CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

CHADEMA siyo chama kikuu cha upinzani

CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Unaongea ukiwa umeishiwa kabisa AKILI TIMAMU,hv kati ya CCM na CHADEMA nani muoga kwa Akili yako.Weka akiba ya maneno siku inakuja.
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Kazi za chama na kukubalika kwake kwa watanzania wote ndio kunatoa tafsiri ya chama ni cha aina gani na sio maneno ya mjinga mmoja na nusu.
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Watoto wa Iddi Amina mnahangaika sana
 
Sisi wana CCM tujifunze kutokujitoa akili. Tabia za aina hii ndizo zinatufanya tuonekane vituko. Hapa Tanzania bara ushindani wa kisiasa ni baina ya chama chetu CCM na CHADEMA full stop
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
CCM IMEFUGA MIZUKULE MINGI SANA. TAZAMA ZUKULE HILI. Hao mnaowaita siyo chama kikuu ndiyo mnaowauwa kila siku. Mbona amuwauwi hao CHAUMA?.
 
Sisi wana CCM tujifunze kutokujitoa akili. Tabia za aina hii ndizo zinatufanya tuonekane vituko. Hapa Tanzania bara ushindani wa kisiasa ni baina ya chama chetu CCM na CHADEMA full stop
Mleta mada ni MSUKULE wa ccm.awezi kukuelewa.
 
CHAUMA ya hao wahuni wakipata ufdhili kutoka kwa watawala ndiyo kikuu siyo.
 
CHADEMA Haina mbunge wala diwani ni sawa tu na vyama vingine kama CHAUMMA,ADC au CUF.Msijigambe sana kuwa ninyi ni chama kikuu Cha upinzani.Nawaonya kuzuia uchaguzi kamwe hamuwezi na msijaribu tutawafurusha kama mapaka jizi
Kunguni nyingine ya ccm hii hapa
 
kelele zote ztaisha baada ya uchaguzi wa mwaka huu kufanyika tutapata chama kingine cha upinzan
 
Back
Top Bottom