Basically, ningependa serikali tatu only kama itasaidia kuvunjika kwa muungano kwa haraka zaidi. Otherwise, serikali moja tuu kama haiwezekana basi kila mtu achukue zake. Kwa nini tunalazimishana?
Kuendelea kuwepo kwa serikali mbili means huu muungano wa sasa bado utaendelea na jinsi Watanganyika walivyo legelege kudai haki zao ndiyo itakuwa imetoka hiyo.
This would be the most ridiculous thing to have happened in Tanzania. Kama alivyowahi kusema Sitta litakuwa jambo la kuchekesha duniani iwapo nchi maskini kama Tanzania itakuwa na marais watatu kama muundo wa serikali tatu. Huu ni uoga wa kufanya maamuzi magumu. Badala ya kutatua tatizo tunalizungukia tuu.
Why not serikali moja? Maana kama tunaweza kuwa na serikali tatu basi si tunaweza pia kuwa na serikali nne?
Yes, Marekani wana utawala wa majimbo lakini hawa marais wawili au watatu. In fact, hapa ndipo ilipo hoja yangu. Yaani unakuwa na marais watatu wanaongoza serikali tatu ndani ya nchi moja. Halafu hapo hapo unakuwa na uatawala wa majimbo chini ya magavana. Are you kidding me? Does that make sense to you at all?
Hata kama ukitumia common sense hakuna mamtiki ya kuwa na serikali tatu na utawala wa majimbo kwa wakati mmoja. It does not make sense at all. Either serikali tatu bila utawala wa majimbo au utawala wa majimbo pekee. Otherwise, ni yale yale.
..I had to go back and read what I wrote.
..hoja kwamba serikali 3 maana yake ni maraisi watatu ni upotoshaji.
..ninavyoelewa ni kwamba kutakuwa na mipaka ya madaraka baina ya serikali za nchi washiriki na serikali kuu.
..kwa msingi huo basi hata hao maraisi watakuwa hawalingani kimadaraka wala kimajukumu.