nyembela
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 412
- 523
kama serikali yenye bahari,maziwa,misitu,madini,gesi, maeneo ya utalii na ardhi yenye rutuba inayostawisha kila mmea na watu inao nabado inaombaomba ni miaka zaidi ya60 ccm ikipewa ridhaa yakuiongoza nchi watu wake bado nimasikini wakutupwa kuna ubaya gani chadema ikitumia rasilimali watu na ndio kitu pekee walichonacho?