johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Nikiuangalia utatu wa DCI, DPP na Jaji Kiongozi ni dhahiri nyakati za kutenda uhalifu wa namna yoyote kwa sababu zozote zimefika ukomo.
Natoa tu tahadhari kwa BAVICHA waache mihemko na Lugha za kuudhi/matusi pia watii sheria bila shuruti.
Namshukuru sana Mwenyekiti Mbowe kwa kuwaonya BAVICHA mapema.
Mungu ni mwema wakati wote.
Natoa tu tahadhari kwa BAVICHA waache mihemko na Lugha za kuudhi/matusi pia watii sheria bila shuruti.
Namshukuru sana Mwenyekiti Mbowe kwa kuwaonya BAVICHA mapema.
Mungu ni mwema wakati wote.