Mohamed R
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 2,232
- 426
Kiongozi anapaswa kumsikiliza nani? Anayemuongoza, muwekezaji, bosi wake auChadema ni bendela fuata upepo wao siku zote hawana hoja wanafuata yale yanayotokea kwenye jamii ndiyo wanaruka nayo.
Kiongozi anapaswa kumsikiliza nani? Anayemuongoza, muwekezaji, bosi wake auChadema ni bendela fuata upepo wao siku zote hawana hoja wanafuata yale yanayotokea kwenye jamii ndiyo wanaruka nayo.
Jaji Warioba alitoa ufafanuzi mzuri kuwa, 'wananchi hawataki majimbo, mkataba wala serikali mbili! Wanataka tatu'. Vyama vyote hapa vikubwa vilipoteza. Ni mbumbumbu ndo hawakuelewa
kwa hali ya kawaida tu ni kuwa umekurupuka kuandikahi posti yako kwani ungejipa muda kidogotu wa kufikiri usingeandika hivi.chadema wanataka kuwe na serikali tatu. Wakati huo huo wanataka kuwe serikali ya majimbo. Kwa maana hiyo, kutakuwa na rais wa muungano na wakuu wawili wa serikali za bara na zanzibar. Pia kutakuwepo na gavana katika kila jimbo ambao watakuwa na mamlaka kamili kwenye majimbo yao.
Ukiondoa suala la gharama ambalo kwa demokrasia ni vyema kuzipitia kiutawala hii imekaa sawa? Utawala wa majimbo chini ya serikali tatu unawezekana? Dhana kuu ya sera ya serikali ya majimbo ni kuhamisha madaraka ya maamuzi kutoka kwa watu wachache na kuyarejesha mikononi mwa wananchi vijijini.
Kama ni hivyo, hizo serikali mbili za bara na zanzibar zitakazokuwa zinaongozwa na wakuu wawili zitakuwa zinafanya nini? Madaraka ya wakuu wa serikali hizo mbili hayatagongana na madaraka ya magavana wa majimbo? Kama serikali moja chini ya utawala wa majimbo haiwezekani, solution ni kuwa na utawala wa majimbo chini ya serikali tatu?
CHADEMA wanataka kuwe na serikali tatu. Wakati huo huo wanataka kuwe serikali ya majimbo. Kwa maana hiyo, kutakuwa na Rais wa Muungano na wakuu wawili wa serikali za Bara na Zanzibar. Pia kutakuwepo na gavana katika kila jimbo ambao watakuwa na mamlaka kamili kwenye majimbo yao.
Ukiondoa suala la gharama ambalo kwa demokrasia ni vyema kuzipitia kiutawala hii imekaa sawa? Utawala wa majimbo chini ya serikali tatu unawezekana? Dhana kuu ya sera ya serikali ya majimbo ni kuhamisha madaraka ya maamuzi kutoka kwa watu wachache na kuyarejesha mikononi mwa wananchi vijijini.
Kama ni hivyo, hizo serikali mbili za Bara na Zanzibar zitakazokuwa zinaongozwa na wakuu wawili zitakuwa zinafanya nini? Madaraka ya wakuu wa serikali hizo mbili hayatagongana na madaraka ya magavana wa majimbo? Kama serikali moja chini ya utawala wa majimbo haiwezekani, solution ni kuwa na utawala wa majimbo chini ya serikali tatu?
Mkuu hapa ndio ilikuwa kiini cha swali langu.
Hata kama katiba ya sasa ikiendelea na CDM ikashika madaraka, hawawezi kuweka serikali za majimbo kwa sababu itakuwa ni kinyume cha katiba. Kama tunaamini kuwa wazo lao ni kubadili katiba - wakiwa madarakani- ili kuwapo na serikali za majimbo then katiba yoyote itakayokuwepo si wanaweza kuibadili?
Kama wazo lao ni kubadili katiba kama watashika madaraka ili kuruhusu serikali za majimbo, then katika hali ya sasa sioni kama kuna ubaya wowote strategically kwa wao kukubali serikali tatu kama wanaamini hiyo itajenga mazingira mazuri zaidi wa kuweza kuitoa CCM madarakani (na bila shaka maslahi bora zaidi kwa wananchi?). Then wakishashika madaraka, wakaaminika, pengine inaweza kuwa rahisi zaidi kwao kuwashawishi wananchi juu ya suala la serikali za majimbo na accordingly kubadilisha katiba.
Katika mchakato wa kidemokrasia ni kawaida kufuata njia/chaguo la wengi hata kama ni tofauti na chaguo lako. Tumeona hata Zanzibar (Uamsho na makundi mengine) ambayo mwanzoni walikuwa na msimamo wa muuungano wa makataba (whatever that is!) lakini baada ya kuona hilo sio suala rahisi, nao pia wame soften na sasa naona wanakubali serikali tatu (kimsingi) lakini wanataka mambo ya muungano yapunguzwe zaidi.
Lakini suala la muhimu ni haya yote pamoja na misimamo/sera zao (iwe CCM, CDM, CUF, Uamsho etc) yanafanywa kwa maslahi ya nani? Wananchi, Chama, ama Kikundi cha watu fualani tu? Hili ni tatizo kubwa sana (nimeona mdau Ng'wamapalala ameligusia hapo juu).
Rudi tena darasani!!!!!! sasa hivi kuna Mikoa hiyo ni serikali,kuna wilaya hiyo ni serikali. Utawala wa majimbo maana yake ni scope ya maeneo mfano mikoa ya morogoro,dodoma,sindida ikaunda jimbo la kati na mkuu wa jimbo ni gavana na hapa maana yake tayari umeondoa wakuu wa mikoa 3 na pia umeondoa uteusi wa wakuu wa mikoa 3 na kurudisha mamlaka kwa raia. yaani unakubali akili ndogo ikatawala akili kubwa,pole sana
Mimi sioni contradiction yeyote kati ya kuwa na serikali TATU na kuwa na majimbo!!! Kwani tutakapokuwa na serikali Tatu mikoa haitakuwepo? Kama mikoa itakuwepo ndio hayo kwa jina lingine yanaitwa majimbo ; tofauti yake tu itakuwa hao viongozi wa hayo majimbo hawatapatikana kwa mtindo wa kupeana zawadi na kiongozi wa nchi bali wananchi watamchagua ili awe accountable kwao!!!
kwa hali ya kawaida tu ni kuwa umekurupuka kuandikahi posti yako kwani ungejipa muda kidogotu wa kufikiri usingeandika hivi.
kwenye rasimu ya katiba mpya hawakupendekeza serikali za majimbo na badalayake wamependekeza serikali tatu, binafsi sioni sababu ya chadema kutounga mkono muundo wa serikali tatu.
..hata mimi sipendi serikali za majimbo.
..naamini zitaongeza gharama, na zinaweza kuathiri umoja wetu.
..baada ya kusema hayo, nadhani cha msingi ni kubainisha kwa uwazi kabisa mipaka ya serikali za majimbo, za wabia[Tgk & Znz] wa shirikisho, na serikali kuu yaani serikali ya shirikisho la Tanzania.
..unaweza kuwa na idara/wizara za elimu za majimbo halafu ukawa na wizara ya elimu ya Tanganyika na nyingine Zanzibar. serikali ya shirikisho itakuwa haishughuliki na masuala ya elimu ya nchi wabia.
..pia unaweza kuwa na wizara ya afya ktk majimbo, serikali wabia wa shirikisho, na serikali kuu. kunaweza kuwa hospitali za majimbo, hospitali za wabia wa shirikisho, halafu serikali kuu ikawa inashughulika na taasisi za utafiti wa masuala ya afya,taasisi za udhibiti wa magonjwa ya milipuko, etc etc.
..mwisho, kunaweza kuwa na maeneo ambayo serikali za majimbo na wabia wa shirikisho haziyagusi kabisa. hapa nazungumzia masuala kama majeshi ya ulinzi, wizara .za mambo ya nje, na masuala mengine ambayo yatabainishwa kikatiba.
cc Ng'wamapalala
Kwa hiyo, wakifanukiwa kuchukua madaraka chini ya serikali tatu watareconcile vipi na sera yao ya majimbo?
How will they convince the voters kuwa utawala wa majimbo unawezekana chini ya serikali tatu?
Serikali za majimbo ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.viongozi waliopo sasa ni wengi kuliko wale wa majimbo.mfano jimbo la kanda ya ziwa ni mikoa ya mwanza,shinyanga,mara,kagera,geita,simiyu.kutakuwa na gavana mmoja tu.hesabu ya std1 umesave kodi za wananchi badala ya kwenda marafiki wa viongozi wanaoteuliwa kwa upendeleo.pia hawa magavana watachaguliwa na wananchi badala kupewa vyeo kama zawadi au kilipa fadhila.utitiri wa wabunge wanaosema ndiyo kwa kila jambo bungeni hawatakuwepo majimbo yatapunguzwa na kufanya wilaya kuongozwa na mameya na sio wakuu wa wilaya.na hawa wote watachaguliwa na wananchi na baada ya miaka mitano watatoa hesabu kwa wananchi.kwa hesabu std 1 wabunge na mameya watakuwa wachache na wakuu wa wilaya hawatakuwepo.Faida ni kubwa kwa mfumo wa majimbo kwanza tunasave kodi zetu,pili viongozi hawa watawajibika mojakwa moja kwa wananchi.CHADEMA wanataka kuwe na serikali tatu. Wakati huo huo wanataka kuwe serikali ya majimbo. Kwa maana hiyo, kutakuwa na Rais wa Muungano na wakuu wawili wa serikali za Bara na Zanzibar. Pia kutakuwepo na gavana katika kila jimbo ambao watakuwa na mamlaka kamili kwenye majimbo yao.
Ukiondoa suala la gharama ambalo kwa demokrasia ni vyema kuzipitia kiutawala hii imekaa sawa? Utawala wa majimbo chini ya serikali tatu unawezekana? Dhana kuu ya sera ya serikali ya majimbo ni kuhamisha madaraka ya maamuzi kutoka kwa watu wachache na kuyarejesha mikononi mwa wananchi vijijini.
Kama ni hivyo, hizo serikali mbili za Bara na Zanzibar zitakazokuwa zinaongozwa na wakuu wawili zitakuwa zinafanya nini? Madaraka ya wakuu wa serikali hizo mbili hayatagongana na madaraka ya magavana wa majimbo? Kama serikali moja chini ya utawala wa majimbo haiwezekani, solution ni kuwa na utawala wa majimbo chini ya serikali tatu?
Mkuu JokaKuu nimekupata. Mimi sina taabu na kuwepo kwa sera yoyote ile ambayo italeta maendeleo kwa haraka lakini ninapinga kuwepo kwa sera ambayo inagawa jamii na kuondoa utaifa kutokana na historia na tamaduni tulizonazo, lakini kikubwa zaidi, siogopi mabadiliko katika jamii kwa sababu mabadiliko ni sehemu ya maendeleo...hata mimi sipendi serikali za majimbo.
..naamini zitaongeza gharama, na zinaweza kuathiri umoja wetu.
..baada ya kusema hayo, nadhani cha msingi ni kubainisha kwa uwazi kabisa mipaka ya serikali za majimbo, za wabia[Tgk & Znz] wa shirikisho, na serikali kuu yaani serikali ya shirikisho la Tanzania.
..unaweza kuwa na idara/wizara za elimu za majimbo halafu ukawa na wizara ya elimu ya Tanganyika na nyingine Zanzibar. serikali ya shirikisho itakuwa haishughuliki na masuala ya elimu ya nchi wabia.
..pia unaweza kuwa na wizara ya afya ktk majimbo, serikali wabia wa shirikisho, na serikali kuu. kunaweza kuwa hospitali za majimbo, hospitali za wabia wa shirikisho, halafu serikali kuu ikawa inashughulika na taasisi za utafiti wa masuala ya afya,taasisi za udhibiti wa magonjwa ya milipuko, etc etc.
..mwisho, kunaweza kuwa na maeneo ambayo serikali za majimbo na wabia wa shirikisho haziyagusi kabisa. hapa nazungumzia masuala kama majeshi ya ulinzi, wizara .za mambo ya nje, na masuala mengine ambayo yatabainishwa kikatiba.
cc Ng'wamapalala
..kuna wanaodhani kwamba mfumo wa serikali 3 hauwezekani.
..wanadai nchi haiwezi kuwa ma "maraisi" watatu.
..kama tunaweza kuwa na serikali 2, basi tunaweza kuwa na serikali 3.
..USA wana serikali za majimbo 50, juu yake kuna serikali kuu Federal Govt'.
..we can take a lesson frm them, kuona tutafanya vipi na hayo majimbo 10 yanayopendekezwa na CDM.
..kuhusu ku-convince voters hiyo inaweza kuwa kazi ngumu kutokana na viwango vya uelewa, na vitisho/udanganyifu unaofanywa na watawala.
Serikali za majimbo ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa letu.viongozi waliopo sasa ni wengi kuliko wale wa majimbo.mfano jimbo la kanda ya ziwa ni mikoa ya mwanza,shinyanga,mara,kagera,geita,simiyu.kutakuwa na gavana mmoja tu.hesabu ya std1 umesave kodi za wananchi badala ya kwenda marafiki wa viongozi wanaoteuliwa kwa upendeleo.pia hawa magavana watachaguliwa na wananchi badala kupewa vyeo kama zawadi au kilipa fadhila.utitiri wa wabunge wanaosema ndiyo kwa kila jambo bungeni hawatakuwepo majimbo yatapunguzwa na kufanya wilaya kuongozwa na mameya na sio wakuu wa wilaya.na hawa wote watachaguliwa na wananchi na baada ya miaka mitano watatoa hesabu kwa wananchi.kwa hesabu std 1 wabunge na mameya watakuwa wachache na wakuu wa wilaya hawatakuwepo.Faida ni kubwa kwa mfumo wa majimbo kwanza tunasave kodi zetu,pili viongozi hawa watawajibika mojakwa moja kwa wananchi.
kuhusu zanzibar kwa watu wanaotumia akili kufikiri huwezi kupata taabu.zanzibar walishavunja katiba ya muungano maana yake ni kuwa hawataki muungano.waachwe waende kwa sababu hizi ni nchi mbili zilizoungana.kwa hiyo fikiria kwanza ulichonacho na ulichonacho ni Tanganyika.
Wakuu wa mikoa na wilaya leo wanafanya kazi gani wakati kuna serikali mbili? Hongera umeongeza idadi ya posti zako na likes.CHADEMA wanataka kuwe na serikali tatu. Wakati huo huo wanataka kuwe serikali ya majimbo. Kwa maana hiyo, kutakuwa na Rais wa Muungano na wakuu wawili wa serikali za Bara na Zanzibar. Pia kutakuwepo na gavana katika kila jimbo ambao watakuwa na mamlaka kamili kwenye majimbo yao.
Ukiondoa suala la gharama ambalo kwa demokrasia ni vyema kuzipitia kiutawala hii imekaa sawa? Utawala wa majimbo chini ya serikali tatu unawezekana? Dhana kuu ya sera ya serikali ya majimbo ni kuhamisha madaraka ya maamuzi kutoka kwa watu wachache na kuyarejesha mikononi mwa wananchi vijijini.
Kama ni hivyo, hizo serikali mbili za Bara na Zanzibar zitakazokuwa zinaongozwa na wakuu wawili zitakuwa zinafanya nini? Madaraka ya wakuu wa serikali hizo mbili hayatagongana na madaraka ya magavana wa majimbo? Kama serikali moja chini ya utawala wa majimbo haiwezekani, solution ni kuwa na utawala wa majimbo chini ya serikali tatu?
Ni sawa na na mimi kukuuliza kama kutakuwa na utawala wa majimbo, then serikali za bara na Zanzibar zitakuwa zinafanya nini? Huoni kuwa kwa kuwepo kwa serikali ya majimbo na serikali tatu, bado utaendelea kuuliza swali ulilouliza?
Bado naendelea kusema kuwa nchi inahitaji kuwa na serikali na Tanganyika ni sawa na Zanzibar, Zanzibar imekuwa na serikali yake kwa kipindi cha miaka 50 na kuanza kuuliza sasa inafanya kazi gani sifikiri kuwa pana haja ya kufanya hivyo, pengine sisi Wazanzibari ndio tunajuwa nini inafanya. Utawala wa majimbo ni mfumo wa kiutawala ambao nchi unaigawa katika mipaka ya kijografia kiutawala. Kila nchi inakuwa na utaratibu wa kugawa mipaka ya utawala na kuna mifano mingi ambayo unaweza kukuta miji mikubwa zaidi ya mitatu au minne ikiwa kama jimbo moja chini ya kiongozi mmoja ambapo kunakuwa na kiongozi kila mji. Tatizo linakuwa pale unapochukulia majimbo kuwa sawa na majimbo ya nchi nyengine (mfano Marekani) ambapo haya majimbo ndio msingi wa muungano wa nchi.
That was not my point. Sisemi kuwa iwepo serikali ya Zanzibar, isiwepo serikali ya Tanganyika, lakini iwepo serikali ya majimbo.
Kwanini iwepo serikali ya majimbo wakati vilivyoungana sio majimbo bali ni nchi? Hata jina lenyewe la Tanzania lina lengo hilo la kuonyesha muungano wa nchi mbili, sasa nchi inakuwaje jimbo? Muungano ni mkataba ambao kuwepo kwake si lazima iwapo wahusika wataona hakuna haja lakini Tanganyika na Zanzibar zipo na hakuna njia ya kuzziondowa na ili ziongozwe basi zinahitaji serikali
Na serikali ya jimbo itakuwa inafanya nini? The way ulivyoeleza ni kama vile unataka kuendeleza tawawa za mikoa za sasa kupitia back door ya utawala wa majimbo.
umeuliza maswali ya msingi sana kwenye hoja yako hii EMT. lakini kwanza hebu tujaribu kutafakari kwa undani ni kitu gani ambacho wanachi wanataka wka sasa??
wananchi wanataka serikali 3 wao hawataki moja wala mbili wala serikali za majimbo, kama ndivyo wananchi wanavyotaka ni wazi kwamba matakwa yao ndio yatimie.
lakini kwa upande mwngine CDM walilenga gavana wa jimbo ndiye atakaye mreplace mbunge by so doing wabunge wapewe meno ya kuwawajaibisha watendaji wa serikali. to me hii ilikuwa inaniwia ngumu sana sana kuipatia picha itakavyokaa manake niliwaza kiutendaji wabunge wetu kwanza sio wachapa kazi ni watu wa maneno mengi pasipo utekelezaji na hapo hapo pia wabunge wetu zaid ya kujineemesha kwa kutaka maposho makubwa hawana jingine wanalo tusaidia sisi kama wananchi sasa leo hii wakipewa hayo mamlaka ya kiutedaji si ndio watatumaliza??
endelea kuamini hivyo na usilazimishe na wenzio tuamini unayoamini! Bencho......Wewe ni msemaji wa CHADEMA au unataka kuchafua hali ya hewa ndani ya CHAMA? mimi naamini wamejikanyaga,
how would you reconcile serikali tatu na utawala wa majimbo?
kitendawili: Ili upate wachangiaji wengi kwenye uzi wako hapa jf ni lazima ukitaje chama gani????