Tundu Lissu akiongea jana, alisema kuna majimbo ya uchaguzi jumla 265 kote nchini!
Ili CHADEMA iweze kuunda serikali inabidi kupatikane jumla wabunge wa kuteuliwa 133 tu nchini kote! Hii ni ili aweze kumteua waziri mkuu wake!
Naona hii namba ni ndogo sana kwa kipindi hiki cha siasa. Hakika vijana wa CHADEMA tukiungana vilivyo hawa jamaa tunawamaliza asubuhi na mapema sana! Kumbuka namna wanavyochanganyana kwenye kura za maoni, CHADEMA nasi tuwe makini ili tusitengeneze mianya ya kujichanganya kama wao wanavyodundana!
Haya ndio baadhi ya majimbo ya uhakika ama yenye muelekeo mzuri kwa wapinzani
1. Arusha mjini
2. Arumeru magharibi
3. Arumeru mashariki
4. Monduli
5. Hai
6. Moshi mjini
7. Rombo
8. Iringa mjini
9. Singida mashariki
10. Ubungo
11. Kibamba
12. Mbozi
13. Kawe
14. Karatu
15. Babati mjini
16. Ilemela
17. Nyamagana
18. Bukoba mjini
19. Bunda mjini
20. Simanjiro
21. Serengeti
22. Same magharibi
23. Same mashariki
24. Ukonga
25. Butiama
26. Sumbawanga
27. Temeke
28. Mbulu mjini
29. Tarime mjini
30. Tarime vijijini
31. Geita mjini
32. Mwanga
33. Musoma mjini
34. Musoma vijijini
35. Maswa mashariki
36. Buchosa
37. Kahama mjini
38. Meatu
39. Kishapu
40. Ukerewe
41. Shinyanga mjini
42. Kisesa
43. Ushetu
44. Bariadi
45. Segerea
46. Mbeya mjini
47. Tunduma
48. Kyela
49. Kigamboni
50. Ismani
51. Kongwa
52. Kiteto
53. Mbagala
54. Vwawa
55. Makambako
56. Kondoa mjini
57. Manonge
58. Mbinga mjini
59. Mikumi
60. Moshi vijijini
61. Ilala
62. Kinondoni
63. Igunga
64.
65.
66.
67.
68.
69.
70.
71.
72.
73.
74.
75.
76.
77.
78.
79.
80.
81.
82.
83.
84.
85.
86.
87.
88.
89.
90.
91.
92.
93.
94.
95.
96.
97.
99.
100.
101.
102.
103.
104.
105.
106.
107.
108.
109.
110.
111.
112.
113.
114.
115.