#BREAKINGNEWS
Wakili wa Serikali mkuu Nassoro Katuga anaiambia Mahakama kuwa upande wa Jamhuri umeoana ushahidi ambao umekwishatolewa unajitosheleza hivo basi hakuna sababu ya kuongeza ushahidi mwingine. Jamhuri wanaomba kufunga ushahidi wao kwa idadi ya mashahidi hao 17. Tundu Lissu