CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
umeshashiba kande zako umeamua kuja kunya jf
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
ZEZETA ANAPOJARIBU KULAMBA MOTO!
 
Uchaguzi huru na WA haki ni Hadi chama CHAKO kishinde?
HAwajielewi hao,wao wanajua chama cha upinzani ni kutukana na kashifa kwa Serekali.Wenzao wanatoa misaada kwa wananchi,kama kupeleka madktari wa bure,wa macho,wa kansa,na pia kuwasaidia wananchi wenye matatizo ya Afya,elimu,makazi nk.
 
Msijigambe .CHAUMMA 2 CHADEMA 0.Mmekosa viongozi wenye dira
Wapi tunajigamba, wanaopambania kuwa chama kikuu cha upinzani ndio wanapaswa wajigambe. Kuwa na viongozi wenye dira ni kukubali kuburuzwa na viongozi majizi wa ccm.
 
Uchaguzi huru na WA haki ni Hadi chama CHAKO kishinde?
nyie makondoo mama yenu kajiteua kugombea nafasi ya urais kibabe mmeufyata na makende yenu mnaangaika na chedema ambayo haina mpango na uchaguzi
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Unabweka kutokea wapi ww 🐕
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Weka online poll
 
Kwa Hiki Ulichokiandika Hapa, Nikisema Hauna Akili Nitakua Nimekosea?
Mimi pia nilitaka kuuliza swali kama hilo, ngoja niulize jingine "kwani ukubwa wa chama ni wingi wa wanachama au kuwa na wabunge?"
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Chama kikuu ni chauma
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Unateseka kutokea wap? Tulia dawa iwaingie no Reforms No Elections imewashika pabaya shenzi zenu
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Chadema ni chama cha Wananchi ndio maana serikali inatumia nguvu kubwa pamoja na kununua chauma ili kuizima chadema lakini haitawezekana
 
Back
Top Bottom