Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

Kuna watu wengi Sana humu nawaheshimu Pascal Mayalla mmoja wapo halafu Kuna Mtu anaitwa barafu na wengine wengi.

Ila Kaka yangu Pascal Mayalla Mimi kwenye hili saga najiuliza maswali mengi sana , likiwepo na hili la Mbunge kutoka gerezani usiku na asubuhi kwenda kuapishwa, tena sio bungeni Kwa nini? Kuna nini?

Halafu mbona spika katangaza kuwatambua bila amri ya Mahakama? Yani yeye katangaza asubuhi zuio la Mahakama limetoka mchana bado unawatupia mzigo CHADEMA?

Katiba inasema , kila mtu ana Uhuru WA kutoa maoni yake Ila asivunje Sheria.

Naheshimu mawazo yako, Ila sikubaliani nayo.
 
Mkuu pasco hoja zinajibiwa kwa hoja. Nimeshangaa umetangulizi suala la mahaba ya wasiokubaliana nawe kwa Chadema! huo ni ufinyu au uhaba wa hoja. Hakuna uchama hapa na wengine hatujui hivyo vyama, lakini tukae kimya kama mazuzu tukinajisiwa akili na akina Tulia

Umeandika mambo mengi na kuficha hoja muhimu kwa bahati mbaya wewe ni mwanasheria tena mwanafunzi wa Tulia Akson PhD na kuna kila sababu ya kuwa na shaka na hilo darasa, sorry!

Hii point ina maana na umuhimu gani? Hoja ni COVID19 wameteuliwaje na nani na kikao gani.
Hata kama wameteuliwa na 'kigogo' , je huo ndio utaratibu wa katiba unayosema inavunjwa?

No no! wewe ni mwanasheria you should know this better. Mgogoro ukitokea kuna scenario hizi
1. Mhusika anaweza kuamua kutokwenda mahakamani akapoteza ubunge.( Sophia Simba, Zitto)
2.Mhusina anaweza kwenda mahakamani shauri lake lisikizwe akiwa nje ya Bunge
3. Mhusika anaweza kwenda mahakamani kutaka zuio la kuondolewa hadi kesi yake itakapokwisha

Si kweli unachosema sana ni uongo!. Wanachama wa CUF walipoteza Ubunge mara moja
Tundu Lissu kesi yake haijaisha na si mbunge kuna ''replacement'' tayari

Sheria za Bunge ni zipi? Za Ndugai au za Tulia Akson PhD!

Lakini pia unajichanganya, tambua kwamba kubaki na ubunge ni amri ya mahakama
Kumbuka hii hoja halafu utaona tatizo hapa chini


Uongo uongo uongo! mkubwa. Mnadhalilisha taaluma ya sheria wewe na mwalimu wako Tulia Akson PhD.

Huwezi kwenda Bungeni na kusema umechaguliwa na NEC na Bunge likakuruhusu kuingia kwasababu umelitaarifu kwa barua . Huo si utaratibu lazima uwe na nyaraka za NEC na vitambulisho vingine.

Huwezi kumwandikia barua Spika eti unakwenda mahakamani na Spika huyo akakubali, huu niu upuuzi mkubwa. Spika anafanyia kazi taarifa za kiofisi si vijibarua visivyo na ushahidi

Spika Tulia Akson PhD alipaswa kuomba apewe barua ya mahakama kwamba lipo shauri, siyo barua za ''mapenzi' tu kutoka COVID.

Hili halihitaji kujua sheria linahitaji weledi tu na nakuhakikishia watu wanaojua wanamuona Tulia Akson PhD mtu wa ajabu sana! hakuna kitu pale , empty !

Nimekupa scenario pale juu, pia utambue suala la Tundu Lissu lipo mahakamani kavuliwa ubunge. Hivi huoni double standard na kwa PhD holder hili halikupawa kufanywa kizembe namna ile. Professor ? real .

Rejea hapo juu! nilipokueleza kuwa T.Akson PhD anafanyia kazi taarifa rasmi na ndicho walichosema wakati Chadema walipodai kupeleka barua.

Job Ndugai alisema hawezi kufanyia taarifa za kusikia anataka taarifa ya chama.
Akaonyeshwa dispatch book na kunywea hadi alipovurunda siku hizi anazungumza vichochoroni

Mwambie Mwalimu wako Tulia Akson PhD kwamba anachokifanya ni majungu.

Taarifa ya kwenda mahakamani inathibitishwa na nyaraka za mahakama siyo hadithi.

P huwezi kwenda na kudai CCM wamekteua kuwa Mbunge na eti T. Akson PhD akakubali tu kwasababu anakujua ni mwanafunzi wake na unaandika makala magazeti! hell no! that is stupid
Kazi za umma zinafanywa kwa taratibu na nyaraka, alipaswa kuwaambi wampe barua ya mahakama

Hivi Chadema wangeandika barua in advance ya kumwambia wanachama wamefukuza leo hapa pangekalika! Please usitetee upuuzi wa kuvunja sheria za nchi. Tulia anavurunda tu! shame on her! Hivi mtu na PhD anadhalilikaje kirahisi namna hii! kibaya zaidi huyu anatoa maamuzi yanayoathiri watu milioni 55!

Pasco please

Chadema walijua mchezo wa Serikali, Bunge na Mahakama. Kutafuta nani amefanya forgery ingechukua miaka 10. Hawa si ndio wanamsubiri dereva wa Tundu Lissu?

Polisi wana intelejensia ya kubaini uhalifu tuhuma za Chadema zilitosha zinatoka katika taasisi. Hilo linawezekana huko kwenye Polisi wa kweli, hapa kwetu ni kichekesho tu

Kwa taarifa yako kesi ya COVID19 itaisha 2025 December.

Mahakama imepokea maagizo ya mhimili wa Tulia Akson PhD na ukumbuke mahakama inaongozwa na Mwalimu wako CJ ibrahimu aliyesema '' mahakama ziangalie mihimili mingine inasema nini'' jana tumeona kauli yake Mhimili wa Bunge umesema wa mahakama umetekeleza

Hoja usiyojibu, mawakili wa serikali wanamwakilisha nani?
Kesi ni ya wanachama na chama chao, hao mawakili ni kwa ajili ya nani

Ni hitimishe kwa kukuambia Pascal hoja zinajibiwa kwa hoja, unachoeleza kwa maelezo mengi ni kutaka kupoteza wasomaji. Tulia Akson PhD na Professor hakufuata au hajui taratibu za ofisi

Inasikitisha Spika wa Bunge anafanyia kazi taarifa za majungu na si za kiofosi.

Spika alikuwa na barua ya CDM ya kiofisi si vikaratasi vya COVID. Barua ya mahakama ni ya kiofisi

Suala zima limemuonyesha Tulia, Tuna tatizo nchini, huyu anaongoza mhimili wa kutunga sheria! eee mola! ee mungu inusuru nchi hii.
Mkuu Nguruvi3 nimependa uandishi wa hoja zako,umeelezea kwa lugha nyepesi na yenye kueleweka saana..

Kwenye hili sakata la COVID 19 kuna makosa pande zote 3,chama,wabunge na spika.

Lakini hoja kuu ya pascal ni chanzo cha tatizo...na hili thread yake kama nimemuelewa ka base kwenye kuishauri Chadema,labda baadae atakuja na thread ya kumshauri spika...hivyo kwa sasa tujadilini hoja yake kuu.
 
Mkuu pasco hoja zinajibiwa kwa hoja. Nimeshangaa umetangulizi suala la mahaba ya wasiokubaliana nawe kwa Chadema! huo ni ufinyu au uhaba wa hoja. Hakuna uchama hapa na wengine hatujui hivyo vyama, lakini tukae kimya kama mazuzu tukinajisiwa akili na akina Tulia

Umeandika mambo mengi na kuficha hoja muhimu kwa bahati mbaya wewe ni mwanasheria tena mwanafunzi wa Tulia Akson PhD na kuna kila sababu ya kuwa na shaka na hilo darasa, sorry!

Hii point ina maana na umuhimu gani? Hoja ni COVID19 wameteuliwaje na nani na kikao gani.
Hata kama wameteuliwa na 'kigogo' , je huo ndio utaratibu wa katiba unayosema inavunjwa?

No no! wewe ni mwanasheria you should know this better. Mgogoro ukitokea kuna scenario hizi
1. Mhusika anaweza kuamua kutokwenda mahakamani akapoteza ubunge.( Sophia Simba, Zitto)
2.Mhusina anaweza kwenda mahakamani shauri lake lisikizwe akiwa nje ya Bunge
3. Mhusika anaweza kwenda mahakamani kutaka zuio la kuondolewa hadi kesi yake itakapokwisha

Si kweli unachosema sana ni uongo!. Wanachama wa CUF walipoteza Ubunge mara moja
Tundu Lissu kesi yake haijaisha na si mbunge kuna ''replacement'' tayari

Sheria za Bunge ni zipi? Za Ndugai au za Tulia Akson PhD!

Lakini pia unajichanganya, tambua kwamba kubaki na ubunge ni amri ya mahakama
Kumbuka hii hoja halafu utaona tatizo hapa chini


Uongo uongo uongo! mkubwa. Mnadhalilisha taaluma ya sheria wewe na mwalimu wako Tulia Akson PhD.

Huwezi kwenda Bungeni na kusema umechaguliwa na NEC na Bunge likakuruhusu kuingia kwasababu umelitaarifu kwa barua . Huo si utaratibu lazima uwe na nyaraka za NEC na vitambulisho vingine.

Huwezi kumwandikia barua Spika eti unakwenda mahakamani na Spika huyo akakubali, huu niu upuuzi mkubwa. Spika anafanyia kazi taarifa za kiofisi si vijibarua visivyo na ushahidi

Spika Tulia Akson PhD alipaswa kuomba apewe barua ya mahakama kwamba lipo shauri, siyo barua za ''mapenzi' tu kutoka COVID.

Hili halihitaji kujua sheria linahitaji weledi tu na nakuhakikishia watu wanaojua wanamuona Tulia Akson PhD mtu wa ajabu sana! hakuna kitu pale , empty !

Nimekupa scenario pale juu, pia utambue suala la Tundu Lissu lipo mahakamani kavuliwa ubunge. Hivi huoni double standard na kwa PhD holder hili halikupawa kufanywa kizembe namna ile. Professor ? real .

Rejea hapo juu! nilipokueleza kuwa T.Akson PhD anafanyia kazi taarifa rasmi na ndicho walichosema wakati Chadema walipodai kupeleka barua.

Job Ndugai alisema hawezi kufanyia taarifa za kusikia anataka taarifa ya chama.
Akaonyeshwa dispatch book na kunywea hadi alipovurunda siku hizi anazungumza vichochoroni

Mwambie Mwalimu wako Tulia Akson PhD kwamba anachokifanya ni majungu.

Taarifa ya kwenda mahakamani inathibitishwa na nyaraka za mahakama siyo hadithi.

P huwezi kwenda na kudai CCM wamekteua kuwa Mbunge na eti T. Akson PhD akakubali tu kwasababu anakujua ni mwanafunzi wake na unaandika makala magazeti! hell no! that is stupid
Kazi za umma zinafanywa kwa taratibu na nyaraka, alipaswa kuwaambi wampe barua ya mahakama

Hivi Chadema wangeandika barua in advance ya kumwambia wanachama wamefukuza leo hapa pangekalika! Please usitetee upuuzi wa kuvunja sheria za nchi. Tulia anavurunda tu! shame on her! Hivi mtu na PhD anadhalilikaje kirahisi namna hii! kibaya zaidi huyu anatoa maamuzi yanayoathiri watu milioni 55!

Pasco please

Chadema walijua mchezo wa Serikali, Bunge na Mahakama. Kutafuta nani amefanya forgery ingechukua miaka 10. Hawa si ndio wanamsubiri dereva wa Tundu Lissu?

Polisi wana intelejensia ya kubaini uhalifu tuhuma za Chadema zilitosha zinatoka katika taasisi. Hilo linawezekana huko kwenye Polisi wa kweli, hapa kwetu ni kichekesho tu

Kwa taarifa yako kesi ya COVID19 itaisha 2025 December.

Mahakama imepokea maagizo ya mhimili wa Tulia Akson PhD na ukumbuke mahakama inaongozwa na Mwalimu wako CJ ibrahimu aliyesema '' mahakama ziangalie mihimili mingine inasema nini'' jana tumeona kauli yake Mhimili wa Bunge umesema wa mahakama umetekeleza

Hoja usiyojibu, mawakili wa serikali wanamwakilisha nani?
Kesi ni ya wanachama na chama chao, hao mawakili ni kwa ajili ya nani

Ni hitimishe kwa kukuambia Pascal hoja zinajibiwa kwa hoja, unachoeleza kwa maelezo mengi ni kutaka kupoteza wasomaji. Tulia Akson PhD na Professor hakufuata au hajui taratibu za ofisi

Inasikitisha Spika wa Bunge anafanyia kazi taarifa za majungu na si za kiofosi.

Spika alikuwa na barua ya CDM ya kiofisi si vikaratasi vya COVID. Barua ya mahakama ni ya kiofisi

Suala zima limemuonyesha Tulia, Tuna tatizo nchini, huyu anaongoza mhimili wa kutunga sheria! eee mola! ee mungu inusuru nchi hii.
Hapa umemaliza kila kitu, heshima kwako Mkuu.
 
Mkuu Nguruvi3 nimependa uandishi wa hoja zako,umeelezea kwa lugha nyepesi na yenye kueleweka saana..

Kwenye hili sakata la COVID 19 kuna makosa pande zote 3,chama,wabunge na spika.

Lakini hoja kuu ya pascal ni chanzo cha tatizo...na hili thread yake kama nimemuelewa ka base kwenye kuishauri Chadema,labda baadae atakuja na thread ya kumshauri spika...hivyo kwa sasa tujadilini hoja yake kuu.
Mkuu kama unamsoma Pascal Mayalla hoja yake ni utetezi kwa COVID19 kwa namna yote
Ujenzi wake wa hoja unaruka ruka tu, na nitakupa mifano

1. Anatuhumu Chadema kukiuka katiba. Tunamuuliza atufafanulie ni wapi imekiukwa! hajaweza kutueleza hata aya moja lakini anasisitiza imekiukwa.

2. Anasema CC ya Chadema ni kangaroo court! tunamuuliza kosa walilofanya ni lipi, hana jibu

3. Anasema barua ya NEC ni halali. Tunamuuliza COVID19 walipewa nani, hana jibu

4. Anasema Chadema waende kuripoti Polisi. Tunamuuliza zile kesi za masanduku ya kura walizoripoti Polisi zimeishia wapi? Hana jibu anataka waende tu

5. Anasema Halima Mdee ni mwenyekiti wa Bawacha, CC si mamlaka yeke ya nidhamu. Tunamuuliza kwani amefukuzwa Uenyekiti au Uanachama? Hana jibu

6. Anasema Spika aliambiwa na COVID wanaenda mahakamani! Tukamuuliza angeambiwa na Chadema kwamba wamefukuzwa angekubali bila barua ya kitaasisi? Hana jibu anasema majungu ya Spika Tulia na COVID19 wakati wanasukana ni muhimu kuliko Barua ya mahakama

7. Tunamuuliza, hivi kesi ya wanachama na chama chao mawakili wa serikali wanaingiaje? Pasco haana jibu anasema kwasababu wameonewa!

8. Tukamuuliza Nusrat Hanje katolewa usiku bila amri ya mahakama, nani kutoka Chadema alitoa amri hiyo? Hana jibu. Nani alimpelekea fomu magereza? Pasco hana jibu

Mimi sina tatizo na hoja zake na napenda sana mijadala ya namna hii, nina tatizo na biasness

Hana anaposhika, anatafuta hoja ya siku! kwamba kumekucha hii hoja inaweza kubadili mwelekeo basi anaitumbukiza.

Ni nadra sana nasema haya lakini anapozungumza kama Mwanasheria na Mwandishi, hapana! ni mwenzetu tumsaidie.
 
Magufuli hakukosea kukuita njaa maana njaa imekuharibu mpaka umekuwa mtu wa hovyo kabisa, Lissu alipinga kufukuzwa mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama na wabunge wa CUF walipinga mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama? umekuwa mtu wa hovyo sn unapewa rushwa unauza utu wako. Kwahiyo wewe unaijua katiba ya CHADEMA kuliko CHADEMA wenyewe? shame on you


Yaani kwa mwana sheria kutetea uvunjifu wa sheria kwasababu tu ya ukada ina shusha sana credibility yako
 
Kesi iliyopo mahakamani si ya kisiasa but waliofungua kesi wanaona wamenyimwa HAKI yao, mahakama hazisikilizi kesi za kisiasa
Tusiyumbishwe na maneno, wamenyimwa haki yao ya kisiasa. Huwezi kupeleka kesi mahakamani ikihitaji haki yako ya kuwa mbunge halali halafu usiseme hawagusi mambo ya siasa. Lazima wabalance pande zote, sheria za vyama zinasemaje na uhalali / ubatili uko wapi!
 
Mhuni hapo ni CHADEMA au Mbowe? CDM kama taasisi wako sahihi kabisa, kama Akina Mdee na Mbowe walifanya makubaliano ya kihuni huko vichochoroni hili ni lao wamalizane wenyewe. Lakini chama kama chama lazima kisimame.

Mkuu faateni tu utaratibu vinginevyo mtakaa mahakamani sana na Halima Mdee na wenzake hamtaweza watimua
Ushauri wa mchawi ?
Si upeleke kwenu huku uliishakataliwa. Una roho ngumu kama yule mwandishi nguli anaedai alipata A ya sheria.
 
Wanabodi,

Leo tena nimepata fursa kuwaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" na issue iliyo mezani ni Sakata la wabunge 19 wa Chadema, Chadema imewatimua ikijua it's done with them, Spika wa Bunge amewakingia kifua, hivyo wanaendelea na ubunge wao kusubiria aumuzi wa mahakama.

Humu JF, tuko wanachama wa aina nyingi, ila pia sisi wanachama wa JF, kuna baadhi yao ambao wana command much respect humu jukwaani, hivyo bandiko hili ni kuwajibu baadhi yao.

Siku zote Chadema imekuwa ikiendesha baadhi ya mambo yake kienyeji enyeji bila kufuata Katiba sheria taratibu na kanuni na haswa timua timua zake, japo Chadema ina katiba, na hiyo katiba imeweka miongozo yote ya kushughulikia nidhamu, kwa lengo la kutenda haki, lakini hakuna hata timua timua moja ambayo Chadema wamefuata katiba yake. Timua timua zote ni kinyume cha katiba yake, and always they have been doing that and go away.

This time around, kwenye hili la kina
Halima Mdee, Chadema imekwaa kisiki, tena kisiki cha mpingo, ukijikwaa kwenye kisiki cha mpingo, lazima utaumia wewe, hivyo hili ni Bandiko la kuwahimiza rafiki zangu wana Chadema, Kwa Chadema as chama as well as individually, they should always seek the truth & the truth will set them free. Uamuzi wa Spika wa Bunge, Dr. Tulia Akson kuwakingia kifua, wabunge waliowatimua kikangaroo ni uamuzi sahihi, yaani uamuzi very right, done at the right time and done right.

Ushauri wangu kwa Chadema ni from now, Chadema must learn, the hard way, not only how to do the right things, but also do them right!.


Mkuu Fundi Mchundo , vitu vingine sio vya kuuliza ni kutaka tuu kumuonea Spika.
Uchaguzi unasimamiwa na NEC, Wabunge wote wanapewa barua ya utambulisho ya NEC ndio wanatinga Bungeni. Sii kazi ya Bunge au Spika kuhoji wamepatikanaje, as long as Barua ya utambulisho ya NEC imemfikia then ni authentic letter, Bunge halina sababu yoyote kuhoji utambulisho wa NEC.

Humu JF wengi wana mahaba na Chadema hivyo they are just too blind to see jinsi inavyofanya mambo ya hovyo. Hili jambo ni Chadema wenyewe wameli mishandled toka mwanzo.

Naomba niunganishe na hoja ya Mkuu Nguruvi3 nizijibu kwa pamoja kuwaonyesha makosa ya Chadema ya kijinga kabisa.


Kwa faida ya wengine naomba nianzie mbali.
  1. Hili jambo limeanzishwa na Chadema kususia kutambua matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ikasema hailitambui Bunge na haitambui Rais
  2. NEC ikatoa nafasi 18 za viti maalum, Chadema wakasema hawateua na hawana time.
  3. Mdee of course, accompanied by Bulaya, wakam consult a very high ranking Kigogo wa Chadema on the benefits of hizo nafasi 19, Kigogo huyo not only gave them a go ahead, but also facilitated them!.
  4. Introduction credentials from Chadema (a bone of contention) introduced the 19 to NEC.
  5. NEC wakawapa barua za utambulisho, authentic bonafide genuine certificates wakaziwasilisha Bungeni, hivyo Kibunge, hawa ni Wabunge halali kabisa!.
  6. Spika/Bunge has nothing to do with the process iliyotumika kumpata mbunge yoyote, as long as ameteuliwa na NEC.
  7. Kukitokea mgogoro wowote wa Uchaguzi, kwa mtu yoyote kupinga ushindi wa mgombea mahakamani, huyo Mbunge ataendelea kuwa mbunge mpaka mahakama itakapotoa hukumu.
  8. Na kukitokea mgogoro wa kichama, mbunge yoyote kufutwa uanachama na chama chake, anapaswa kupoteza ubunge wake automatically ila akiliarifu Bunge kuwa amepinga mahakamani kuvuliwa kwake uanachama, Bunge litamkingia kifua kusubiria aumuzi wa mahakama.
  9. Hivi ndivyo ilivyofanyika kwa Hamad Rashid Mohammed, David Kafulila na Zitto Kabwe. Na baada ya uamuzi wa mahakama, walivuliwa ubunge, Zitto alijivua na kuaga rasmi Bunge.
  10. Hivyo jana asubuhi kupitia Bunge live, Spika alizungumza huku nikimuona kwa macho yangu na kumsikia kwa masikio yangu, alitangulia kupokea taarifa ya kina Mdee kufungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama, kwa kutaja siku, saa na dakika, kabla ya kupokea taarifa rasmi ya Chadema kuwafuta uanachama. Hivyo Spika Tulia yuko right na Bunge liko right kuwakingia kifua.
  11. Haya sasa ninayoendelea nayo ni yangu. Watu wengi humu wana mahaba niue na Chadema, na siku zote mapenzi yakizidi huleta upofu hivyo hamuoni makosa ya Chadema.
  12. Baada tuu ya Wabunge hao kuapishwa na Chadema kuwakana, sisi washauri wa bure tukawashauri Chadema wafanye a due process wameingiaje Bungeni, barua ya utambulisho toka Chadema imeandikwa na kusainiwa na nani.
  13. Hii due process ingebainisha kuna forgery, forgery ni jinai, walipaswa kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike na hiyo barua yao ya utambulisho, iwe authenticated na ingebainika ni forgery, wala sio Bunge bali ni NEC ndio wangetengua zile barua zao za uteuzi na wangevuliwa ubunge.
  14. Chadema ina katiba yake katiba hiyo imeweka sheria taratibu na kanuni za nidhamu. CC ni mamlaka ya nidhamu ya wabunge, kwanini waliliendesha shauri la wabunge hao Kikangroo bila kufuata taratibu na kanuni zao. Kwanini CC ya Chadema wawatimue wabunge hao bila kufanyika kwanza kwa a due process?!
  15. CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, mwisho wa mamlaka ya CC ya Chadema kwa Mwenyekiti wa Bawacha ni kumsimamisha tuu, lakini mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, sasa hiyo CC ya Chadema, ilipata wapi mamlaka ya kumtiimua Halima Mdee?.
  16. Kikao cha Baraza Kuu kilipoitishwa kwanini hawakupeleka shauri la Mdee kwenye mamlaka yake sahihi ya nidhamu?.
  17. Baraza Kuu linapokaa kama mamlaka ya rufaa kwa wale wabunge 18, ukimuondoa Halima Mdee, kabla ya kupiga kura kuridhia maamuzi ya CC, walipaswa kujiridhisha kuwa taratibu zilifuatwa.
  18. Kile kikao cha CC ya Chadema mimi nimekiita CC ya Chadema imekaa kama a Kangaroo Court, na ule uamuzi wa CC ya Chadema, mimi niliuita ni uamuzi wa Kikangroo, kitendo cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya Kikangroo bila kufanyika kwanza kwa a due process, kumepelekea Baraza Kuu Chadema kufanya Ukangaroo as well.
  19. A way forward ni Mahakama ambayo ni a proper court itayapindua maamuzi ya Kikangroo ya CC ya Chadema yaliyobarikiwa na Baraza Kuu na kuamuru a due process ifanyike.
  20. Wito wangu kwa wapenzi wa Chadema, seek the truth and the truth will set you free. Iambieni Chadema ukweli, ndio mtaijenga Chadema kuwa ni chama mbadala kuireplace CCM. Kwa haya madudu na maroroso kama haya, Ikulu yetu wangeweza?.
Paskali
Nawewe utumie akili basi...

Chadema haijafukuza wabunge Bali imefukuza wanachama wake....

Chadema haikuwahi kuthibitisha kuwa na wabunge viti maalum Bungeni hivyo hao sio wabunge wa Chadema..

Imedili na hao kina Halima kama wanachama Wasaliti na wahujumu na wala sio wabunge.

Chadema ni Mpango wa Mungu....utaelewa siku Moja...
 
Mkuu pasco hoja zinajibiwa kwa hoja.
Mkuu Nguruvi3, naunga mkono hoja, hoja zijibiwe kwa hoja. Asante kwa kujibu hoja kwa hoja, japo na wewe kuna maeneo unajibu hoja kwa hoja na kuna maeneo unaleta viroja. Japo sisi wana jf, as if members, we are all equal, and we have an equal status as jf member, lakini kupitia michango yetu humu, tumetoka kufahamiana na kuheshimiana hivyo wewe ni miongoni mwa well respected members kwenye ratings zangu, usiiharibu heshima hii kwa kuchanganya hoja na viroja!.
Nimeshangaa umetangulizi suala la mahaba ya wasiokubaliana nawe kwa Chadema! huo ni ufinyu au uhaba wa hoja. Hakuna uchama hapa na wengine hatujui hivyo vyama, lakini tukae kimya kama mazuzu tukinajisiwa akili na akina Tulia
Matumizi ya neno najisi sio hoja ni kiroja. Kwa vile nimesema nimemuangalia kwa macho yangu na kumsikia Spika wa Bunge Dr. Tulia Akson, kwa masikio yangu, mengi uliyoyaandika kumhusu Dr. Tulia na uamuzi wake ni viroja, hivyo naasume hukumsikia, hivyo nimejitolea kukuletea Spika wa Bunge Mhe. Dr. Tulia Akson Mwansasu, muangalie kwa macho yako, na kumsikiliza kwa masikio yako, kisha unirudie kuwa kama ungesikiliza kabla, kuna hoja usinge zileta na kuna viroja visingekuwepo.
Ila pia licha ya kuona na kusikia, bado nitaendelea kufafanua kwasababu kuna wenzetu wengi wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii
Umeandika mambo mengi na kuficha hoja muhimu kwa bahati mbaya wewe ni mwanasheria tena mwanafunzi wa Tulia Akson PhD na kuna kila sababu ya kuwa na shaka na hilo darasa, sorry!.
No one is perfect, ruksa kuwa na mashaka na LL.B ya UDSM, ila kwa wanafunzi walitaka kusomea sheria, getting UDSM LL.B admission is not a joke!. LL.B za vyuo vingine vyote Tanzania, LL.B zao ni 3-year, UDSM ni 4-years. Dr. Tulia ametoka na Div 1 ya 7 points O-level na 3 points A-level, akapiga GPA ya 4.4 hivyo she was retained. Hivyo kumdoubt mtu kama huyu ni kiroja!. Mimi kuni doubt ni sawa kwasababu japo LL.B yangu ni Hons,lakini sijawahi ku practice, kwa wengi wasio jua fani ya sheria, wako carried out na court room legal drama za mawakili wakiamini mwanasheria machachari ni kwenye litigations, hawajui kuwa kuna wanasheria kibao hawana time kabisa na litigations, wao wamejikita tuu kwenye legal opinion.
Hii point ina maana na umuhimu gani? Hoja ni COVID19 wameteuliwaje na nani na kikao gani.
Hata kama wameteuliwa na 'kigogo' , je huo ndio utaratibu wa katiba unayosema inavunjwa?.
Time ya Uchaguzi NEC, inapokiandikia chama kuomba majina, na kikapewa majina hayo 18. Kwa NEC issue imeishia hapo. Hao 18 wamepatikanaje, sio issue ya NEC, walitaka majina, wameyapata wakawapa uteuzi na kumpa Spika. Kwa NEC ni majina halali, yamepelekwa kihalali Bungeni, wameapishwa ni Wabunge halali kabisa. Kama kuna issue yoyote ya forgery, then it's an internal matters za Chadema, it's up to Chadema to raise them and prove, NEC wangebatilisha batilisha uteuzi wao siku nyingi, ndio maana nimesema Chadema must learn to do things right.
No no! wewe ni mwanasheria you should know this better. Mgogoro ukitokea kuna scenario hizi
1. Mhusika anaweza kuamua kutokwenda mahakamani akapoteza ubunge.( Sophia Simba, Zitto)
2.Mhusina anaweza kwenda mahakamani shauri lake lisikizwe akiwa nje ya Bunge
3. Mhusika anaweza kwenda mahakamani kutaka zuio la kuondolewa hadi kesi yake itakapokwisha
Naunga mkono hoja. Pia Msikilize Dr. Tulia hili limejibiwa
Si kweli unachosema sana ni uongo!.
Duh...!
Wanachama wa CUF walipoteza Ubunge mara moja
Tundu Lissu kesi yake haijaisha na si mbunge kuna ''replacement'' tayari
It's timings. Msikilize Dr Tulia
Sheria za Bunge ni zipi? Za Ndugai au za Tulia Akson PhD!.
Sheria ni za nchi, sio za mtu na hiki ni kiroja!.
Lakini pia unajichanganya, tambua kwamba kubaki na ubunge ni amri ya mahakama
Kumbuka hii hoja halafu utaona tatizo hapa chini
Sijajichanganya popote ila utakuwa wewe
Uongo uongo uongo! mkubwa. Mnadhalilisha taaluma ya sheria wewe na mwalimu wako Tulia Akson PhD.
Hiki ni kiroja!.
Huwezi kwenda Bungeni na kusema umechaguliwa na NEC na Bunge likakuruhusu kuingia kwasababu umelitaarifu kwa barua . Huo si utaratibu lazima uwe na nyaraka za NEC na vitambulisho vingine.
You are right, Barua ya NEC ya uteuzi wa wabunge hao ni legit credentials bonafide genuine certificates!
Huwezi kumwandikia barua Spika eti unakwenda mahakamani na Spika huyo akakubali, huu niu upuuzi mkubwa. Spika anafanyia kazi taarifa za kiofisi si vijibarua visivyo na ushahidi
Hiki ni kiroja, Msikilize Dr. Tulia.
Spika Tulia Akson PhD alipaswa kuomba apewe barua ya mahakama kwamba lipo shauri, siyo barua za ''mapenzi' tu kutoka COVID.
Kiroja, Msikilize Dr Tulia.
Hili halihitaji kujua sheria linahitaji weledi tu na nakuhakikishia watu wanaojua wanamuona Tulia Akson PhD mtu wa ajabu sana! hakuna kitu pale , empty !
Kiroja!.
Nimekupa scenario pale juu, pia utambue suala la Tundu Lissu lipo mahakamani kavuliwa ubunge. Hivi huoni double standard na kwa PhD holder hili halikupawa kufanywa kizembe namna ile. Professor ? real .
Timings, Msikilize Dr Tulia kisha compares and contrasts the two scenarios.
Rejea hapo juu! nilipokueleza kuwa T.Akson PhD anafanyia kazi taarifa rasmi na ndicho walichosema wakati Chadema walipodai kupeleka barua.
Refer the video
Job Ndugai alisema hawezi kufanyia taarifa za kusikia anataka taarifa ya chama.
Akaonyeshwa dispatch book na kunywea hadi alipovurunda siku hizi anazungumza vichochoroni
Refer the video
Mwambie Mwalimu wako Tulia Akson PhD kwamba anachokifanya ni majungu.
Kiroja
Taarifa ya kwenda mahakamani inathibitishwa na nyaraka za mahakama siyo hadithi.
Kwa kukusaidia, na wengine ambao bundle za kumtazama video.
The chronology of events
  1. Jumatano May 11 Usiku. Baraza Kuu Chadema Linawatimua Kina Halima Mdee na timu yake
  2. Alhamisi May 12 asubuhi: Halima Mdee na kundi lake wakafungua shauri Mahakamani Kuu DAR es Salaam na kumjulisha Spika with case number.
  3. Alhamisi saa 9:30 alasiri, Barua ya Chadema yafika Ofisi ya Bunge Dar es Salaam, waelezwa Barua zinapokelewa Dodoma
  4. Ijumaa Saa 3 asubuhi Kigaila afikisha barua kwa Spika Dodoma
  5. Ijumaa hiyo hiyo barua nyingine ya DHL yawasili Bungeni Dodoma.
P huwezi kwenda na kudai CCM wamekteua kuwa Mbunge na eti T. Akson PhD akakubali tu kwasababu anakujua ni mwanafunzi wake na unaandika makala magazeti! hell no! that is stupid
Hiki ni Kiroja!.
Kazi za umma zinafanywa kwa taratibu na nyaraka, alipaswa kuwaambi wampe barua ya mahakama
Refer the video
Hivi Chadema wangeandika barua in advance ya kumwambia wanachama wamefukuza leo hapa pangekalika! Please usitetee upuuzi wa kuvunja sheria za nchi. Tulia anavurunda tu! shame on her! Hivi mtu na PhD anadhalilikaje kirahisi namna hii! kibaya zaidi huyu anatoa maamuzi yanayoathiri watu milioni 55!
Kiroja.
Pasco please
Chadema walijua mchezo wa Serikali, Bunge na Mahakama. Kutafuta nani amefanya forgery ingechukua miaka 10. Hawa si ndio wanamsubiri dereva wa Tundu Lissu?
You have a point to do with trust
Polisi wana intelejensia ya kubaini uhalifu tuhuma za Chadema zilitosha zinatoka katika taasisi. Hilo linawezekana huko kwenye Polisi wa kweli, hapa kwetu ni kichekesho tu
Kuna vitu polisi wanaweza, ila you have to report, sio kusema tuu kwenye press conference
Kwa taarifa yako kesi ya COVID19 itaisha 2025 December.
Asante kwa taarifa.
Mahakama imepokea maagizo ya mhimili wa Tulia Akson PhD na ukumbuke mahakama inaongozwa na Mwalimu wako CJ ibrahimu aliyesema '' mahakama ziangalie mihimili mingine inasema nini'' jana tumeona kauli yake Mhimili wa Bunge umesema wa mahakama umetekeleza
Hili neno.
Hoja usiyojibu, mawakili wa serikali wanamwakilisha nani?
Kesi ni ya wanachama na chama chao, hao mawakili ni kwa ajili ya nani
Ukifungua shauri lolote kuihusu Taasisi yoyote ya serikali,
Mshtakiwa wa kwanza ni Taasisi husika
Mshtakiwa wa pili ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Ni hitimishe kwa kukuambia Pascal hoja zinajibiwa kwa hoja, unachoeleza kwa maelezo mengi ni kutaka kupoteza wasomaji. Tulia Akson PhD na Professor hakufuata au hajui taratibu za ofis
Wewe wasema!.
Inasikitisha Spika wa Bunge anafanyia kazi taarifa za majungu na si za kiofosi.
Kiroja ila refer the video
Spika alikuwa na barua ya CDM ya kiofisi si vikaratasi vya COVID. Barua ya mahakama ni ya kiofisi
The video
Suala zima limemuonyesha Tulia, Tuna tatizo nchini, huyu anaongoza mhimili wa kutunga sheria! eee mola! ee mungu inusuru nchi hii.
Sala yako mungu atainusuru, usichojua ni Dr. Tulia Akson ndiye chaguo la Mungu kuwa Spika wetu kwa Bunge Letu. Uthibitisho wa hili ni mimi mwenyewe
P
 
Du Paschal tena,

Swali rahisi sana, wakati Halima na wenzake wameenda bungeni juzi walikua ni wa chama gani mpaka speaker atoe maamuzi ya kuwalinda?

Kwa upande mmoja chama kimewafukuza na kutoa taarifa bungeni. Bunge ilipaswa kufuata sheria ....mbunge lazima atokane na chama.

Upande wa pili waathirika walisema nao wamepata taarifa za kufukuzwa kwao ila wana nia ya kwenda mahakani. Hivyo hawakuwa na amri ya mahakama inayomzuia speaker kuwafukuza.

Je speaker alipata wapi mamlaka au sheria ipi kuwaacha bungeni kabla ya amri ya mahakama?

Je nani mwenye maamuzi ya hovyo?
Refer case ya Lema, wabunge wa CUF etc.

Paschal hujadeclare interest kwamba wewe ni CCM hivyo andiko lako liko biased na sababu zipo wazi na ndio maana utapingwa sana hapa. Pia una ajenda mbaya dhidi ya Chadema kwani kwa siku nne mfululizo umeandika mada moja umebadili jina la title. Hata kama ni spinning kuna njia ya kufanya na sio kwa njia unayotumia ipo wazi mno.

Uteuzi hauji kwa kuandika biased ideas bali kutumia critical thinking plus proffessionalism
Hawa C-19 hata wakiendelea na ubunge acha iwe hivyo kwa kuwa mamlaka inawakingia kifua. Lakini kwani 2025 ni mbali?
 
Mkuu Pascal Mayalla ingawa hukujibu hoja umetumia video ya Mwalimu wako Tulia Akson, kwasehemu kubwa sana unanikwaza. Ninakwazika pale unapotaka niangalie Tulia kasema nini

Tulia ni Professor , ni Mbunge, ni Spika. Inaniwia tabu sana kumtafutia position kwa nafasi zake hizo
Kuwa na point GPA n.k. ni tofauti na shughuli nyingine kama za utawala

Tanzania tunafanya makosa kudhani kuwa 'academic excellence' ina mashiko katika management. Tulia anaweza kuwa mwalimu mzuri, kwa siasa na management hana tofauti na diwani yoyote wa CCM.
 
Nani aliye engineer move ya akina Mdee? Nguvu ya dola inayotumika kuwatetea inaleta maswali mengi. Au ni ile idara ya wazalendo uchwara? Na sasa wanafanya kila liwezekanalo kujiepusha na aibu ya kuivunja katiba waliyapa kuilinda?

Ukipotea njia usishupaze shingo, kubali umekosea, rudi nyuma uanze safari upya.
Mkuu pascal alishakuwa furushi tupu.
Haoni mapungufu ya uteuzi wa hawa covid 19?
 
Pointi yako namba tatu inahitaji uthibitisho/evidence, mara nyingi huwa unakuja na maneno mengi bila ushahidi wowote unapoteza maana, hapa ndipo unapothibitisha ukada wako na kuilinda CCM yako.

Wewe kila siku kuna kigogo aliruhusu.. kigogo aliruhu...kumtaja hutaki, sasa unataka uaminiwe na nani kwa kauli zako za mafumbo hizi?

Yule mwenyekiti wa Tume kwa issue sensitive kama hii, na wanavyopenda kufanya kazi ili kuwalinda CCM, lazima angekuja na ushahidi siku nyingi kuwamaliza Chadema, lakini yupo kimya mpaka leo.

Una hasira na Chadema tangu walipomtimua Zitto, na hasira zako mara nyingi unazielekeza kwa Mbowe, nakufahamu muda mrefu sana kwa huu mtazamo wako.
Mayala amekuwa kama wale akina mama wambeya wa uswahilini. Maneno mengi yasiyo na chochote, wala ushahidi.
 
Naona unajigeuza msemaji wa akina Mdee kurudisha heshima uliyoipoteza humu, kwani wao hawana midomo?

Mbowe alishasema atakuwa wa mwisho ku-betray Chadema, kama wewe unaushahidi wa tofauti weka hapa, sio unatutajia jina la mtu mwingine ili kuficha udhaifu wa hoja yako.

Kila siku unaibuka na habari za "insider" feki mwishowe unathibitika ni uongo tu, jifunze kutulia.
Mmbeya huyu, hata siku moja hataleta ushahidi wowote, kwa sababu hana.
 
Magufuli hakukosea kukuita njaa maana njaa imekuharibu mpaka umekuwa mtu wa hovyo kabisa, Lissu alipinga kufukuzwa mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama na wabunge wa CUF walipinga mahakamani kwanini Ndugai hakusubiri uamzi wa mahakama? umekuwa mtu wa hovyo sn unapewa rushwa unauza utu wako. Kwahiyo wewe unaijua katiba ya CHADEMA kuliko CHADEMA wenyewe? shame on you
We andika ujinga wooote lakini tushakujua ulikuwa mmoja wa wasaidizi wa yule chizi Musiba
 
Ukweli ni huu
CHADEMA ni Mbowe tu wengine holahola
Mbowe anajua na alifacilitate Kina Mdee kuwepo bungeni.
Mnyika alisaini na kutuma majina na nyaraka zingine NEC
CCya CHADEMA ilikosea kwenye process na ilivuka mipaka yake kikatiba ya CHADEMA
Katiba ya CHADEMA inakiuka katiba ya nchi. Kunyima mwana Chama kwenda mahakamani.
Mbowe si msafi CHADEMA na anaitumia Kwa maslahi binafsi.
MaCHADEMA upofu wa ushabiki umeua akili zao hata kutoona ukweli
CHADEMA kimepoteza mwelekeo na hakina tena diraa
 
Back
Top Bottom