hii ni fedheha kabisa, sasa hiyo mi baba khanga za nini? duh naomba mungu atusaidie watanzania
inaniuma sana,nawachukia roho zao mbaya wantumia umaskini wa wazee wetu.Kudadadeki wameua viwanda ili waje watupe kanga ili tuwape kula,hao wababa wanagombea wapeleke zawadi kwa wake zao.
NILISHAWAAMBIA HUYO SI MWANASIASA NI KATIBU MWENEZA KANGA NA KOFIA ZA CCM NA UMBEYA:lock1:Naomba Bango hili liwe na Maandishi haya.
''MWISHO WA UZALILISHAJI HUU 2015''
Kweli kabisa ccm inawanyanyasa wazee wetu. Naomba vijana tubadirike tusiwafuate akina Nape kwa udhalilishaji huu maana ni ahibu kwa kijana kufanya mambo ambayo ccm inafanya.inaniuma sana,nawachukia roho zao mbaya wantumia umaskini wa wazee wetu.
nilishawaambia huyo si mwanasiasa ni katibu mweneza kanga na kofia za ccm na umbeya:lock1:
Nape, muogope Mungu! Yaani hao wazee unawaimbisha sandakalaweee, aminaaa, mwenyekupataaa, apateeee! Wadau mnakikumbuka hicho kibwagizo? I wish mzee Nnauye(rip) angekuwepo akashuhudia huu upuuzi wako!Naomba Bango hili liwe na Maandishi haya.
''MWISHO WA UZALILISHAJI HUU 2015''
Hata Kama, swali la msingi ni kwamba Hao Jamaa hizo Kanga za nini?Kula ccm vaa ccm, lala Chadema... copy that..