MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Ni suala linalojitokeza ndani ya CHADEMA kwamba wameshindwa kumshirikisha Mzee Bob Makani hivyo kukosa mawazo yake yenye busara na uzoefu wa kuendesha nchi yetu. Ikumbukwe kuwa Mzee Makani ameshiriki sana kuitangaza Chadema usukumani LAKINI FADHILA YA MBUZI NI MATEKE; NA LEO HII AKINA MBOWE HAWATAKI KUMSHIRIKISHA KATIKA BARAZA LA WAZEE. HUKO NI KUKOSA FURSA YA KUTUMIA USHAURI WAKE ILI KUFIKIA MAAMUZI YENYE TIJA NA FAIDA KWA TAIFA LETU