CHADEMA: Tuna dhamira ya kushika dola 2025

Sawa Mimi ngoja tutazame endless progress ,

Kuitoa ccm ni tofauti na kuanzisha chama ni process ndogo zenye , kuvaa uchungu wanaopitia watanzania , na sio kuvizia Ruzuku na kuomba maridhiano ,


Nimeshawatumia uongozi wa CHADEMA Taarifa lakini wanakataa eti sisi vijana tunabidi kufata utaratibu ambao utapatikana kwa Rais niseme tu .

Hawa nyie mnaowaona Kama mashujaa ni wabinafsi Sana that way wamewa-blind ili msijitambue mbaki na jicho moja la kuona kuwa Ccm itatolewa kwa maridhiano au ballots box .


Haitokaa itokee watu Kama Mbowe and so called wanaharakati mkitoe hiki chama chakavu endapo mkawa na hizi Ego zenu za kuona nyie ni Bora .



Mimi nimecheza sabotage mbalimbali huko Ccm so I don't want to find my self guilty that way nilitaka CHADEMA watupe nafasi na sisi tuweze kufanya kitu .

Mkuu narudia tena, mimi ni shabiki wa kutupwa wa Cdm, ila sio mwanachama wa CDM, wala chama chochote cha siasa. Sina popote ninapounga mkono hayo maridhiano ya kitapeli ya kina Mbowe. Na post zangu zote sijawahi kuunga mkono huo utapeli uitwao maridhiano, na uchaguzi ninasema kabisa kwa sasa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Njia ninazopendekeza za kuitoa CCM madarakani, namba moja ni machafuko, au 2, mapinduzi ya kijeshi. Mbinu hizi sisubiri kuitwa na viongozi wa CDM, au Kuremba kwenye kuzitaja. Ndio maana nimekuambia kama una mbinu weka hapa hadharani, hayo mambo ya kutaka kuitwa na viongozi wa CDM ni kupoteza muda. Viongozi wa CDM waache wafuate njia wanayoamini maana wako kisiasa zaidi. Ww weka mbinu hapa kwenye mahakama ya umma inayotegemea nguvu ya umma.
 
Mkuu narudia tena, mimi ni shabiki wa kutupwa wa Cdm, ila sio mwanachama wa CDM, wala chama chochote cha siasa. Sina popote ninapounga mkono hayo maridhiano ya kitapeli ya kina Mbowe. Na post zangu zote sijawahi kuunga mkono huo utapeli uitwao maridhiano, na uchaguzi ninasema kabisa kwa sasa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Njia ninazopendekeza za kuitoa CCM madarakani, namba moja ni machafuko, au 2, mapinduzi ya kijeshi. Mbinu hizi sisubiri kuitwa na viongozi wa CDM, au Kuremba kwenye kuzitaja. Ndio maana nimekuambia kama una mbinu weka hapa hadharani, hayo mambo ya kutaka kuitwa na viongozi wa CDM ni kupoteza muda. Viongozi wa CDM waache wafuate njia wanayoamini maana wako kisiasa zaidi. Ww weka mbinu hapa kwenye mahakama ya umma inayotegemea nguvu ya umma.
Yes Lakini sipo tiyari acha
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema chama hicho kitahakikisha kinaimarisha majimbo yote ya Tanzania na Zanzibar ili kufikia dhamira ya kuiondoa CCM madarakani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

“Tuna dhamira ya kushika dola mwaka 2025, kutokana na dhamira hii kuu, hatuwezi kuliacha jimbo lolote nyuma lazima yote tusonge kwa nguvu kamili. Ujumbe huu sio kwa Geita au kanda ya Victoria bali kanda zote 10 za Tanzania na Zanzibar,” amesema Mnyika.

Mnyika ambaye ni mbunge wa zamani wa majimbo ya Ubungo na Kibamba mkoani Dar es Salaam, ameeleza hayo jana Jumanne Desemba 27, 2022 wakati akihutubia katika mkutano mkuu wa jimbo la Geita Vijijini mkoani Geita.

Katibu mkuu huyo, kwa nyakati tofauti amekuwa akifanya ziara katika majimbo mbalimbali yaliyopo katika kanda 10 za chama hicho, ameshafanya vikao na makongamano na wanachama wa Chadema katika mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara na Dar es Salaam.

Amedai Chadema ndiyo chama cha tumaini kuu la Watanzania, akisema kama kunahitijaka mabadiliko ya uongozi, demokrasia na maendeleo, uhuru, haki za watu lazima kazi ya kujiimarisha ifanyike mahali kote ili chama hicho kiibuke kidedea na kuongoza Serikali mwaka 2025.

“Nyie wa Bukombe na Geita, kama ambavyo sisi wa kitaifa tutakavyozunguka katika majimbo na kata zote, nanyinyi mna wajibu wa kwenda kila kata, kijiji na kitongoji msiache mahali Chadema iamke ili kuwakomboa Watanzania,” amesema Mnyika.

Katika hatua nyingine, Mnyika amewataka wanachama wa chama hicho, kuutumia mwaka 2023 kudai Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi, akisema ni jambo linalopaswa kuwa la Taifa.

MWANANCHI
Tafuteni tu njia nyingine ya kuingia madarakani sio kwa kuraa ibeni tu na nie kadri muwezavyo dawa ya moto ni moto haki wekeni pembeni kwanza na nie uweni, tekeni, ibeni, hongeni, ilimradi muingie madarakani lkn ety kwa kura Tanzania hii sidhan
 
Mimi nikajuwa Wana dhamira ya kujenga ofisi na kueleza mamilioni ya Ruzuku waliyokuwa wanapokea yalitafunwa na Nani na Wana mpango gani wa kuyarudisha
 
chadema kwanza tafuteni ilani ya chama wananchi wanataka kujua mtaifanyia nini tanzania mkishika dola ili mpate wapiga kura, chama hakina ilani yoyote wao kushinda mtandaoni na kulalamika tu, 2025 mtapata kura za wachagga tu hamtashinda
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema chama hicho kitahakikisha kinaimarisha majimbo yote ya Tanzania na Zanzibar ili kufikia dhamira ya kuiondoa CCM madarakani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

“Tuna dhamira ya kushika dola mwaka 2025, kutokana na dhamira hii kuu, hatuwezi kuliacha jimbo lolote nyuma lazima yote tusonge kwa nguvu kamili. Ujumbe huu sio kwa Geita au kanda ya Victoria bali kanda zote 10 za Tanzania na Zanzibar,” amesema Mnyika.

Mnyika ambaye ni mbunge wa zamani wa majimbo ya Ubungo na Kibamba mkoani Dar es Salaam, ameeleza hayo jana Jumanne Desemba 27, 2022 wakati akihutubia katika mkutano mkuu wa jimbo la Geita Vijijini mkoani Geita.

Katibu mkuu huyo, kwa nyakati tofauti amekuwa akifanya ziara katika majimbo mbalimbali yaliyopo katika kanda 10 za chama hicho, ameshafanya vikao na makongamano na wanachama wa Chadema katika mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara na Dar es Salaam.

Amedai Chadema ndiyo chama cha tumaini kuu la Watanzania, akisema kama kunahitijaka mabadiliko ya uongozi, demokrasia na maendeleo, uhuru, haki za watu lazima kazi ya kujiimarisha ifanyike mahali kote ili chama hicho kiibuke kidedea na kuongoza Serikali mwaka 2025.

“Nyie wa Bukombe na Geita, kama ambavyo sisi wa kitaifa tutakavyozunguka katika majimbo na kata zote, nanyinyi mna wajibu wa kwenda kila kata, kijiji na kitongoji msiache mahali Chadema iamke ili kuwakomboa Watanzania,” amesema Mnyika.

Katika hatua nyingine, Mnyika amewataka wanachama wa chama hicho, kuutumia mwaka 2023 kudai Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi, akisema ni jambo linalopaswa kuwa la Taifa.

MWANANCHI
🤣🤣🤣safi sana
 
chadema kwanza tafuteni ilani ya chama wananchi wanataka kujua mtaifanyia nini tanzania mkishika dola ili mpate wapiga kura, chama hakina ilani yoyote wao kushinda mtandaoni na kulalamika tu, 2025 mtapata kura za wachagga tu hamtashinda
acha chuki ndugu
 
Back
Top Bottom