Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.
Eti unaitwa Zawadi!kama hii ndo zawadi aliyoamua kutuletea watanzania heli angeichomoa tu hiyo mimba,,na hiyo mbegu iliyosabisha ukazaliwa bora baba yako angezipigia punyeto(kujichua)kuliko kukuzaa wewe,kwa taarifa yako me ni mmoja wa wasomi wa chuo kikuu,zaidi hapa chuoni Gwanda za kikamanda ni kama sale za chuo,kila darasa tumejaa makamanda,wanachadema na wengi wanakadi za CDM mpaka za kupigia kula,wewe kma ni msomi bt bado hayupo CDM,ujue ukoo wao magamba,nenda pale UDOM kisha umalizie SAUT utanenepa kwa hasira,japo usalama dhaifu wa ccm wapo na wanatupiga mikwala daily,hebu cheki kalenda,mwisho wa mwezi huu,isije CDM wakakusababishia round kuwa ndeeeeefuuuuuu. Nani aliikagua hiyo reseach?
Nisingetaka kujibizana na wanaJF kuhusu allegations kwamba CDM ni chama cha kikanda au kwamba mikakati yetu inaleta fujo au uvunjifu wa amani.
Ukweli unajionyesha katika matokeo ya chaguzi ambazo zimetupa Wabunge tangu Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi vya siasa: Kigoma Mjini, Kigoma Kaskazini, Tarime, Mwanza, Ukerewe, Mbeya, Iringa, Singida na Dar es Salaam. Hizi ni sehemu ambazo tumeweza kuwa na majimbo yaliyowachagua wana-CDM tangia 1995. Sitaji Kilimanjaro na Arusha ambako ni chimbuko langu, na ilitegemewa ituelewe kwa urahisi zaidi.
Kuhusu fujo na tishio la uvunjifu wa amani, naweza kusema sio dhamira ya CDM kuleta fujo. Sera zetu zinaelezwa kwa mantiki na ufasaha. Viongozi wetu ni jasiri na wana uzalendo wa hali ya juu. Tuna huruma kwa wanyonge wanaotaabika kutokana na tunawapa ujumbe wa matumaini.
Inaonekana kwamba Serikali na CCM wameishiwa mbinu na mikakati ya kuleta maendeleo. Wamechoka.
Baya zaidi ni kwamba, jinsi inavyodhihirika wengi wao wamebakia kukwapua tu mali ya umma, wanalazimisha taasisi kama Polisi kutumia risasi za moto kutishia uhai wa wananchi wanaotuunga mkono. Chini ya Katiba ya sasa vyama vya siasa vina uhuru wa kuandamana kwa amani. Polisi jukumu lao ni kusindikiza maandamano hayo kuhakikisha amani na katika mikutano kuona kwamba watu wenye nia mbaya hawaleti fujo.
Ukweli kwamba wengi wa Wabunge wa CDM hawatoki vijijini, unatokana na historia na uchanga wetu. Nchi yetu ni kubwa na chama kichanga hakina uwezo wa kuwafikia wananchi wote wa vijijini. Katika kipindi hiki cha miaka 3 kufikia Uchaguzi Mkuu wa 2015 ni lazima mbinu zibuniwe kuwafikia Watanzania huko vijijini. Na helikopta nyingi zitahitajika.
Mkuu Zawadi Ngoda, naomba kutofautiana na wewe kiasi fulani katika haya;
1. Kama msomi uliyefanya utafiti na kutumia pesa, nguvu, akili na muda wako/wenu..ni ajabu kusema UTATUCHOSHA na taarifa ya utafiti ulioufanya, then if ni hivyo why bringing up the topic at all?
-Uliposema "ulitegemea vijana wa vijiweni wasome"..ulimaanisha nini mkuu? kuwa wengine haiwafai? then itakuwa ulisahau kuandika title "kwa vijana wa vijiweni wa CHADEMA"..then kama ni vijana wa "vijiweni" wanapatikana huku jamvini mkuu?
2. Katika aya ya pili umesema utafiti ni mrefu na ungekosa mvuto?..Mkuu, naomba nikuulize swali ulishawahi kusoma hotuba ya Mh. Rais ya mwisho wa mwezi? vipi kuhusu taarifa za wizara za Bunge n.k ...nakuhakikishia ni NDEFU unaweza kutengeneza jarida!!
Ukaongelea suala "MVUTO" , ni mvuto upi unaousema? mvuto kwa nani? ni kipi bora kati ya mvuto au umakini wa taarifa?
3. Mkuu katika aya ya tatu umesema mimi ni "msomi pekee wa CDM" ..ningependa kukukumbusha kuwa siko CDM, lakini hadi sasa sijaona ubaya wa mimi kufikiria kuwa huko!
Kwa ushauri tu mkuu, ni ngumu..narudia tena ni ngumu sana, kushawishi watu kwa "ubaya" wa watu wengine kuliko kushawishi watu kwa mema uliyofanya/mliyofanya.
kweli nimeamini CHADEMA inawapa kiwewe ccm wote watoto na wakubwa. hivi wewe kwa akili zako ule umati wa morogoro wale wote ni wazururaji? kule ARUMERU MASHARIKI ule umati wote ni watu wa kijiweni!! nimeamini akina MLUGO mko wengi.Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.
Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.
Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.
Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.
Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.
Unavyosema sio fair umezungumza kama mgomvi. kama ugomvi wa mume na mke vile au sizitaki mbichi hizi! ...Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education
Unavyosema sio fair umezungumza kama mgomvi. kama ugomvi wa mume na mke vile au sizitaki mbichi hizi! ...
Sio lazima wote tutupie thread jamvini, tuwaambie mpaka liniKelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.
Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.
Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.
Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.
Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.