CHADEMA tunahitaji wabunge 133 tu tuunde Serikali yetu!

CHADEMA tunahitaji wabunge 133 tu tuunde Serikali yetu!

take my words..


46.Mbeya mjini

47.Mikumi

48.Moshi vijijin

49.
 
endelea
 

Attachments

  • 1438327646596.jpg
    1438327646596.jpg
    26.5 KB · Views: 190
Hapa tunawataja wa cdm tu bado wa nccr, cuf na nld!
 
Kama unazungumzia UKAWA basi jumlisha majimbo 30 ya Unguja na Pemba

Najua mkuu, but nimependa zaidi tujikite kwenye majimbo ya chama kilichomsimamisha mgombea urais! Tukiwaweka wa vyama vingine, basi mchezo mzima unaisha saa nne asubuhi na mapema!
 
Ni ndoto kuunda seriakali mkitanguliza mbele fisadi Lowasa.
 
Hata wale watu wanaoitwa "WATU WETU" waliokuwa wanaandikishwa usiku kucha ili kukomboa jahazi nao wana moyo na wanaipenda Tanzania. Hivyo watawajeuka siku ya kupiga kura. Lets wait and see
 
Hayo Majimbo Hawatayapata,hv Chukulia Ccm Ikachukua Majimbo 100,kwa Hyo Ukawa Kwa Ujumla Inabak Na Majimbo 165 Ndan Ya Majimbo Hayo Yaliyobaki Kuna Cuf,chadema Yenyewe Nccr Na Nld Hv Unataka Kuniambia Chadema Ichukue 133 Na 32 Tu Yaende Vyama Vngne Vya Ukawa?Hapo Bado Act Haijachukua Majimbo Yake,tuache ndoto za mchana Bwana..
 
Endeleeni kuleta majina ya majimbo favourable kwa chadema!
 
Back
Top Bottom