama ili kukiwezesha kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha.
Amezungumza hayo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa mubashara na Star tv kikiongozwa na mtangazaji nguli Mansour.
Maendeleo hayana vyama!
Katibu huyo amewaomba wanachama wa CHADEMA kuchangia chama ili kukiwezesha kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha.
Amezungumza hayo katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachorushwa mubashara na Star tv kikiongozwa na mtangazaji nguli Mansour.
Maendeleo hayana vyama!